Sheria ya Good Samaritan (msamalia mwema) ni muhimu ili kuwaokoa majeruhi

Sheria ya Good Samaritan (msamalia mwema) ni muhimu ili kuwaokoa majeruhi

Kiranja wa jamii

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2023
Posts
441
Reaction score
1,065
TANZANIA TUNAHITAJI SHERIA YA MSAMARIA MWEMA ILI KUWAOKOA MAJERUHI

Ndugu Viongozi wetu
Imefika wakati sasa Tanzania tunahitaji sheria ya Msamaria mwema au kwa kiingereza Good Samaritan Law. Sheria hii itawezesha kuokoa maisha ya watu wengi waliojeruhiwa, hasa na ajali za barabarani tofauti na ilivyo sasa.

Ilivyo sasa ikitokea ajali, wenye ujasiri wa kuokoa majeruhi na kuwafikisha hospitali ni wachache sana. Ikiwa ni boda boda basi watafunga njia magari yasipite huku miili ya waliofariki na majeruhi imelala chini hadi polisi wafike. Kama bodaboda hawajafunga njia, basi wale waliokaribu na ajali watajitahidi kuwatoa watu kwenye magari, mtihani utakuwa kuwafikisha hospitali. Hapa ndipo kwenye kutafutana kila mtu anakwepa, hataki ushahidi.

Inasemekana ukimsaidia majeruhi ukampeleka hospitali, unaweza jikuta wewe ndio unawajibika kwa kila kitu. Maana utaandikishwa wewe pale. Chochote kikitaka kufanyika lazima wewe ndio utapigiwa simu. Kuna wakati utaitwa polisi na huko unaweza uwekwe ndani hadi uchunguzi ukamilike, au uwe unatakiwa kuripoti tu au uunganishwe kwenye kesi. Hizi ndizo hofu walizonazo wananchi. Lakini tukiwa na sheria ya Msamaria mwema hofu hizi zitaondoka.

Sheria ya Msamaria Mwema itaruhusu mtu yeyote ambaye kwa nia njema na huruma aliyonayo, bila kutarajia malipo, kwa hiyari yake anaamua kusaidia majeruhi wa ajali, iwe kwa kufanya uokoaji, kumtibu, au kumsafirisha na kumfikisha hospitali au kumuuguza akiwa hospitali, na mtu huyo atalindwa na sheria kwa matendo au makosa yanayotokana na usamaria wema wake.

Zipo nchi tayari zina sheria hii ikiwemo India. Juhudi zetu zote za kuzuia ajali hazina faida yoyote kama tunashindwa kupunguza vifo vinavyotokana na majeruhi wa ajali. Ndio sababu dunia imejikita katika kupunguza vifo na majeruhi zaidi kuliko kuzuia ajali ambazo kimsimgi hatuwezi kuzimaliza kutoka na kuwa kwa asili yake, binadamu daima ni mkosaji tu, hata ungeweka askari kila baada ya mita 1. Badala yake tunazuia madhara yatokanayo na ajali kwa kujenga barabara bora, salama, na zinazosamehe, pia kuwa na magari bora, salama na yanayosamehe makosa ya dereva.

Usaidizi tunaotaka kwa majeruhi wa ajali kwa sasa hauongozwi na sheria yoyote. Ndio sababu, askari anaweza kusimamisha gari akaomba dereva apakie majeruhi dereva akakakataa. Askari wanalazimika kulazimisha tu gari kubeba maiti au majeruhi. Hao wanaolazimishwa wakati mwingine hawabishii sana wakishafikiria suala la utu. Lakini wengine wanakataa kabisa.
Katika nchi ambayo hatuna magari ya kutosha ya wagonjwa, hatuna ambulance za helkopta, hatuna madaktari wa kutosha, wala waokoaji wa kutosha, ingekuwepo sheria ya madereva kulazimika kutoa msaada barabarani kama sehemu ya wajibu kwa umma (public duty) katika hali ya dharura, kama inavyosemwa katika ibara ya 25(3)(c) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ingekuwepo sheria ya namna hiyo usiongeona mwili wa mwandishi wa Millard ayo aka Zuchy (RIP) kulala barabarani kwa muda mrefu huku Polisi wakisubiriwa waje, baada ya kuwa imetokea ajali. Madaktari wanasema dakika 3 hadi 4 (critical moments) baada ya kutokea ajali ni muhimu mnoo kuokoa uhai. Hivyo, wajibu wa watu wanaoshuhudia ajali (by-standers) ni muhimu sana katika kuokoa uhai.

