Sheria mpya ya mpira wa Miguu

Sheria mpya ya mpira wa Miguu

Mowwo

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2015
Posts
1,083
Reaction score
1,628
Wakuu kuanzia msimu ujao Goalkeeper akikaa na mpira wakati wa mechi kwa sekunde 8 au zaidi ili kupoteza muda Timu pinzani itapewa kona(cornerkick) na refa wa mchezo husika.
Mnaonaje sheria mpya iliyopitishwa na International Football Association Board (IFAB) itakayoanza Rasmi msimu ujao?
😀😀nawaona magoalkipa wa timu za Simba na Yanga wakiruhusu kona za kutosha
 
Wameamua wenyewe wenye mpira wao.
Kwangu haijakaa vizuri kabisa.

Sheria zilizopo zinajitosheleza kabisa kabisa.
Maboresho haya ni katafuta vikao na kulipana posho tu..
kadi ya njano ilikuwa inajitosheleza kabisa.

Wakubwa wameteleza.
 
Wameamua wenyewe wenye mpira wao.
Kwangu haijakaa vizuri kabisa.

Sheria zilizopo zinajitosheleza kabisa kabisa.
Maboresho haya ni katafuta vikao na kulipana posho tu..
kadi ya njano ilikuwa inajitosheleza kabisa.

Wakubwa wameteleza.
Kadi ya njano ni mtazamo wa refa wakati hii itakuwa ni Moja kwa moja.

Sema jee marefa watakuwa makini kuangalia hizo sekunde nane zisizidi?
 
Natabiri hii sheria itadumu kwa muda mchache na kufutwa baada ya malalamiko kuzidi
Wadhamini wa Mpira duniani wanalalamika kuwa Mpira hauchezwi zaidi ya dakika 60 kati ya dakika 90 za mchezo. Kwa ivo wamelalamika kuwa fedha wanazowekeza kwenye matangazo ni kama wanatapeliwa.
 
Wadhamini wa Mpira duniani wanalalamika kuwa Mpira hauchezwi zaidi ya dakika 60 kati ya dakika 90 za mchezo. Kwa ivo wamelalamika kuwa fedha wanazowekeza kwenye matangazo ni kama wanatapeliwa.
Mda wa sub
Mda wa kurusha mpira
Golikipa akiwa amedaka
Mda wa faulo
Kote huku dk zinapotezwa na timu inayoongoza
 
Wameamua wenyewe wenye mpira wao.
Kwangu haijakaa vizuri kabisa.

Sheria zilizopo zinajitosheleza kabisa kabisa.
Maboresho haya ni katafuta vikao na kulipana posho tu..
kadi ya njano ilikuwa inajitosheleza kabisa.

Wakubwa wameteleza.
Wanatengeneza soft game kweli

Nimemskia Gerrad Pique majuz anasema km timu ikishinda inapewa point 3. Bas timu mechi zitakazoisha droo wasipewe point yoyote
 
Kulikua na yule kipa wa Azam, Abarola kama sijakosea jina. Jamaa alikua anapoteza sana muda
 
Back
Top Bottom