Dei Gratia Rex
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 423
- 696
Hasali.
Shetani amenyimwa utii na Mwenyezi Mungu ili aadhibiwe siku ya mwisho.
Amenyimwa utii ili asije akaomba msamaha na akasamehewa makosa yake.Mungu hamhitaji tena shetani kwenye ufalme wake.
Shetani hawezi kukiomba wala kukisujudia kiumbe chochote kile kwa sababu nafsi yake imejazwa kiburi kwa makusudi.
Shetani amenyimwa utii na Mwenyezi Mungu ili aadhibiwe siku ya mwisho.
Amenyimwa utii ili asije akaomba msamaha na akasamehewa makosa yake.Mungu hamhitaji tena shetani kwenye ufalme wake.
Shetani hawezi kukiomba wala kukisujudia kiumbe chochote kile kwa sababu nafsi yake imejazwa kiburi kwa makusudi.