Ni imani yangu viongozi wetu na watunga sheria mtaliona hili na kulifanyia kazi.

Copy and Paste from[emoji3596]

RSAadmin1
RSA Tanzania
Usalama Barabarani ni Jukumu Letu Sote
 
1714298236074.jpg

Ndugu Viongozi wetu
Imefika wakati sasa Tanzania tunahitaji sheria ya Msamaria mwema au kwa kiingereza Good Samaritan Law. Sheria hii itawezesha kuokoa maisha ya watu wengi waliojeruhiwa, hasa na ajali za barabarani tofauti na ilivyo sasa.

Ilivyo sasa ikitokea ajali, wenye ujasiri wa kuokoa majeruhi na kuwafikisha hospitali ni wachache sana. Ikiwa ni boda boda basi watafunga njia magari yasipite huku miili ya waliofariki na majeruhi imelala chini hadi polisi wafike. Kama bodaboda hawajafunga njia, basi wale waliokaribu na ajali watajitahidi kuwatoa watu kwenye magari, mtihani utakuwa kuwafikisha hospitali. Hapa ndipo kwenye kutafutana kila mtu anakwepa, hataki ushahidi.

Inasemekana ukimsaidia majeruhi ukampeleka hospitali, unaweza jikuta wewe ndio unawajibika kwa kila kitu. Maana utaandikishwa wewe pale. Chochote kikitaka kufanyika lazima wewe ndio utapigiwa simu. Kuna wakati utaitwa polisi na huko unaweza uwekwe ndani hadi uchunguzi ukamilike, au uwe unatakiwa kuripoti tu au uunganishwe kwenye kesi. Hizi ndizo hofu walizonazo wananchi. Lakini tukiwa na sheria ya Msamaria mwema hofu hizi zitaondoka.

Sheria ya Msamaria Mwema itaruhusu mtu yeyote ambaye kwa nia njema na huruma aliyonayo, bila kutarajia malipo, kwa hiyari yake anaamua kusaidia majeruhi wa ajali, iwe kwa kufanya uokoaji, kumtibu, au kumsafirisha na kumfikisha hospitali au kumuuguza akiwa hospitali, na mtu huyo atalindwa na sheria kwa matendo au makosa yanayotokana na usamaria wema wake.

Zipo nchi tayari zina sheria hii ikiwemo India. Juhudi zetu zote za kuzuia ajali hazina faida yoyote kama tunashindwa kupunguza vifo vinavyotokana na majeruhi wa ajali. Ndio sababu dunia imejikita katika kupunguza vifo na majeruhi zaidi kuliko kuzuia ajali ambazo kimsimgi hatuwezi kuzimaliza kutoka na kuwa kwa asili yake, binadamu daima ni mkosaji tu, hata ungeweka askari kila baada ya mita

1. Badala yake tunazuia madhara yatokanayo na ajali kwa kujenga barabara bora, salama, na zinazosamehe, pia kuwa na magari bora, salama na yanayosamehe makosa ya dereva.

Usaidizi tunaotaka kwa majeruhi wa ajali kwa sasa hauongozwi na sheria yoyote. Ndio sababu, askari anaweza kusimamisha gari akaomba dereva apakie majeruhi dereva akakakataa. Askari wanalazimika kulazimisha tu gari kubeba maiti au majeruhi. Hao wanaolazimishwa wakati mwingine hawabishii sana wakishafikiria suala la utu. Lakini wengine wanakataa kabisa.

