Shetani ameshindwa tena, Rose Muhando amepona

Shetani ameshindwa tena, Rose Muhando amepona

Ushauri kwa Rose kaa mbali na mafisi yanayokutamani kwani wewe umebeba maono ya watu wengi kupitia uimbaji wako.

Niwatakie wiki njema ya kwaresma kuelekea kufufuka kwa KRISTO
Kwa uandishi huu unaonesha weye ni mchanga saana kwa mambo ya kiroho. Ati shukrani ziwaendee watumishi wa Kenya. Wewe ni muandishi au Katibu muhtasi wa Mungu hata useme ulipokuwa unayapokea maombi ulisikiliza kutoka Kenya tu?? Furushi kabisa. Halaf ati unamshauri akae mbali na mafisi yanayomtamani: Dawa ya majaribu sio kuyakimbia bali ni kuyakabili uso kwa uso bila kuogopa. Majaribu kwa mkristo ni mtaji. Mshauri kuwa asikumbwe tena na yale mambo ya kale. Amtumikie Mungu sio pesa kwani Mathayo 10 : 8 Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.
Mwambie, asiuze tena hiyo huduma alopewa na Mungu bali aone fahari kumwimbia Mungu kweny matamasha
 
Kuuza hiyo ni tafsiri yako
Watu wanatoa sadaka kumshukuru kwa huduma yake ya uimbaji

Acha papara kijana
Kwa uandishi huu unaonesha weye ni mchanga saana kwa mambo ya kiroho. Ati shukrani ziwaendee watumishi wa Kenya. Wewe ni muandishi au Katibu muhtasi wa Mungu hata useme ulipokuwa unayapokea maombi ulisikiliza kutoka Kenya tu?? Furushi kabisa. Halaf ati unamshauri akae mbali na mafisi yanayomtamani: Dawa ya majaribu sio kuyakimbia bali ni kuyakabili uso kwa uso bila kuogopa. Majaribu kwa mkristo ni mtaji. Mshauri kuwa asikumbwe tena na yale mambo ya kale. Amtumikie Mungu sio pesa kwani Mathayo 10 : 8 Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.
Mwambie, asiuze tena hiyo huduma alopewa na Mungu bali aone fahari kumwimbia Mungu kweny matamasha
 
Kuuza hiyo ni tafsiri yako
Watu wanatoa sadaka kumshukuru kwa huduma yake ya uimbaji

Acha papara kijana
Unamjua Rose Muhando weye au ni papara zinakusukuma?? Kumwita kwenye mkutano wa injili bila milion 3 kutangulia kwenye akaunti yake humuoni na bado anakurusha haji unasema ni watu wanatoa sadaka zao. Wewe kweli ni kijana/mazee. Au we ni Bonny Mwaitege nini?? Usihalalishe kibudu mazee
 
Kuuza hiyo ni tafsiri yako
Watu wanatoa sadaka kumshukuru kwa huduma yake ya uimbaji

Acha papara kijana
Unamjua Rose Muhando weye au ni papara zinakusukuma?? Kumwita kwenye mkutano wa injili bila milion 3 kutangulia kwenye akaunti yake humuoni na bado anakurusha haji unasema ni watu wanatoa sadaka zao. Wewe kweli ni kijana/mazee. Au we ni Bonny Mwaitege nini?? Usihalalishe kibudu mazee
 
Tatizo hujui kitu halafy unaropoka tu

Tafuta mahojiano ya mahojiano ya martha mwaipaja kuhusu rose ujifunze kitu
Unamjua Rose Muhando weye au ni papara zinakusukuma?? Kumwita kwenye mkutano wa injili bila milion 3 kutangulia kwenye akaunti yake humuoni na bado anakurusha haji unasema ni watu wanatoa sadaka zao. Wewe kweli ni kijana/mazee. Au we ni Bonny Mwaitege nini?? Usihalalishe kibudu mazee
 
Tatizo hujui kitu halafy unaropoka tu

Tafuta mahojiano ya mahojiano ya martha mwaipaja kuhusu rose ujifunze kitu
Waswahili husema; Usisemezane na mbwa, sema na mwenye mbwa. Nimeukubali ushauri huu hivyo napiga kimya
 
Ashukuriwe Mungu aliye juu, tukiwa kwenye wiki takatifu, wiki ya kufufuka kwa mkombozi wa ulimwengu YESU KRISTO hatimaye shetani ameaibika tena baada ya maombi ya kumwombea mtumishi wa Mungu Rose Muhando

Shukrani ziwaende watumishi wa Mungu Kenya waliojitoa kwa hali na mali kuhakikisha Rose anakuwa salama
Baada ya miezi kadhaa sasa umerudi kuwa vema

Ushauri kwa Rose kaa mbali na mafisi yanayokutamani kwani wewe umebeba maono ya watu wengi kupitia uimbaji wako.

