Sheria itungwe watu wote wanaotumia Tecno, Infinix na Itel wawe wahujumu uchumi

Sheria itungwe watu wote wanaotumia Tecno, Infinix na Itel wawe wahujumu uchumi

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Kiukweli Tafadhali sheria naomba itungwe wale watu wote ambao wanatumia simu hizo hapo juu wawe wahujumu uchumi maana tumechoka sana kuziona hizo simu zikiua watu na kulipuka hovyo hovyo.

Jana tu kuna Jobless mmoja ambaye ni kabila moja kutoka Kanda ya ziwa amelipukiwa na simu moja hapo juu aisee nusu apoteze maisha ila uzuri tulimuwahisha hospitali ambapo alipigwa makofi kutokana na matumizi ya hizo simu.

Chonde chonde sheria iwekwe ili tuokoe kizazi cha watanzania wanakwisha kutokana na matumizi ya tecno,infinix na halotel.
 
Hamna haja, ni kufanya tu kama kwenye magari, ukiiza gari la miaka 10 iliyopita unalipa uchakavu...!! Sasa kwenye hizo simu IWEKWE KODI 'uchakavu'
 
Ya nini kuhangaisha wabunge watunge sheria kisha rais atie saini kupitisha hiyo sheria zuzu wakati tbs wapo kudhibiti ubora wa bidhaa? Hiyo sheria ikitungwa itakuwa ni mwanzo wa kutunga sheria za ajabu ajabu nchini.
 
Back
Top Bottom