Katika nchi ambayo hatuna magari ya kutosha ya wagonjwa, hatuna ambulance za helkopta, hatuna madaktari wa kutosha, wala waokoaji wa kutosha, ingekuwepo sheria ya madereva kulazimika kutoa msaada barabarani kama sehemu ya wajibu kwa umma (public duty) katika hali ya dharura, kama inavyosemwa katika ibara ya 25(3)(c) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Ingekuwepo sheria ya namna hiyo usiongeona mwili wa mwandishi wa Millard ayo aka Zuchy (RIP) kulala barabarani kwa muda mrefu huku Polisi wakisubiriwa waje, baada ya kuwa imetokea ajali. Madaktari wanasema dakika 3 hadi 4 (critical moments) baada ya kutokea ajali ni muhimu mnoo kuokoa uhai. Hivyo, wajibu wa watu wanaoshuhudia ajali (by-standers) ni muhimu sana katika kuokoa uhai.

Ni imani yangu viongozi wetu na watunga sheria mtaliona hili na kulifanyia kazi
 
Siyo kweli binafsi nimeshasaidia majeruhi kama wa 3 waliokua kwenye hali mbaya nimewapeleka hospital walipokelewa na nikaendelea na shughuli zangu bila kusumbuliwa, huwa nawaeleza ni majeruhi wa ajali iliyotokea sehem flan mimi nimetoa msaada tu nakabidhi hospital hiyo inabaki jukumu lao kumuhudumia au kumuacha

Polisi wakifika eneo la tukio wanaelezwa majeruhi yuko hospital flan baada ya kukagua tukio huwa wanapeleka pf 3 hospital wao wenyewe, ila sijawahi kusumbuliwa kisa nimetoa msaada.
 
Siyo kweli binafsi nimeshasaidia majeruhi kama wa 3 waliokua kwenye hali mbaya nimewapeleka hospital walipokelewa na nikaendelea na shughuli zangu bila kusumbuliwa, huwa nawaeleza ni majeruhi wa ajali iliyotokea sehem flan mimi nimetoa msaada tu nakabidhi hospital hiyo inabaki jukumu lao kumuhudumia au kumuacha

Polisi wakifika eneo la tukio wanaelezwa majeruhi yuko hospital flan baada ya kukagua tukio huwa wanapeleka pf 3 hospital wao wenyewe, ila sijawahi kusumbuliwa kisa nimetoa msaada.
Kwa upande wako utakuwa sahihi,
Lakini mimi nimeshuhudia watu wakipata kero sababu ya yeye kutoa msaada wakati wa ajali, ni simu kila wakati hadi kero na hadi unaitwa polisi ukaelezee mazingira yalikuwepo vp ajali ikatokea, unamaliza hapo mara unaitwa siku nyingine ukaandike maelezo kama shahidi baada ya labda dereva aliyesababisha ajali kupatikana wakati wewe una mishe zako za kufanya. Bado hospitalini kule jamaa aliitwa tena..sasa huo ni usumbufu
 
Siyo kweli binafsi nimeshasaidia majeruhi kama wa 3 waliokua kwenye hali mbaya nimewapeleka hospital walipokelewa na nikaendelea na shughuli zangu bila kusumbuliwa, huwa nawaeleza ni majeruhi wa ajali iliyotokea sehem flan mimi nimetoa msaada tu nakabidhi hospital hiyo inabaki jukumu lao kumuhudumia au kumuacha

Polisi wakifika eneo la tukio wanaelezwa majeruhi yuko hospital flan baada ya kukagua tukio huwa wanapeleka pf 3 hospital wao wenyewe, ila sijawahi kusumbuliwa kisa nimetoa msaada.
Soma kwa mapana mkuu, ingetokea majeruhi amekufa mkiwa njiani uende kukabidhi maiti ndo ungeona usumbufu upo wapi
 
Siyo kweli binafsi nimeshasaidia majeruhi kama wa 3 waliokua kwenye hali mbaya nimewapeleka hospital walipokelewa na nikaendelea na shughuli zangu bila kusumbuliwa, huwa nawaeleza ni majeruhi wa ajali iliyotokea sehem flan mimi nimetoa msaada tu nakabidhi hospital hiyo inabaki jukumu lao kumuhudumia au kumuacha

Polisi wakifika eneo la tukio wanaelezwa majeruhi yuko hospital flan baada ya kukagua tukio huwa wanapeleka pf 3 hospital wao wenyewe, ila sijawahi kusumbuliwa kisa nimetoa msaada.
Mkuu ni kweli hujawahi kusumbuliwa.Ila Ikiwepo Sheria ambayoinakutambua na kukupa Ulinzi nafikiri utakuwa Salama zaidi.

