Mtu anapokuwa na kesi ya jinai mahakamani na anayemshitaki akaandika barua kwa hakimu (mahakamani) kuwa hana mpango wa kuendelea na kesi kwa maana wao wenyewe wamesuluhishana hivyo hakimu hamuache huru mshitakiwa, na kwa kuwa mshitakiwa hakwenda mahakamani tangu barua hiyo ipelekwe mahakamani kwa sababu muhimu ila mdhamini anahudhuria mahakamani zaidi ya miezi 6?
Je kesi inaweza kufutwa pasipo mshitakiwa?
Je mdhamini atatakiwa kufanya nini ili kesi ifutwe?
Je kesi inaweza kufutwa pasipo mshitakiwa?
Je mdhamini atatakiwa kufanya nini ili kesi ifutwe?