Sheria Ngowi: Mbunifu wa mavazi Mtanzania anaemvalisha Kikwete na Pinda

Sheria Ngowi: Mbunifu wa mavazi Mtanzania anaemvalisha Kikwete na Pinda

Hongera Sheria... anawavisha matajiri wengi sana hapa mjini. Pia anawavisha Taifa Stars na Diamond

Nasikia Bakhresa kamuundia diamond juice ya embe.(special) inauzwa sh 600.
 
Kama jamaa ndo ana desisgn mavazi ya JK basi kakwama.. Nigga is always colour crashing, mikoti over size, mishati kama gazeti.... Yani kwa JK kakwama aiseeee


Kwa ujumla designers wetu kwa upande Wa suti bado Sana hebu ona masuti anayovaaga Pinda hutamani kumwangalia Mara mbili...

Hata JK masuti yanamshoresha Sana ukiondoa zile alizopewa na jamaa Wa Kempinsky mengine hovyo...
 
mzima huyu anagonga dadaka february manyuzinyuzi ndo maana anapatags dili kubwa kubwa


Binamu hata mashoga nao wanagonga. jamaa anagongwa sana nacmodels wake...
Mwanaume kamili na rijali hawezi jiweka hivyo.....
.

Na viongozi nao chenga huwezi kukibali uongee na mtoto Wa kiume huku kavaa hereni ni upuuzi...
 
jamaa kikweli na mkubali,nikipigaa hela za saccos atanivishaa
 
Hapa Pinda mbona anarembua?

1.jpg



 
Waswahili bwana.
Anamgonga ama ni business partner wake? Mtu ambae ameshiriki fashion show south africa na bado hamuwezi kujivunia kuwa walau aibu ya rais wetu kupewa zawadi za suti itatuondoka!
mzima huyu anagonga dadaka february manyuzinyuzi ndo maana anapatags dili kubwa kubwa
 
Waswahili bwana.
Anamgonga ama ni business partner wake? Mtu ambae ameshiriki fashion show south africa na bado hamuwezi kujivunia kuwa walau aibu ya rais wetu kupewa zawadi za suti itatuondoka!

mi namkubali ngowi sana tu ila hili ni zaidi ya partner wa bisness tena km wameachana sasa hv ndo wako kibiashara zaidi
 
Like i care who sleeps with who in this town?
Umeshapata morning glory? Changamka jua linatoka kaka
mi namkubali ngowi sana tu ila hili ni zaidi ya partner wa bisness tena km wameachana sasa hv ndo wako kibiashara zaidi
 
yaaani huyu ndio anamvalisha pinda maova size yale
 
Back
Top Bottom