Kwa mfano Wa ajali ya Barabarani ni rahisi kujihisi salama.Ila kuna sehemu watu wanaogopa kutoa Msaada kwa sababu Wanaweza kuwa Sehemu ya Mashahidi kwa lazima na mara nyingine unakuta hawan Facts za Suala Husika Je Huoni kuna hitajika Sheria ambayo itamtambua mtu ambaye atatoa Msaada wa kuokoa Maisha na Kutokumlazimisha kuwa Shahidi,kwa lazima bila ridhaa na utayari wake?

Nafikiri Hii sheria inahitajika kuwepo kwa mustakabali wa Taifa letu.

Ila ningependa kufahamu iwapo Kuna Sheria Ulinzi wa Shahidi kwa Tanzania (Witness Protection)
 
Kwa upande wako utakuwa sahihi,
Lakini mimi nimeshuhudia watu wakipata kero sababu ya yeye kutoa msaada wakati wa ajali, ni simu kila wakati hadi kero na hadi unaitwa polisi ukaelezee mazingira yalikuwepo vp ajali ikatokea, unamaliza hapo mara unaitwa siku nyingine ukaandike maelezo kama shahidi baada ya labda dereva aliyesababisha ajali kupatikana wakati wewe una mishe zako za kufanya. Bado hospitalini kule jamaa aliitwa tena..sasa huo ni usumbufu
Kushindwa kusaidia uhai wa mtu kisa kuogopa kuwa eti utaandikwa maelezo kama shahidi huo ni ujinga tulionao watanzania, eneo la tukio hapo hapo mnaungana watu watatu au wanne mnasaidiana kubeba majeruhi na kumpeleka hospital wala hakuna shida yoyote

Kwa nchi yenye uhaba wa vitendea kazi kama yetu ukisubiri uwaone polisi utaishia kuona ndugu yako/binadam mwenzako akikata roho mbele yako wakati ulikua na muda wa kumsaidia kiuhalisia kazi kuchukua majeruhi/mwili wa marehem na kumpeleka hospital hiyo ni kazi ya ambulance ya hospital na siyo polisi kwa uhaba uliopo viongozi wanajinunulia magari ya gharama wao na siyo magari ya kusaidia wananchi ndo maana yanatokea yanayotokea

Ila usiache kumsaidia mtu hakuna sheria inayo kukataza kusaidia majeruhi na kumpeleka hospital kinachotusumbua ni uoga na kutokujali uhai wa wengine, sidhan kama ikitokea aliepata ajali ni mtoto wako au mzazi wako utasubiri hadi polisi wafike na wakati ipo nafasi ya kuokoa uhai kabla hajamwagika damu nyingi
 
View attachment 2975999
Ndugu Viongozi wetu
Imefika wakati sasa Tanzania tunahitaji sheria ya Msamaria mwema au kwa kiingereza Good Samaritan Law. Sheria hii itawezesha kuokoa maisha ya watu wengi waliojeruhiwa, hasa na ajali za barabarani tofauti na ilivyo sasa.

Ilivyo sasa ikitokea ajali, wenye ujasiri wa kuokoa majeruhi na kuwafikisha hospitali ni wachache sana. Ikiwa ni boda boda basi watafunga njia magari yasipite huku miili ya waliofariki na majeruhi imelala chini hadi polisi wafike. Kama bodaboda hawajafunga njia, basi wale waliokaribu na ajali watajitahidi kuwatoa watu kwenye magari, mtihani utakuwa kuwafikisha hospitali. Hapa ndipo kwenye kutafutana kila mtu anakwepa, hataki ushahidi.

