Hakuna sheria wala si kosa kutembea na mke wa mtu hasa kama mmekutana njiani mkatembea wote kuelekea kanisani, hospital/zahanati, ofisini (kama unafanya kazi ofisi moja) n.k.Wanajamvi...nauliza. ..sheria inasemaje kwenye swala la:- Mwanamme kutembea na mke wa mtu. Ushahidi upo. #Refer case ya Nabii mwingira...etc
Hakuna sheria wala si kosa kutembea na mke wa mtu hasa kama mmekutana njiani mkatembea wote kuelekea kanisani, hospital/zahanati, ofisini (kama unafanya kazi ofisi moja) n.k.
Mke wa mtu sumu.....hapo tunamalizana kimjinimjini.
1. TAFUTA ACID ( sh. 50000)...mmwagie huyo jamaa. Ni pm kama utahitaji.
2. TAfuta bastora...sh.laki moja na nusu...ikiwa na risasi..sh. 200000. Ni pm kama utahitaji.
3. Tafuta washkaji wamteke huyo mwizi wako....kisha wampigie kwa tigo mpaka ashindwe kutembea. Kwa hapa Dar sh. 400000 tu..usafiri wako.
Kwa mikoani sh. 700000. Usafiri na malazi ya siku mbili juu yako. Ni pm kama utahitaji huduma hii.
4. Chukua picha ya mshkaji peleke kwa Mganga wa jadi. Chagua..awe zombi au afe. Mi naweza kukusaidia mtaalamu wa ukweli kabisa. Kitu kinafanyika dakika 0 na majibu yanaonekana ndani ya dakika 5. Unamtumia njiwa mpaka anapoishi....unaua familia nzima...yeye, mkewe na wanawe...mpaka house gero.
5. Mke wa Mtu sumu.......chukua sumu...ongea na jamaa wa sehemu ambao anapendelea kula chakula au kunywa bia.
Daa...ni pm....mbona swala simple tu.
Hukumu hapo ni faini ya kushikwa ugoni hii hutozwa na local authority mi nnayo risit niliyopewa nilitozwa 40,000
Nimeamua kuwawekea risit sasa
Ukimaliza tuwekee na picha jinsi walivyokula GOti
Nimekuogopa aisee inaonekana umekaa kimagendo sana
Kifungu cha 65b cha mwana FA kinasema ukimegewa nawe mtafute mnyonge ummegee. tehe tehe
Nimeamua kuwawekea risit sasa
mkuu ushahidi wa ugoni unaweza kuwa upi mbali ya kuwashika redhanded? je TCRA wanaweza kutoa ushahidi wa ugoni kupitia simu, msg , whatsapp nkWanajamvi...nauliza. ..sheria inasemaje kwenye swala la:-
Mwanamme kutembea na mke wa mtu. Ushahidi upo.
#Refer case ya Nabii mwingira...etc
Mke wa mtu sumu.....hapo tunamalizana kimjinimjini.
1. TAFUTA ACID ( sh. 50000)...mmwagie huyo jamaa. Ni pm kama utahitaji.
2. TAfuta bastora...sh.laki moja na nusu...ikiwa na risasi..sh. 200000. Ni pm kama utahitaji.
3. Tafuta washkaji wamteke huyo mwizi wako....kisha wampigie kwa tigo mpaka ashindwe kutembea. Kwa hapa Dar sh. 400000 tu..usafiri wako.
Kwa mikoani sh. 700000. Usafiri na malazi ya siku mbili juu yako. Ni pm kama utahitaji huduma hii.
4. Chukua picha ya mshkaji peleke kwa Mganga wa jadi. Chagua..awe zombi au afe. Mi naweza kukusaidia mtaalamu wa ukweli kabisa. Kitu kinafanyika dakika 0 na majibu yanaonekana ndani ya dakika 5. Unamtumia njiwa mpaka anapoishi....unaua familia nzima...yeye, mkewe na wanawe...mpaka house gero.
5. Mke wa Mtu sumu.......chukua sumu...ongea na jamaa wa sehemu ambao anapendelea kula chakula au kunywa bia.
Daa...ni pm....mbona swala simple tu.
Halafu bado unaendelea kumtafuna mke wa mtu?Hukumu hapo ni faini ya kushikwa ugoni hii hutozwa na local authority mi nnayo risit niliyopewa nilitozwa 40,000