Serikali zote huendeshwa kwa kodi, sheria zipo kwa kila anaye make income lazima alipe kodi, its very unfortunately, Tanzania hatuna uwezo wa usimamizi wa icome ya kila Mtanzania, nimefanya kazi UK, sheria ya kazi UK, wages zote lazima zilipwe kwa cheque kupitia bank, na malipo yote ya mishahara ni lazima kulipa kupitia bank na tulikuwa tunalipwa kwa hours na paycheck ni weekly. Ukienda bank kudeposit hiyo cheque kitu cha kwanza ni kukatwa kodi.
Hapa bongo nimeajiriwa na FCO kwa miaka 4, sikuwahi kulipa kodi hata senti tano kwa miaka yote 4!, ukifanya kazi na wazungu,na unalipwa from foreign sources, unapaswa wewe mwenyewe kwenda TRA na kudeclare.
Ila pia kuna ma off shore banks kibao, yana operates from islands hawafungamani na nchi yoyote kama kisiwa Jersey or Isiles of Man, ni kama zilivyo Swiss Banks, huuliziwi fedha umetoa wapi, wala dislosure kwa yeyete, hivyo waficha fedha wote huficha fedha zao huko.
India ndio the cheapest labor kwenye consultancies, sasa hivi waxungu wanawatumia sana ma lawyers wa India. Hata kwenye media industry, pesa ndefu ni kwenye matangazo, its cheaper kutengeneza tangazo zuri la TV India kuliko Bongo.
P