Sheria ya kutokudai fidia pale Unapopata kesi ya kusingiziwa, haipo poa. Itakulinda leo wewe mtawala ila kesho itakugeukia wewe ama wakaribu yako

Sheria ya kutokudai fidia pale Unapopata kesi ya kusingiziwa, haipo poa. Itakulinda leo wewe mtawala ila kesho itakugeukia wewe ama wakaribu yako

Noel france

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2012
Posts
1,104
Reaction score
917
Kwa mara nyingine mungu wetu ametupa nafasi hadimu na hadhimu katika hii Dunia, hatuna budi kumshukuru.

Nikienda moja Kwa moja kwenye hoja yangu ya msingi. Kiukweli nimetafakari vya kutosha kuhusiana na hoja ya kuto kudai fidia pale inapptokea umeshtakiwa kimakosa,haijalishi itakuwa umeonewa ama umesingiziwa ama laa umebambikiwa kesi ya ugaidi na hata kama utakosa mawakili waziri kama kibatala n.k.

Kiukweli nimeshindwa kumulewa waziri wangu wa mambo ndani na nimeshindwa kimuambia aache kujipendekeza ama kujisahau mwishoe akashindwa kukumbuka Kuna kesho ambayo yeye mwenyewe itakuja kumghalimu hapo baadae, kama si yeye basi ndugu yake.

Wana CCM wanapaswa kujua wasifanye makosa ya kutunga Sheria Kwa kuangalia leo.
 
Sheria za kukomoana zinawatesa Rai wa kawaida wa hali ya chini,huku wao wanasherekea.

Tunapaswa kujifunza kutokana na makosa yaliyopita. Mfano mzuri Sheri ya vyombo vya habari iliyopitishwa na ndugu nape,wote inatuumiza sasa
 
Itawabana wao
Wamefanya hivyo baada ya kuona uwezekano mkubwa mh. FAM kuja kuwashtaki Kwa kosa la kubambikiwa kesi ya ugaidi. Hii ni mbaya sana inamfanya mtu kuichukia serikali na viongozi wake.
 
Back
Top Bottom