Niwatakie wiki njema ya kwaresma kuelekea kufufuka kwa KRISTO



Acheni kumsingizia shetani wa watu.... sema huyo rose ameacha ujinga..... ukiwa tapeli, maana yake umeamua kuwaumiza/kuwasononesha wenzako kwa makusudi ili kujinufaisha.... na ulimwengu haukuachi salama.... ukitendea wenzako ubaya utalipwa ubaya... maamuzi ya kujidunga shetani ndo alomshauri??? pumbavu zake, ashukuru tu ameshauriwa na kufuata mapema.
 
Kwa uandishi huu unaonesha weye ni mchanga saana kwa mambo ya kiroho. Ati shukrani ziwaendee watumishi wa Kenya. Wewe ni muandishi au Katibu muhtasi wa Mungu hata useme ulipokuwa unayapokea maombi ulisikiliza kutoka Kenya tu?? Furushi kabisa. Halaf ati unamshauri akae mbali na mafisi yanayomtamani: Dawa ya majaribu sio kuyakimbia bali ni kuyakabili uso kwa uso bila kuogopa. Majaribu kwa mkristo ni mtaji. Mshauri kuwa asikumbwe tena na yale mambo ya kale. Amtumikie Mungu sio pesa kwani Mathayo 10 : 8 Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.
Mwambie, asiuze tena hiyo huduma alopewa na Mungu bali aone fahari kumwimbia Mungu kweny matamasha
Ni muimbaji gani wa kilokole au kwaya isiyouza Huduma inamuimbia Mungu tu,
Ni mchungaji,nabii,mtume gani mlokole asiyeuza Huduma,
Halafu mbona hamfufui wafu mnaishia kwenye mapepo wakati neno limesema haya kufufua wafu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamjua Rose Muhando weye au ni papara zinakusukuma?? Kumwita kwenye mkutano wa injili bila milion 3 kutangulia kwenye akaunti yake humuoni na bado anakurusha haji unasema ni watu wanatoa sadaka zao. Wewe kweli ni kijana/mazee. Au we ni Bonny Mwaitege nini?? Usihalalishe kibudu mazee
Inasemwa kuwa mdhamini wake ndo alikuwa anafanya hivyo na anamtumikisha Rose kwa faida take


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo hujui kitu halafy unaropoka tu

Tafuta mahojiano ya mahojiano ya martha mwaipaja kuhusu rose ujifunze kitu
Hili nakuunga mkono,japo mengine yoooote ulikuwa unaongea urojo,
Ni kweli Rose alikuwa anatumikishwa na promota wake,Rose alikuwa km mashine ya kutotolesha mayai kisha yanachukuliwa na Promota

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalau ungeweka na picha ili kuisapoti post yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hapa akiwa na akina Solomon na Anastazia Mukabwa
FB_IMG_15556089515280282.jpg
FB_IMG_15556089762617366.jpg
 
Ashukuriwe Mungu aliye juu, tukiwa kwenye wiki takatifu, wiki ya kufufuka kwa mkombozi wa ulimwengu YESU KRISTO hatimaye shetani ameaibika tena baada ya maombi ya kumwombea mtumishi wa Mungu Rose Muhando

Shukrani ziwaende watumishi wa Mungu Kenya waliojitoa kwa hali na mali kuhakikisha Rose anakuwa salama
Baada ya miezi kadhaa sasa umerudi kuwa vema

Ushauri kwa Rose kaa mbali na mafisi yanayokutamani kwani wewe umebeba maono ya watu wengi kupitia uimbaji wako.

Niwatakie wiki njema ya kwaresma kuelekea kufufuka kwa KRISTO
Hapa ndio sielewi kwani maradhi yanaletwa na shetani au Mungu?
 
Ashukuriwe Mungu aliye juu, tukiwa kwenye wiki takatifu, wiki ya kufufuka kwa mkombozi wa ulimwengu YESU KRISTO hatimaye shetani ameaibika tena baada ya maombi ya kumwombea mtumishi wa Mungu Rose Muhando

Shukrani ziwaende watumishi wa Mungu Kenya waliojitoa kwa hali na mali kuhakikisha Rose anakuwa salama
Baada ya miezi kadhaa sasa umerudi kuwa vema

Ushauri kwa Rose kaa mbali na mafisi yanayokutamani kwani wewe umebeba maono ya watu wengi kupitia uimbaji wako.

Niwatakie wiki njema ya kwaresma kuelekea kufufuka kwa KRISTO
Yaani ile maombi ya Kenya ni full zengwe.
 
Sijui ni kwanini malokoke huwa ni rahisi sana kudanganyika?
 
Back
Top Bottom