Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 728
Uzalishaji ndani ya mgodi wa Bulyanhulu KMCL umesimama kabisa kuanzia jioni ya leo tar.01.08.12 kufuatia wafanyakazi kutaka mpaka wapatiwe ufafanuzi kuhusu mustakabali wa fedha zao walizochangia NSSF na PPF hali hiyo imeanza jana baada kikao kati ya mwakilishi kutoka SSRA na wafanyakazi kuvunjika hali hii imepelekea mwajiri kusimamisha uzalishajikwa saa 48 mpaka kieweke.Wakati huo huo makamu wa rais wa BARRICK duniani ameingia nchini kwa mazunguzo na serikali kuhusiana na sheria hii.
