kitokololoo
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 704
- 818
Nchi zote bendera inaheshimiwa over
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulijitambulishaje?Mimi kuna Siku nilidakwa nilikuwa Moro
Lakini baada ya kujitambulisha,hawakunifanya lolote,zaidi ya kucheka Cheka!
Muwe "mnajitambulisha" mapema kabla ya kurushwa kichura!
Ulijitambulishaje?
Nakumbuka pugu secondary kuna mamba mmoja algoma akasema yeye ni shahidi wa yehovaPole nadhani ni wewe, Ungewaeleza kuwa wewe ni muamini wa dhehebu la mashahidi wa Jehovah wangekuelewa.
Wao hawaheshimu wimbo wa taifa wala bendera bali Mungu pekee.
Nini wanafanya ili kutoonyesha tofauti na sisi wengine, wanaepuka kuonyesha dharau kwenye vitu vinavyoheshimika nasi kama kumtukuza Rais kama mungu, kusimama wakati wimbo wa taifa ukichezwa na hata bendera wanakaa mbali navyo kidogo.
Nadhani hao ni maPC/ wader au maCOPLO wachache wasio naweledi na kazi yao unahaki ya kutoa malalamiko yako kwa kiongozi wao
Hiyo bendera kwanza inasaidia nini katikati ya umasikini huu??! Hao askari-kanzu ungewatia makofi. [Kama unazo nguvu]
Basi wewe ni mhuniSitambui Bendera, Wimbo wa Taifa, Rais and co.
Sivijui, Sitambui na Sihitaji kufahamu.
Ikawaje tena?Nakumbuka pugu secondary kuna mamba mmoja algoma akasema yeye ni shahidi wa yehova
Asifiaye mvua imemnyea, bila shaka ulifanyiziwa.Polisi na wanajeshi wa bongo ni mbwa tu
Huo ubavu hawana , nitawavunja mataya ya midomo yaoAsifiaye mvua imemnyea, bila shaka ulifanyiziwa.
Vijana wa siku hizi Elimu wanayopata shule za msingi haiwasaidii kabisa, hili jambo darasa nne tu unakuwa unajua kuhusu bendera ya taifa na wimbo wa taifaMtaani kwetu kuna kituo cha polisi tena barabarani kabisa hadi mjengo wao umepigwa X na TANROAD.
Upo senta sehemu ambayo watu wanamove freely and openly.
Kuna kipindi watu hawajasikia filimbi since someone walking down street minding his/her own business.
Au Matatizo ya Masikio na hawa jamaa wakishakuona wanakudaka ile paapa Kunja ngumi kwenye kokoto sehemu ambayo kila mtu anakuona na maneno machafu kibao.
Hapa hawaangalii upoje,tena kama umeuchomekea ndio kabisa watakudhalalisha hadi uumbuke. Swali la kwanza ww umesoma?
Juzi rafiki yangu alidakwa yaani yy hakuisikia filimbi ya kwanza maana alikuwa anatembea tokea mbali (filimbi inaimbwa yy yupo mbali) sasa ile ya kutembea yy anasimama.
Aisee alishambuliwa kama nyuki na mzinga vile.
Hapa nkakumbuka why wanafanya hivi?
Basi ukila makonzi usilalamikeSitambui Bendera, Wimbo wa Taifa, Rais and co.
Sivijui, Sitambui na Sihitaji kufahamu.
Yeah,. Ipo haja.Wadau wenye kufahamu masuala haya naombeni mnifahamishe hili la bendera yetu ya Tanzania, ikiwa inapandishwa ama kushushwa ni utaratibu kama sio sheria watu kusimama mpaka zoezi hilo likamilike. Je, kuna ulazima wa kuendelea na utaratibu huu?
Sent using Jamii Forums mobile app