Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaaani huyu ndio anamvalisha pinda maova size yale
jamaa mwenyewe km muhuni flani.kumbe ndio mana cjawahi kuona pinda kapendeza.
cheap kabisa unaambiwa $1500Na anamsupport sana kwenye duka lake lililopo Masaki ila daah suti anauza very expensive
Hivi nyerere alikuwa anavalishwa Na nani. (Designer)??
mzima huyu anagonga dadaka february manyuzinyuzi ndo maana anapatags dili kubwa kubwa
Kwa ujumla designers wetu kwa upande Wa suti bado Sana hebu ona masuti anayovaaga Pinda hutamani kumwangalia Mara mbili...
Hata JK masuti yanamshoresha Sana ukiondoa zile alizopewa na jamaa Wa Kempinsky mengine hovyo...
Hapo vipi
mzima huyu anagonga dadaka february manyuzinyuzi ndo maana anapatags dili kubwa kubwa
ila jamaa anajitahidiKipi cha ajabu huyo Ngowi anabuni duniani hakipo?? Au tu anashona suti??
Hongera Sheria unajitahidi kuwavisha vyema wanapendeza kweli keep it up dude
Bora rais.Hv ushawahi kumuona pinda katokelezea mkuu?Na hapo anadesigner wake.Je angekuwa anajipangia mwenyewe.Ha ha ha.una utani weye.anamshonea pia na raisi wetu.vp nae hua hapendezi pia.
pinda avae mitumba tu hizo nguo nyingine hazijawahi kumpendezaBora rais.Hv ushawahi kumuona pinda katokelezea mkuu?Na hapo anadesigner wake.Je angekuwa anajipangia mwenyewe.
ila jamaa anajitahidi
Hivi nyerere alikuwa anavalishwa Na nani. (Designer)??