Sheria za kufungua Baa, nyumba za Ibada ziangaliwe upya

Je,tuishie kuwalaumu tu bila kuwataka wawajibike?Ukimya ni kumpa jeuri mjinga.Waambiwe.Tena waambiwe kwa sauti ya kimamlaka ili wachukue hatua zinazofaa.Tukibembelezana tutaishia kukonda kwa sonona.
 
Huu ujumbe iwafikie serikali kuu mpaka serikali ya mtaa. Imekuwa Ni kero huku mtaani. Kama viongozi wa serikalini wangekuwa wanaishi mazingira haya sidhani wangekubali Hali hii iendelee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…