msebia
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 470
- 357
IkiwezekanaAtawale hewa au pamoja na TFF?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IkiwezekanaAtawale hewa au pamoja na TFF?
Tatizo lako mkuu in point tatu kwenda kwa simbaTatizo na sheria si usimba kabisa
Kwa haya ya mezani, kweli pole inatuhusu, maana hatuna uwezo na uzoefu nayo...asante. Lakini ya uwanjani, tutapambana. Tunamuomba Mungu Toto Africa awe hajachezesha mchezaji mwenye kadi tatu za blue ili mpira uendelee kuchezwa uwanjaniMkuu naomba ku "declare interest" kuwa mimi ni mshabiki wa Simba
-ila naomba uniambie kuwa tatizo la ile kamati ya saa 72 ni nini?
-na pia niambie kama hizi sheria zimepitwa na wakati tufwate sheria zipi??(kwa makosa ya timu kutotunza rekodi)
Haya mengine yanayotokea ni show off tu za watu. Ligi yetu mbovu na imejaa ushabiki
Poleni yanga imekula kipande yenu wakati huu
uliona wapi matokeo ya uwanjani yakabadilishwa ktk nchi zilizoendelea?hiyo kamati PIA makandokando mengi Tu kumbukumbu za mechi zinahifadhiwa bodi ya ligi waamuzi waliitwa kufanya nn kama sio mianya ya rushwa Tu?Mkuu naomba ku "declare interest" kuwa mimi ni mshabiki wa Simba
-ila naomba uniambie kuwa tatizo la ile kamati ya saa 72 ni nini?
-na pia niambie kama hizi sheria zimepitwa na wakati tufwate sheria zipi??(kwa makosa ya timu kutotunza rekodi)
Haya mengine yanayotokea ni show off tu za watu. Ligi yetu mbovu na imejaa ushabiki
Poleni yanga imekula kipande yenu wakati huu
uliona wapi matokeo ya uwanjani yakabadilishwa ktk nchi zilizoendelea?hiyo kamati PIA makandokando mengi Tu kumbukumbu za mechi zinahifadhiwa bodi ya ligi waamuzi waliitwa kufanya nn kama sio mianya ya rushwa Tu?
Inaonekana wewe ni mwelewa sana, Kawaambie FIFA wafute. Unajua FIFA na CAF ni vilaza sanaHaya mambo ya Timu kunyang'anywa point kiukweli si mazuri.
Sheria ziangalie makosa yaliyojitokeza na kutoka adhabu lakini matokeo ya uwanjani yabaki kama yalivyo.
Kiukweli timu kupewa pointi za mezani ni kizamani sana
Sheria ziangaliwe upya kwa TFF
Lugha kwako ni tatizo Sana.... Wapi wamefuta ushindi wa Madrid!!!?? Ushindi upo palepale ila timu ndio ilitolewa kwenye mashindano kwa kukiuka Kanuni.... Serengeti boys wamefuzu LAKINI matokeo yamebaki yaleyale.... Naona mnachanganya madesaHii ni kwa wazungu unaowaamini usidhani simba kabebwa sheria zipo wazi na ni sheria za Fifa kama huna fact kaa kimya.
Ukichezesha mchezaji ineligible unaadhibiwa.
View attachment 497561
Mbona Yanga hamkuandamana kama mnavyoandama kwa Simba? mi huwa nawadharau watz kitu kama kinafaidisha anapiga kimya hata kama si halali ila kama hakimfaidishi makelele kibao. teh he he he!!! hi ndo nchi ya Wabongo.Hata kwa azam ilikuwa ni makosa pia kupewa Yanga hizo point
Ushindi wa mezani haufai kabisa.
kama timu ilofungwa imesonga mbele hivi imepewa nini ? mbona mnajitoa ufahamu Congo, Madrid wameshinda lakini wamenyang'anywa ushindi siyo pointi za mezani hizo hivi mnataka mueleweshweje,? otherwise mchezaji hana kadi tatu hapo sawa.Alitolewa ok. Na vp opponent wake, alipewa points 3 + magoli ma3, labda?
Maandamano ktk michezo itakuwa mazito hayo.....Mbona Yanga hamkuandamana kama mnavyoandama kwa Simba? mi huwa nawadharau watz kitu kama kinafaidisha anapiga kimya hata kama si halali ila kama hakimfaidishi makelele kibao. teh he he he!!! hi ndo nchi ya Wabongo.
Nimependa kwamba unakuwa jasiri kusimamia hoja hata kama si kweli naamini umejifunza mengi kupitia Uzi huu big-up mtani wangu tukosoane ili tujenge soka letu ila point ni za MSIMBAZI tu.Maandamano ktk michezo itakuwa mazito hayo.....
Hahahaaa. Mue mnajaribu basi kufatilia mpira wenyewe. Nyie mnazungumza tu kutokana na hisia zenu. Timu kubwa kama real Madrid msimu uliopita sio tu kunyang'anywa ushindi bali waliondolewa kabisa mashindanoni kwenye kombe la mfalme kwa kosa kama hili hili, ijekua kagera sugar 🙂)Haya mambo ya Timu kunyang'anywa point kiukweli si mazuri.
Sheria ziangalie makosa yaliyojitokeza na kutoka adhabu lakini matokeo ya uwanjani yabaki kama yalivyo.
Kiukweli timu kupewa pointi za mezani ni kizamani sana
Sheria ziangaliwe upya kwa TFF
Hivi rekodi zinatunzwa na klabu au chama cha soka? Je wakati wa mechi ni afisa gani wa klabu anayerekodi kadi za wachezaji na kuhesabu zimefika ngapi?Ni kweli kabisa mkuu. FIFA ilishaacha kutoa adhabu za kulipa faini ya pesa baada ya kuona hilo haliviumizi vilabu kwani vilabu ni tajiri sana na badala yake wakaanza kutoa adhabu ambazo kwa namna moja ama nyingine zitaathiri matokeo ya timu.
Pia katika swala la point za mezani, FIFA hawatoi point za mezani katika mashindano yao na ikitokea kuna udanganyifu basi timu iliyofanya udanganyifu huondolewa mashindanoni moja kwa moja. Adhabu hii kidogo huifanya timu ziwe makini na kuweka rekodi za mienendo ya adhabu za wachezaji katika timu zao.
Mwisho, siilaumu TFF kuwapa point simba, nawalaumu kagera kwa kutokua makini na wachezaji wao, kwa mfano; katika ligi za ulaya ukipata kadi nyekundu (Au njano 5 katika nusu 1 ya msimu) katika mchezo wa FA, basi kadi ile utaitumikia hata kwenye michezo ya ligi kwani nayo pia ipo chini ya chama kile kile cha soka cha FA.
...Nawasilisha...
Tumecheza sana sio kuufuatilia tu.Hata FIFA hawapendi point za mezani na ndiyo maana pre match meeting walishasema status za timu zitolewe ktk kikao hicho.Hahahaaa. Mue mnajaribu basi kufatilia mpira wenyewe. Nyie mnazungumza tu kutokana na hisia zenu. Timu kubwa kama real Madrid msimu uliopita sio tu kunyang'anywa ushindi bali waliondolewa kabisa mashindanoni kwenye kombe la mfalme kwa kosa kama hili hili, ijekua kagera sugar 🙂)