DOKEZO Sheria ya Mikopo ya Mtandaoni bado inavunjwa kwa kutoa siri za mteja

DOKEZO Sheria ya Mikopo ya Mtandaoni bado inavunjwa kwa kutoa siri za mteja

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Pamoja na sheria ya mikopo ya mitandaoni kusainiwa, lakini bado kuna baadhi ya vijikampuni vinatoa siri za wateja wanapochelewa kulipa kwa kutuma msg za kumdhalilisha mkopaji, kwa watu ambao wapo kwenye simu yake hii ni kinyume na sheria ilisainiwa.

Tungependa kupata muongozo sahihi kwa watu ambao ni victim wa uvunjaji huo wa sheria, kwa mfano application ya Bora pesa bado inatoa siri za wakopaji wao kwa kutuma jumbe kwenye namba ambazo zipo kwenye call log au phone book ya mteja

Tunaiomba serikali ifanye jambo kwa ajili ya kukomesha uhalifu huu.
 
Pamoja na sheria ya mikopo ya mitandaoni kusainiwa, lakini bado kuna baadhi ya vijikampuni vinatoa siri za wateja wanapochelewa kulipa kwa kutuma msg za kumdhalilisha mkopaji, kwa watu ambao wapo kwenye simu yake hii ni kinyume na sheria ilisainiwa.

Tungependa kupata muongozo sahihi kwa watu ambao ni victim wa uvunjaji huo wa sheria, kwa mfano application ya Bora pesa bado inatoa siri za wakopaji wao kwa kutuma jumbe kwenye namba ambazo zipo kwenye call log au phone book ya mteja

Tunaiomba serikali ifanye jambo kwa ajili ya kukomesha uhalifu huu.
Pole sana kwa kudhalilishwa, hao jamaa twa mikopo twa hivo wanapigiaga sinu ndugu na kuwaambia kuwa umechagua kuwa tapeli malaya ili upate hela na umeadhulumu hela yao.
 
Back
Top Bottom