Sheria ipi ya soka iliyofutwa ambayo unatamani ingeendelea kutumika?

Sheria ipi ya soka iliyofutwa ambayo unatamani ingeendelea kutumika?

Naikumbuka sana hiyo sheria wakati wa WC 2002
Mchezaji wa South Korea Ahn sung hwan kwenye World cup ya 2002 dhidi ya Italia alikosa penalty ila baadae akaja akafunga golden goal kwa kichwa kwenye extra time na mpira ukawa umeishia hapo kwa South korea kuingia quarter final na Italia kurudi kwao,

Ahn alikua kipindi hicho anachezea team ya Italia kwa mkopo team ya Perugia,ila baada ya kuwafunga Italia lile goli hao Perugia hawakumtaka tena na hakurudi tena kwenye Club yake ya Perugia huko Italia.
 
Kuongeza idadi ya wachezaji wa akiba/substitution kutoka 3 hadi 5.

Kuongeza idadi ya Substitution.Van Basten anatamani kuongeza idadi ya wachezaji wa sub kuanzia 5-7,kwa muda mrefu wadau wa soka wamekuwa wakizungumzia kuhusu suala la kuongeza wachezaji wa akiba na sasa FIFA inatarajia kuliangalia suala hili
 
Kila kunavokucha ndo Mpira wa miguu unazid
kushuka thaman imagn mpira wa kuotea
Hakuna alafu sabu ziko 7 dhuuu aisee
FIFA hiz sheria wafikirie kabla ya kutoa
 
Sheria ya away goal . Sijui kwanini UEFA wameifuta
Mkuu hii kitu bado haijapitishwa inasubili maamuzi ya mwisho toka kwa Uefa exactive committee hapo july 9.
Ila kiufupi msimu ujao kweli tunaweza shuhudia uefa bila away goal.
 
Kuongeza idadi ya Substitution.Van Basten anatamani kuongeza idadi ya wachezaji wa sub kuanzia 5-7,kwa muda mrefu wadau wa soka wamekuwa wakizungumzia kuhusu suala la kuongeza wachezaji wa akiba na sasa FIFA inatarajia kuliangalia suala hili
Safiii.
 
Kona iwe inapigwa kwa kutumia kichwa sio mguu, kama enzi za Bush Stars na Born Towns...football was really football
 
Back
Top Bottom