Hello,
Naomba kufahamu kuhusiana na sheria ya mafao (Pension). iwapo nina wafanyakazi ambao ni part time, mfano daktari anayefanya kwenye kituo cha afya kwa masaa, sheria inanitaka nifanye makato ya pension? au ikiwa wafanyakazi wako kwa muda wakisubiri ajira nyingine, suala la pension kwao likoje?
Natanguliza shukurani.
Naomba kufahamu kuhusiana na sheria ya mafao (Pension). iwapo nina wafanyakazi ambao ni part time, mfano daktari anayefanya kwenye kituo cha afya kwa masaa, sheria inanitaka nifanye makato ya pension? au ikiwa wafanyakazi wako kwa muda wakisubiri ajira nyingine, suala la pension kwao likoje?
Natanguliza shukurani.