Ninajiuliza ni sheria zipi zinazosimamia na kuzuia matusi wakati wa Uchaguzi ujao wa Udiwani, Ubunge au Urais hapo Oktoba 2020. Tafsiri ya tusi/matusi ni nini? Je,hawa watakaotuhumiwa kuwa wametukana watawezaje kuthibitishwa?
Je, haiwezekani mtu akamtuhumu mshindani wake katukana ili asiwe mshindani wakati wa kampeni. Kesi zitajaa mahakamani kwa jambo ambalo ni vigumu sana kulithibitisha na gharama, muda mwingi wa mahakama vitatumika kusikiliza mashauri yasiyo na tija.
How come matusi yakawa kitisho cha uchaguzi wa haki kuliko ukosefu wa Tume Huru ya Uchaguzi au vitisho vinavyoendelea kwa wapinzani?
Badala ya kujadili na kukukubaliana bila kuburuzana juu ya umuhimu wa kuwa na uwanja sawa wa mchezo kwa washindani wote, tunaanzisha jambo ambalo litaenda kuongeza migogoro zaidi?
Tanzania ni Yetu sote, siyo mali ya CCM au watu wachache wanaofanya wapendavyo.
Je, haiwezekani mtu akamtuhumu mshindani wake katukana ili asiwe mshindani wakati wa kampeni. Kesi zitajaa mahakamani kwa jambo ambalo ni vigumu sana kulithibitisha na gharama, muda mwingi wa mahakama vitatumika kusikiliza mashauri yasiyo na tija.
How come matusi yakawa kitisho cha uchaguzi wa haki kuliko ukosefu wa Tume Huru ya Uchaguzi au vitisho vinavyoendelea kwa wapinzani?
Badala ya kujadili na kukukubaliana bila kuburuzana juu ya umuhimu wa kuwa na uwanja sawa wa mchezo kwa washindani wote, tunaanzisha jambo ambalo litaenda kuongeza migogoro zaidi?
Tanzania ni Yetu sote, siyo mali ya CCM au watu wachache wanaofanya wapendavyo.