Sheria ngowi aishukia Yanga utumiaji hovyo wa jezi

Sheria ngowi aishukia Yanga utumiaji hovyo wa jezi

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Haki ya Mungu CEO Senzo hata kusimamia tu utumiaji wa jezi hawezi halafu wachambuzi takataka wanakuambia jamaa ni kichwa kishenzi yaani wanasema alikuwa kamati ya maandalizi ya world cup jamaa ni genius hatari

jezi.jpeg


Kwa mujibu wa mbunifu wa jezi za Young Africans Sports Club Sheria Ngowi alisema kuwa jezi hizo pichani ni maalumu kwaajili ya mechi ya kimataifa lakini klabu ya Yanga tayari imeanza kuzitumia jezi hizo mazoezini.

Matarajio ya wengi walitarajia kuona Yanga wanatumia jezi hizi kwenye mechi za klabu bingwa na michuano mingine ya kimataifa
Bado haijafahamika ni kwanini Yanga wanatumia jezi hizi mazoezini wakati zilitambulishwa kuwa zitatumika katika mechi za kimataifa.

@yangasc
 
Wanasimamia msemo wa Manara ukitoa mzee kikwete na mzee sunday manara waliobakia wote hapo utopoloni hawana akili
 
hizo mechi za caf ndo zip huko preliminary stage hukutambuliwi kokote
 
Sheria ya caf hairuhusiwi kutumia jezi zenye nembo ya kampuni ya kubashiri kwa mantiki hiyo hizo jezi zilitakiwa ziwe plain kama hizi zina nembo ya sportpesa manake ni kuwa hazina kazi hata simba za kimataifa hazina sportpesa.
 
Kuanzia makundi ndio vilabu haviruhusiwi kudhaminiwa na betting coy, Ila preliminary stage wanaruhusiwa
Sheria ya caf hairuhusiwi kutumia jezi zenye nembo ya kampuni ya kubashiri kwa mantiki hiyo hizo jezi zilitakiwa ziwe plain kama hizi zina nembo ya sportpesa manake ni kuwa hazina kazi hata simba za kimataifa hazina sportpesa.
 
hkayamungu CEO senzo hata kusimamia tu utumiaji wa jezi hawezi halafu wachambuzi takataka wanakuambia jamaa ni kichwa kishenzi yaani wanasema alikuwa kamati ya maandalizi ya world cup jamaa ni genius hatari
**********
View attachment 1921502

East Africa TV plus+

1h ·
Kwa mujibu wa mbunifu wa jezi za Young Africans Sports Club Sheria Ngowi alisema kuwa jezi hizo pichani ni maalumu kwaajili ya mechi ya kimataifa lakini klabu ya Yanga tayari imeanza kuzitumia jezi hizo mazoezini.
Matarajio ya wengi walitarajia kuona Yanga wanatumia jezi hizi kwenye mechi za klabu bingwa na michuano mingine ya kimataifa
Bado haijafahamika ni kwanini Yanga wanatumia jezi hizi mazoezini wakati zilitambulishwa kuwa zitatumika katika mechi za kimataifa.
@yangasc
Sheria Ngowi ndiye aliye design jezi hizo?
Mkataba wake unasemaje? Yeye ndiye mwamuzi wa Yanga wavae Nini na wapi?
 
Yanga atacheza mechi 2 tu za know mataifa Sasa jezi za kimataifa za nini labda watazitumia kwenye kombe la mapinduzi
 
Yaani we kisenge humu Kila nikiibuka nakuta umeweka thread kuhusu yanga sjui unamtafuta mume na mbaya zaidi ndani ya Lisaa unaweka thread tatu mpk nne kolosenge ww
 
Sheria ngowi kazi yake iliisha, labda kama alitoa bure.
Hata hivyo Yanga wapo sahihi sana.
 
Yaani we kisenge humu Kila nikiibuka nakuta umeweka thread kuhusu yanga sjui unamtafuta mume na mbaya zaidi ndani ya Lisaa unaweka thread tatu mpk nne kolosenge ww
Siyo yanga sema utopolo ,matusi tutatukanana siku nyingine siyo leo
 
Hao ni misukule, we ulishaona wapi misukule ikawa professional?
 
Back
Top Bottom