Sheria kali za Ndugu zetu Taliban

Sheria kali za Ndugu zetu Taliban

Taliban ni kikundi cha wahuni tu kama wahuni wengine na wavuta bangi wengine, wao walichopabahatika kupata ni silaha na madaraka tu basi, kazi yao ni kuchafua dini za watu, Uislamu hauna sheria za kijinga na kipumbavu labda kama wapumbavu na wajinga wamekubali kulishwa matango pori kwa mikono ya kutokwenda kusoma.
 
Kwamba wewe muislamu koko unaweza kua unaujua usilamu kuliko watu wa mashariki ya kati? Wewe si umekaririshwa tu hapo magomeni na shehe kipozeo unajifanya unaujua uislamu kuliko waliouanzisha na kuutunga?
Halafu ktk kutoka taarifa kuna kitu kinaitwa kubalance taarifa.

Kwa maana mtoa taarifa ni lazima apate taarifa za Pande mbili. Hivyo tunaba kwanza tamko kutoka kwa wataliban kuwa wamezuia wanaume wasinyoe ndevu, pia tuletee mwitikio wa wanaume wa kiafghan kama wameridhia au wameona ukadhamizaji.

Kwa mfano wapo watu watakaoshangaa pale kwa mfano Raid wa znz akitoa amri kuwa wanaume wote lazima watahiriwe, na tangazo kama hilo kwa wa znz hawatoshtuka.

Lkn kuna makabila na dini ambazo wakiambiwa hilo hapa tz wako tayari kuandamana au kukimbia nchi na kudai wanaishi dunia isiyo ya wastaarabu. Kumbe ustaarabu wa MTU ni mila ya MTU husika
 
Taliban ni kikundi cha wahuni tu kama wahuni wengine na wavuta bangi wengine, wao walichopabahatika kupata ni silaha na madaraka tu basi, kazi yao ni kuchafua dini za watu, Uislamu hauna sheria za kijinga na kipumbavu labda kama wapumbavu na wajinga wamekubali kulishwa matango pori kwa mikono ya kutokwenda kusoma.
Hebu pitia saudia kwenye jiwe jeusi uone wanavyofanya
 
Mbona mipango ya kujenga mashule na mabarabara upo baada ya wamarekani kuyabomoa....
NI Baada ya wao kuruhusu World Trade Center kubolewa na Magaidi wa Alkaeda wasingeruhusu hakuna mtu angeenda kwenye hiyo stone age country
 
Kwamba wewe muislamu koko unaweza kua unaujua usilamu kuliko watu wa mashariki ya kati? Wewe si umekaririshwa tu hapo magomeni na shehe kipozeo unajifanya unaujua uislamu kuliko waliouanzisha na kuutunga?
Unapozungumzia Uislamu na Taliban unazungumzia vitu viwili tofauti jamaa.
Uislamu siyop vitendo vinavyofanywa na wanaojiita Waislamu, Uislamu ni kufuata yale ambayo Uislamu umefundisha kulingana na Qurani na Sunna lakni siyo kulingana na msharti yanayotolewa na Wahuni wa Taliban , Uislamu haujatufudnisha kulazimishana katika dini , eti kulazimishana kufuga ndevu, huo Ujinga hata Mtume hakuwahi kuufanya, labda kama wamekuja na Uislamu mpya.
Ila kifupi zaidi Uislamu haukutungwa na hao unaowadhani, habari za Kipoozeo hasihusiki na uzi huu.
 
Uko kwenye Quran. Labda wewe hujui kuisoma.

Ukumbuke Quran imeandikwa kiarabu, wale ni waarabu wanaielewa kuliko nyie waarabu kuja.

Hivyo wanachokifundisha Taliban ni 100% islam, purely islamic. Hakuna wanapokosea.
sio waarabu wale ni wapashtuni......waarabu ni 2% ya taifa zima la waafughanistan....na uislam ni asilimia 98..
 
Mbona mipango ya kujenga mashule na mabarabara upo baada ya wamarekani kuyabomoa.....

Punguza chuki na mihemko.

Ndefu ni alama muhimu sana ktk dhana ya utawala. Utawala wowote unaoegemea ukiristo ulitaka watumishi wa serikali kinyoa ndevu, watalaban ambao mfumo wao unaegemea uislam wanataka wanaume wote wasinyoe ndevu.

Na sababu kubwa ya tofauti hizi ni kwa mfumo wa Uislam huchanganya kati ya kaisari na mungu.

