NgerukeAbra
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 1,336
- 2,008
Nimewasiliana na wakili msomi wa utopolo amesema mfungwa akifa kabla hajamaliza kifungo chake huwa hazikwi wala ndugu zake hawapewi taarifa hadi adhabu ya kifungo chake iishe.
Note:
Tunapeleka kesi 'CAS' kudai haki yetu dhidi ya Simba na Yusuph Kagoma.
Note:
Tunapeleka kesi 'CAS' kudai haki yetu dhidi ya Simba na Yusuph Kagoma.