Sheria ya kimataifa ya vita kiuhalisia haitekelezeki

Sheria ya kimataifa ya vita kiuhalisia haitekelezeki

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
kuna sheria inasema kwamba mwanajeshi aliyeishiwa risasi akijisalimisha kwa jeshi la upinzani anapaswa aheshimiwe na alindwe apewe huduma za afya chini ya uangalizi.

Tukija kwenye uhalisia assume hata wewe upo kwemye uwanja wa mapambano halafu adui yako aliyekuwa anataka kukuaa amekukosa kosa na risasi halafu ghafla aishiwe risasi kweli utamuacha usimchape risasi kisha kanyosha mikono juu?
Watalaama wa vita nisaidie hilo wanajeshi kwenye frontline wanaweza wakawa na huruma hizo dhidi ya adui?
 
kuna sheria inasema kwamba mwanajeshi aliyeishiwa risasi akijisalimisha kwa jeshi la upinzani anapaswa aheshimiwe na alindwe apewe huduma za afya chini ya uangalizi.

Tukija kwenye uhalisia assume hata wewe upo kwemye uwanja wa mapambano halafu adui yako aliyekuwa anataka kukuaa amekukosa kosa na risasi halafu ghafla aishiwe risasi kweli utamuacha usimchape risasi kisha kanyosha mikono juu?
Watalaama wa vita nisaidie hilo wanajeshi kwenye frontline wanaweza wakawa na huruma hizo dhidi ya adui?
Yes, it depends.
Wewe unafikiri ni kwa nini haiwezekani?

You've to take him/her as a prisoner of war.
 
Mbona iko sana hiyo ya kuwa chukua adui mateka vitani? Hujui kuwa hiyo inawapa good chance for bargaining. Ili na nyie mate ndugu zenu waliotekwa na jeshi la adui au kurudishwa kile mnacho piginia au vyote viwili.
 
Binafsi namuacha. Mtu akiinua mikononi juu ni kudhalilika kuliko hata kufa. Huyo namuacha. Mtu akiinua mikono maana yake hana namna nyingine, hatima yake iko mikononi mwangu maana yake amekubali nimuue sawa, nimsamehe sawa, nimfanye chochote sawa.
 
Mazingira ya kuitekeleza sheria hiyo ni magumu sana.
 
Mimi mpaka leo bado sjaelewa mabondia wanapomaliza pambano ile kukumbatiana na kutabasamu huwa wanaitoa wapi,mimi siwez yaan tumetoka kuchapana makonde baadae nikukumbatie kwa tabasamu hapana
 
Back
Top Bottom