Wakati ukristo unataka ya kaisari mwachie kaisari na ya mungu mwachie mungu
Sheikh wangu tuanze na hili kwanza "uislamu upi kwa dalili unaomlazimisha mwanaume kufuga ndevu" alafu twende kwengine sasa.

Aya au Khadith japo dhaifu tu.
 
Taliban ni kikundi cha wahuni tu kama wahuni wengine na wavuta bangi wengine, wao walichopabahatika kupata ni silaha na madaraka tu basi, kazi yao ni kuchafua dini za watu, Uislamu hauna sheria za kijinga na kipumbavu labda kama wapumbavu na wajinga wamekubali kulishwa matango pori kwa mikono ya kutokwenda kusoma.
Swadakta akhui.
 
Nimekua Muislam muumini kwa takribani miaka 40 sasa sijawahipo kusikia wala kusoma Aya ya Quran au Khadith ya Mtukifu wa Daraja, Bwana Mtume Mohammad S.A.W ikilazimisha jambo lolote bali kupinga kulazimisha.

Huu uislamu wao wanautoa wapi?
Huo ndiio uislamu safi
 
Wadau, hivi karibuni Taliban wameweka sheria Kali kwa wanaume.

Hawaruhusiwi kunyoa ndevu.

Sasa namna gani kwetu sisi Mayakhe ambao hatujajaaaliwa ndevu? Nchi hiyo tutaishije? Twaruhusiwa kuweka za bandia atiii?
Ugwee...
 
Unapozungumzia Uislamu na Taliban unazungumzia vitu viwili tofauti jamaa.
Uislamu siyop vitendo vinavyofanywa na wanaojiita Waislamu, Uislamu ni kufuata yale ambayo Uislamu umefundisha kulingana na Qurani na Sunna lakni siyo kulingana na msharti yanayotolewa na Wahuni wa Taliban , Uislamu haujatufudnisha kulazimishana katika dini , eti kulazimishana kufuga ndevu, huo Ujinga hata Mtume hakuwahi kuufanya, labda kama wamekuja na Uislamu mpya.
Ila kifupi zaidi Uislamu haukutungwa na hao unaowadhani, habari za Kipoozeo hasihusiki na uzi huu.
Taliban ndio waislamu halisi

Wewe muislamu wa kuchovya tu
 
Waulize wao basi wakupe japo Khadith dhaifu inayosibitisha madai Yao...
Ndio tumewauliza hapo,wenyewe wamesema ni haramu kwa mwanaume kunyoa ndevu. Kwa msisiitizo No dume nyoaling nduvu
 
Sheikh wangu tuanze na hili kwanza "uislamu upi kwa dalili unaomlazimisha mwanaume kufuga ndevu" alafu twende kwengine sasa.

Aya au Khadith japo dhaifu tu.
Maalim. Kwa ujuzi nilionao, hoja uliyoitoa majibu yake yanapatinaka kwa sehemu mbili.

Kwanza ktk somo la historian ya sheria ktk Uislam yaani (Taarikh Tashree lil Islam). Kwa maana ya somo la historia ya sheria za Uislam,

Ktk somo hilo, limefafanuliwa kutoka kwa mienendo ya waumini wema wa karne tatu za kwanza za uislam. Ktk somo hilo inaeleza mgawanyiko wa sheria hizo ktk mafungu manne.

1. Sheria yenyewe (Quran)
2. Ufafanuzi wa sheria ( hadithi).
3. Tamaduni wa jamii zilizozoeleka ambazo hazipingani na sheria kuu (Quran na Hadithi) ambazo huitwa Mila/ada.
Kanuni/Miongozi wa Viongozi wema (Fikhi).

Suala la kufuga ndevu ktk somo la Sheria linaangukia ktk kundi la 3 na la 4 kwa maana ya Ada au mila za jamii Fulani na Fikhi.



Ktk Uislam adah au milah yyt ya jamii inaweza kutungiwa sheria au kanuni (Fikhi) na kutekeleza sheria hiyo inakuwa ni lazima maadam tu adda hiyo haiendi kinyume na Sheria Kuu (Aya na Hadithi).

kanuni hutungwa wakati wowote na viongozi. Sherti kiomgozi huyo lazima awe muadilifu. (Khulafai Rashideen)./kwa mizani ya Uislam.

kutokana nguvu ya mila/adah kati ya utawala kwa dhana ya Uislam na utawala kwa dhana ya kikafiri ni juu yako kuamini jamii ili ni ya kihuni na kiasherati kati ya mataifa yanayofata dhana ya kutoamini uwepo wa Mungu (Sekula) na Yale wanaomini uwepo wa Mungu ( Emirates Islam)
 
Back
Top Bottom