Inasemekana ukimsaidia majeruhi ukampeleka hospitali, unaweza jikuta wewe ndio unawajibika kwa kila kitu. Maana utaandikishwa wewe pale. Chochote kikitaka kufanyika lazima wewe ndio utapigiwa simu. Kuna wakati utaitwa polisi na huko unaweza uwekwe ndani hadi uchunguzi ukamilike, au uwe unatakiwa kuripoti tu au uunganishwe kwenye kesi. Hizi ndizo hofu walizonazo wananchi. Lakini tukiwa na sheria ya Msamaria mwema hofu hizi zitaondoka.

Sheria ya Msamaria Mwema itaruhusu mtu yeyote ambaye kwa nia njema na huruma aliyonayo, bila kutarajia malipo, kwa hiyari yake anaamua kusaidia majeruhi wa ajali, iwe kwa kufanya uokoaji, kumtibu, au kumsafirisha na kumfikisha hospitali au kumuuguza akiwa hospitali, na mtu huyo atalindwa na sheria kwa matendo au makosa yanayotokana na usamaria wema wake.

Zipo nchi tayari zina sheria hii ikiwemo India. Juhudi zetu zote za kuzuia ajali hazina faida yoyote kama tunashindwa kupunguza vifo vinavyotokana na majeruhi wa ajali. Ndio sababu dunia imejikita katika kupunguza vifo na majeruhi zaidi kuliko kuzuia ajali ambazo kimsimgi hatuwezi kuzimaliza kutoka na kuwa kwa asili yake, binadamu daima ni mkosaji tu, hata ungeweka askari kila baada ya mita

1. Badala yake tunazuia madhara yatokanayo na ajali kwa kujenga barabara bora, salama, na zinazosamehe, pia kuwa na magari bora, salama na yanayosamehe makosa ya dereva.

Usaidizi tunaotaka kwa majeruhi wa ajali kwa sasa hauongozwi na sheria yoyote. Ndio sababu, askari anaweza kusimamisha gari akaomba dereva apakie majeruhi dereva akakakataa. Askari wanalazimika kulazimisha tu gari kubeba maiti au majeruhi. Hao wanaolazimishwa wakati mwingine hawabishii sana wakishafikiria suala la utu. Lakini wengine wanakataa kabisa.

Katika nchi ambayo hatuna magari ya kutosha ya wagonjwa, hatuna ambulance za helkopta, hatuna madaktari wa kutosha, wala waokoaji wa kutosha, ingekuwepo sheria ya madereva kulazimika kutoa msaada barabarani kama sehemu ya wajibu kwa umma (public duty) katika hali ya dharura, kama inavyosemwa katika ibara ya 25(3)(c) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Ingekuwepo sheria ya namna hiyo usiongeona mwili wa mwandishi wa Millard ayo aka Zuchy (RIP) kulala barabarani kwa muda mrefu huku Polisi wakisubiriwa waje, baada ya kuwa imetokea ajali. Madaktari wanasema dakika 3 hadi 4 (critical moments) baada ya kutokea ajali ni muhimu mnoo kuokoa uhai. Hivyo, wajibu wa watu wanaoshuhudia ajali (by-standers) ni muhimu sana katika kuokoa uhai.

Ni imani yangu viongozi wetu na watunga sheria mtaliona hili na kulifanyia kazi
Wazo lako ni zuri sana...Best 💡 idea. Anaekupinga hana upeo... Yule anaesema anasaidia ni kienyeji...ten percent of 100 events
 
TANZANIA TUNAHITAJI SHERIA YA MSAMARIA MWEMA ILI KUWAOKOA MAJERUHI

Ndugu Viongozi wetu
Imefika wakati sasa Tanzania tunahitaji sheria ya Msamaria mwema au kwa kiingereza Good Samaritan Law. Sheria hii itawezesha kuokoa maisha ya watu wengi waliojeruhiwa, hasa na ajali za barabarani tofauti na ilivyo sasa.

