Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Evidence? Jubilee wanawadanganya nyie..Mbna unga Tanzania ghali kuliko kenya na magufuli hana pressure
Bei ya unga wa sembe imetajwa kupaa jijini Dar es salaam kutokana na kukosekana kwa mahindi |Evidence? Jubilee wanawadanganya nyie..
Hilo neno povu huwa lipo rahisi kutoka midomoni mwenu, hata wakati mnaambiwa ukweli, hili janga la watoto kukosa pedi lipo Afrika yote na linawatesa sana wasichana wa Tanzania, sasa mwanaume mzima ambaye labda ni mzazi unajitoa ufahamu kwamba hulijui, unatia huruma.
Yes,ili kuzui Wakenya kuzamia TZ kwa kisingizio cha kuoa Mtz.Failure of most africans countries....kuna mmoja hapa tanzania alisema kufunga ndoa kwa raia wake mpaka uwe na cheti cha kuzaliwa....
Na ni Proffesor....
Kwakwakwakwakwa.......
You are a very patient man. Hongera. [emoji3] [emoji3]Hilo neno povu huwa lipo rahisi kutoka midomoni mwenu, hata wakati mnaambiwa ukweli, hili janga la watoto kukosa pedi lipo Afrika yote na linawatesa sana wasichana wa Tanzania, sasa mwanaume mzima ambaye labda ni mzazi unajitoa ufahamu kwamba hulijui, unatia huruma.
Gharama ya cotton wool ni nafuu sana kulinganisha na always, tena always za mchina ni za sufi hazi absorb.Safi, ila kumbuka umetumia neno 'tulinunua', sasa kuna wasichana vijijini hawana hata shilingi mia ya Tanzania.