Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Wakuu hivi juzi nikataka na mimi nijaribu pigo za katibu mkuu wangu.
Ila sasa mimi sikutuma naniliu.
Nikaona niridhie mkutano na pisi moja hivi imesimama balaa.
Aisee kwanza alinipokea nikawa nasema tu OK 🆗. Sikujua kilichoendelea baada ya hapo mpaka kulikucha.
Nikaja kumbuka sikurudi kwa juniya wangu na juniya huwa nikirudi lazima anipokee sasa nahisi nilimhuzunisha mno.
Halafu jambo baya zaidi. Ni kuwa huku nako eeeh ni pata... mnooo .
Duuh.
Please pray for me guys, the devil is real.
Ila sasa mimi sikutuma naniliu.
Nikaona niridhie mkutano na pisi moja hivi imesimama balaa.
Aisee kwanza alinipokea nikawa nasema tu OK 🆗. Sikujua kilichoendelea baada ya hapo mpaka kulikucha.
Nikaja kumbuka sikurudi kwa juniya wangu na juniya huwa nikirudi lazima anipokee sasa nahisi nilimhuzunisha mno.
Halafu jambo baya zaidi. Ni kuwa huku nako eeeh ni pata... mnooo .
Duuh.
Please pray for me guys, the devil is real.