Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna muda wa kuishi na mwanamke kama kimada, zidisha mwaka ama miezi 6 ni mke wako kama sijakoseaMmesahau kuwa lazima wawe wameoana kisheria wanatambulika wanandoa sio wanaishi kama vimada..
Ngoja wapambane na hali zao. Kwani walilazimishwa kuoa na kuolewa? 😂😂😂Hayo ndio mambo ya ndoa bana dah😂😂😂
Kifungu namba 160 cha sheria ya ndoa kama sijakosea ni miaka miwili ila hii hutumika kwenye baadhi ya issues sio sanaa kwenye maswala ya Mali ya wanandoa hutegemeana na Mheshimiwa aliyepo mahakamani siku hiyo kama ni mwanamke atatumia hiyo sheria kuassume kama ni mke na mumeKuna muda wa kuishi na mwanamke kama kimada, zidisha mwaka ama miezi 6 ni mke wako kama sijakosea
Naked truthWaza sana sana kabla ujaoa! Is like giving 50% of everything; not only materials, everything!
Sikuwahi kujua unaweza ukaoa ukalala na mwanamke kitanda ki moja then ukawa na nyege zaidi ya kabla ujaoa!
Wanawake tabu sana kabisa!
[emoji3][emoji3] pole sana mkuuBasi tu ni ustaarabu na Mambo mengine, dawa ya Mwanamke ni awe na mwenzake ili ajitahidi, nje ya hapo atakutesa sana!
Ninalo hili lakwangu hapa pembeni na hii baridi ya makambako linakoroma, ukiligusa fujo!
Tabu sana, ningekuwa bachela ningekuwa nimelala mwenyewe na saikolojia yangu haina shida, ila liko hapa na Hakuna msaada!
Anza kuuza Mali, linaenda mpaka kwa rais kulalamika!
Dah Ndoa si mchezo maselaHahahahha hio inawezekana kabisa na ukaamka na stress za kufa mtu kila siku! Ndoa inataka watu imara sana thus why wale ambao wako shallow inawashinda mapema sana!
Dah,kiukweli ndoa zina taabu Sana, mi pia nna mwezi wife kakasirika mzee sipewi mzigo,, hapa ndio unapokuja umuhimu wa mchepuko kmma'eBasi tu ni ustaarabu na Mambo mengine, dawa ya Mwanamke ni awe na mwenzake ili ajitahidi, nje ya hapo atakutesa sana!
Ninalo hili lakwangu hapa pembeni na hii baridi ya makambako linakoroma, ukiligusa fujo!
Tabu sana, ningekuwa bachela ningekuwa nimelala mwenyewe na saikolojia yangu haina shida, ila liko hapa na Hakuna msaada!
Anza kuuza Mali, linaenda mpaka kwa rais kulalamika!
Hawa wanawake tabu sana , ukiona anaingia kwenye mgomo jiongeze , wanaopikia kwenye mafiga wanafahamu kama chungu/ sufuria kisipokaa vizuri kwenye mafiga unatanguliza jembe dogo au jiwe bapa kufanya chungu/sufuria kikae sawa na upishi unaendelea.Dah,kiukweli ndoa zina taabu Sana, mi pia nna mwezi wife kakasirika mzee sipewi mzigo,, hapa ndio unapokuja umuhimu wa mchepuko kmma'e
True story:
Kuna rafiki yangu Mama yake alistaafu, Baba yake alikuwa na umri wa Kama miaka 72 hivi wakati Mama yake anastaafu!
Akapewa Kama 160m! Sasa Mshua wa huyu jamaa akamfuata mwanaye; akamwambia oya, Mshawishi Mama yako ajenge Manyumba ya kupanga hizo hela ziishe maana atanisumbua sana akiwa na cash!
Dogo akaingia mzigoni, ka msawishi Mama kajenga manyumba ya kupanga mpaka yakaisha, then hela ikakata, dingi akasema sasa hapa tunaenda sawa!