Ilivyo sasa ikitokea ajali, wenye ujasiri wa kuokoa majeruhi na kuwafikisha hospitali ni wachache sana. Ikiwa ni boda boda basi watafunga njia magari yasipite huku miili ya waliofariki na majeruhi imelala chini hadi polisi wafike. Kama bodaboda hawajafunga njia, basi wale waliokaribu na ajali watajitahidi kuwatoa watu kwenye magari, mtihani utakuwa kuwafikisha hospitali. Hapa ndipo kwenye kutafutana kila mtu anakwepa, hataki ushahidi.

Inasemekana ukimsaidia majeruhi ukampeleka hospitali, unaweza jikuta wewe ndio unawajibika kwa kila kitu. Maana utaandikishwa wewe pale. Chochote kikitaka kufanyika lazima wewe ndio utapigiwa simu. Kuna wakati utaitwa polisi na huko unaweza uwekwe ndani hadi uchunguzi ukamilike, au uwe unatakiwa kuripoti tu au uunganishwe kwenye kesi. Hizi ndizo hofu walizonazo wananchi. Lakini tukiwa na sheria ya Msamaria mwema hofu hizi zitaondoka.

Sheria ya Msamaria Mwema itaruhusu mtu yeyote ambaye kwa nia njema na huruma aliyonayo, bila kutarajia malipo, kwa hiyari yake anaamua kusaidia majeruhi wa ajali, iwe kwa kufanya uokoaji, kumtibu, au kumsafirisha na kumfikisha hospitali au kumuuguza akiwa hospitali, na mtu huyo atalindwa na sheria kwa matendo au makosa yanayotokana na usamaria wema wake.

Zipo nchi tayari zina sheria hii ikiwemo India. Juhudi zetu zote za kuzuia ajali hazina faida yoyote kama tunashindwa kupunguza vifo vinavyotokana na majeruhi wa ajali. Ndio sababu dunia imejikita katika kupunguza vifo na majeruhi zaidi kuliko kuzuia ajali ambazo kimsimgi hatuwezi kuzimaliza kutoka na kuwa kwa asili yake, binadamu daima ni mkosaji tu, hata ungeweka askari kila baada ya mita 1. Badala yake tunazuia madhara yatokanayo na ajali kwa kujenga barabara bora, salama, na zinazosamehe, pia kuwa na magari bora, salama na yanayosamehe makosa ya dereva.

Usaidizi tunaotaka kwa majeruhi wa ajali kwa sasa hauongozwi na sheria yoyote. Ndio sababu, askari anaweza kusimamisha gari akaomba dereva apakie majeruhi dereva akakakataa. Askari wanalazimika kulazimisha tu gari kubeba maiti au majeruhi. Hao wanaolazimishwa wakati mwingine hawabishii sana wakishafikiria suala la utu. Lakini wengine wanakataa kabisa.
Katika nchi ambayo hatuna magari ya kutosha ya wagonjwa, hatuna ambulance za helkopta, hatuna madaktari wa kutosha, wala waokoaji wa kutosha, ingekuwepo sheria ya madereva kulazimika kutoa msaada barabarani kama sehemu ya wajibu kwa umma (public duty) katika hali ya dharura, kama inavyosemwa katika ibara ya 25(3)(c) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ingekuwepo sheria ya namna hiyo usiongeona mwili wa mwandishi wa Millard ayo aka Zuchy (RIP) kulala barabarani kwa muda mrefu huku Polisi wakisubiriwa waje, baada ya kuwa imetokea ajali. Madaktari wanasema dakika 3 hadi 4 (critical moments) baada ya kutokea ajali ni muhimu mnoo kuokoa uhai. Hivyo, wajibu wa watu wanaoshuhudia ajali (by-standers) ni muhimu sana katika kuokoa uhai.

Ni imani yangu viongozi wetu na watunga sheria mtaliona hili na kulifanyia kazi.

Copy and Paste from[emoji3596]

RSAadmin1
RSA Tanzania
Usalama Barabarani ni Jukumu Letu Sote
Naunga mkono Hoja 100%...My Bro nadhan alikufa kwa kukosa msaada mapema...Ajali apate saa 4 usiku hadi saa 8 usiku yupo ndani kabanwa na mstelingi watu wanamwangalia tu.😢
 
Back
Top Bottom