Sheria za TFF zisingegusa matokea ya mchezo uliokatiwa rufaa

Kama wenzetu wamefunga mifumo ya kuweka kumbukumbu za kila tukio ktk mechi.

Sisi tunashindwa nini kufanya hivyo na kila siku Viongozi wanaenda huko,net wanazo,Ofisi wanazo,computer wanazo vijana wa IT wamejaa tele.

Sijui tulaaniwa na nani??

Na ndiyo maana Rais alisimamisha safari za nje kwa Viongozi wa Serikali kwasababu hakuna mabadiliko hata wakirudi.
 
Nadhani Pamoja na point 3 kurudi kwa Kagera FC lakini na sheria ziangaliwe
 
Naona Charles Boniface Mkwassa amesisitiza sheria na kanuni kuangaliwa upya kwa timu inayofanya makosa kuadhibiwa bila kuathiri matokeo ya mchezo mwenyewe uliochezwa.

Amesema timu kupewa point mezani inakatisha tamaa na si ushindi halisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…