Sheria zipo kwa ajili ya kurekebisha au kukomoa?

Sheria zipo kwa ajili ya kurekebisha au kukomoa?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Naona binafsi sheria zimewekwa ili kutoa adhabu na siyo kurekebisha tabia,taasisi zinazoshughulika na taratibu zimekuwa zikitozq fedha pasipo kuangalia/kuweka misingi ya kutokomeza tatizo Mfano Trafik licha ya utozaji wa faini bado kuna ongezeko kubwa la ajali na makosa ya barabarani.

Naona ipo haja ya kuanzisha utaratibu mpya wa kutoa elimu,marekebisho ya sheria za faini na sheria za huduma husika ili kiendana na wakati pamoja kufikia lengo.
 
Sheria zimewekwa ili zisikilizwe, ila kuna mda Fulani huwa zinapindishwa kwa ajili ya maslah ya wananchi.
 
Naona binafsi sheria zimewekwa ili kutoa adhabu na siyo kurekebisha tabia,taasisi zinazoshughulika na taratibu zimekuwa zikitozq fedha pasipo kuangalia/kuweka misingi ya kutokomeza tatizo Mfano Trafik licha ya utozaji wa faini bado kuna ongezeko kubwa la ajali na makosa ya barabarani.

Naona ipo haja ya kuanzisha utaratibu mpya wa kutoa elimu,marekebisho ya sheria za faini na sheria za huduma husika ili kiendana na wakati pamoja kufikia lengo.
Naona ipo haja ya kuanzisha utaratibu mpya wa kutoa elimu,marekebisho ya sheria za faini na sheria za huduma husika ili kiendana na wakati pamoja kufikia lengo.

Ifike wakati sasa wasimamizi wa hizo sheria waache kuwa watoza faini kwa mfumo wa Cash. Uwepo utaratibu wa kidigital ili kupunguza mianya ya rushwa hiyo itawapunguzia hata hao wasimamia sheria tamaa za hapa na pale mfano mzuri ni trafic 😎
 
Back
Top Bottom