Sheria inasemaje kuhusu ucheleweshwaji wa malipo ya fidia?

Sheria inasemaje kuhusu ucheleweshwaji wa malipo ya fidia?

COMORIENNE

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2022
Posts
923
Reaction score
1,054
Habari wakuu.

Ninaomba msaada wa kufafanuliwa kuhusu ucheleweshwaji wa malipo ya fidia ya ardhi iliyo twaliwa miaka 3 iliyopita na baada ya muda wa miaka 2 kupita, toka jedwali la malipo kukamilika na mlipaji kutolipa kwa wakati au kuaghirisha malipo na kuirudisha ardhi kienyeji kwa wananchi.

Je, yawezekana kufungua kesi mahakamani ya madai ya fidia ya kusababishiwa hasara za mali iliyokuwepo katika ardhi hiyo?

Je, ipo sheria ya kuwashitaki wafidia kulipa fidia kwa upotevu wa mali na rasilimali zilizokuwepo kipindi wanafanya uthamini?

Natanguliza shukran.
 
Habari wakuu.

Ninaomba msaada wa kufafanuliwa kuhusu ucheleweshwaji wa malipo ya fidia ya ardhi iliyo twaliwa miaka 3 iliyopita na baada ya muda wa miaka 2 kupita, toka jedwali la malipo kukamilika na mlipaji kutolipa kwa wakati au kuaghirisha malipo na kuirudisha ardhi kienyeji kwa wananchi.

Je, yawezekana kufungua kesi mahakamani ya madai ya fidia ya kusababishiwa hasara za mali iliyokuwepo katika ardhi hiyo?

Je, ipo sheria ya kuwashitaki wafidia kulipa fidia kwa upotevu wa mali na rasilimali zilizokuwepo kipindi wanafanya uthamini?

Natanguliza shukran.
Naona umeweka mambo mengi, ila kwa suala la fidia iliyochelewa kulipwa inatakiwa ilipwe na interest kwa mwaka. Ila kama wameahirisha sidhani kama kuna chochote zaidi ya kuambiwa tu uendelee na shughuli zako ulizozuiwa kuzifanya mwanzoni kwenye hilo eneo
 
Naona umeweka mambo mengi, ila kwa suala la fidia iliyochelewa kulipwa inatakiwa ilipwe na interest kwa mwaka. Ila kama wameahirisha sidhani kama kuna chochote zaidi ya kuambiwa tu uendelee na shughuli zako ulizozuiwa kuzifanya mwanzoni kwenye hilo eneo
Mkuu uandishi wa makasiriko tusameheane tu.
Pia Ahsante kunijibu
 
Back
Top Bottom