She's single and searching for love

She's single and searching for love

X-PASTER

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
11,605
Reaction score
1,843
She's single and searching for love:

6414d1257105090-a-st.jpg










st.jpg
 
Nipatie contact zake tena huyu ndio mzuri hachoki hata mwende asali mwezi/honey moon ya mwezi yeye yuko fit tatizo kidogo kwenye ugomvi anaweza akanikaba ila anyway nitakomaa nae.
 
This's what am talkin' bout....perfect for African men!
 
Nipatie contact zake tena huyu ndio mzuri hachoki hata mwende asali mwezi/honey moon ya mwezi yeye yuko fit tatizo kidogo kwenye ugomvi anaweza akanikaba ila anyway nitakomaa nae.

Shauri yako usije kuanza kuomba ushauri,nini cha kufanya hapo baadae.Maana huyu unaweza kumpa talaka na akaichana kisha akaendelea kukomaa na wewe.
 
Shauri yako usije kuanza kuomba ushauri,nini cha kufanya hapo baadae.Maana huyu unaweza kumpa talaka na akaichana kisha akaendelea kukomaa na wewe.


Kweli kbs, tena anaweza kuimeza akanitwanga vichwa ila baadae mapenzi ni ya wawili tutaendelea tu.
 
Kweli kbs, tena anaweza kuimeza akanitwanga vichwa ila baadae mapenzi ni ya wawili tutaendelea tu.

Sawa mkuu ila kama unapenda sana vidosho inabidi uache,la sivyo kila siku tutakuwa tunakuja kukutizama Muhimbili.Pili inabidi uanze gym ili siku moja moja unajitutumua,au vipi!
 
Sawa mkuu ila kama unapenda sana vidosho inabidi uache,la sivyo kila siku tutakuwa tunakuja kukutizama Muhimbili.Pili inabidi uanze gym ili siku moja moja unajitutumua,au vipi!

1.Kwenye red wapwa watajibu.
2. Kwenye blue sipendi vidosho natafuta mchumba.
 
Dah mtoto katulia huyu mzuri sana au ndo Semenya?
 
1.Kwenye red wapwa watajibu.
2. Kwenye blue sipendi vidosho natafuta mchumba.

Wapwa tutamjibu baada ya kujua kama yeye ni he au she. Si unajua tena mpwa yale mambo yetu?
 
Contacts plz mbona unabana wewe uliye post? but hivi hana bsauti ya bezi huyu kweli?
 
Akifumania nyumba ndgo huyu te te te! itakuwa "murder was the case" morning Bluray

Umeshtukia!ngoja wakuvimbishe kichwa na uto tuvyuma twako unatonyanyua hawakutakii mema hawa ooohh.Nina wasiwasi anaweza kukupiga stop hata ya kuja hapa jf.
 
Back
Top Bottom