Shetani na robo ya Malaika ndio waliasi Mbinguni na Mungu anahaingaika hivi kuwazuia, nafikiri wangeasi Nusu ya Malaika basi wangemuua kabisa Mungu

Shetani na robo ya Malaika ndio waliasi Mbinguni na Mungu anahaingaika hivi kuwazuia, nafikiri wangeasi Nusu ya Malaika basi wangemuua kabisa Mungu

Malaika wa Misukosuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2021
Posts
2,470
Reaction score
7,376
Habarini wana JF,

Hadithi za Biblia na Quran zinaeleza Shetani na Robo ya Malaika ndo waliasi mbinguni ila sote tunajionea ni miaka maelfu sasa huyo Mungu muweza anasumbuka kuwazuia na kadri anavyojaribu ndo kama mambo yanazidi kuharibika zaidi hili halihitaji mjadala mifano ni mingi

Tukumbuke hapo ni Robo tu ya malaika nafikiri wangeasi Nusu ya malaika basi wangemuua kabisa huyo Mungu,

Maana hawa wachache tu wamemsumbua mpka akamtuma mwanaye Yesu sasa najaribu kufikiria wakiwa Nusu nafikiri angetuma mbingu nzima na mwishoni na yeye angekuja na hapo ndo Shetani na malaika zake wangemmaliza kabisa na asiwepo tena.
 
Habarini wana JF,

Hadithi za Biblia na Quran zinaeleza Shetani na Robo ya Malaika ndo waliasi mbinguni ila sote tunajionea ni miaka maelfu sasa Huyo Mungu muweza anasumbuka kuwazuia na kadri anavyojaribu ndo kama mambo yanazidi kuharibika zaidi hili halihitaji mjadala mifano ni mingi,

Tukumbuke hapo ni Robo tu ya malaika nafikiri wangeasi Nusu ya malaika basi wangemuua kabisa huyo Mungu,

maana hawa wachache tu wamemsumbua mpka akamtuma mwanae Yesu sasa najaribu kufikiria wakiwa Nusu nafikiri angetuma mbingu nzima na mwishoni na yeye angekuja na hapo ndo Shetani na malaika zake wangemmaliza kabisa na asiwepo tena.
Kwenye Quran hakuna sehemu iliyoandikwa Malaika alimuasi Mungu
 
Mungu mwenyewe anashirikiana/kushauriana na huyo shetan jinsi ya kuwasurubu wanadamu dunian,

hamuoni kuwa hivyo Viumbe jambo lao ni Moja? Yaani mission ya Mungu ilikuwa kumtengeneza shetan awe kivuli chake ama adui kwa kificho, yaani Mungu akitaka kukutesa anamtuma shetan then anarudi kwa sura ya upole kuwa yeye ndie atakuponya na mateso ya shetan, yaani kiufupi Mungu anatengeneza tatizo na kulitatua yeye mwenyewe, kwa maana nyingine anakupiga kwa mkono kwa kushoto na kukupa pole kwa mkono wa kulia.


Shetani ndie Mungu, na Mungu ndie shetan kwa maana rahisi
 
Habarini wana JF,

Hadithi za Biblia na Quran zinaeleza Shetani na Robo ya Malaika ndo waliasi mbinguni ila sote tunajionea ni miaka maelfu sasa Huyo Mungu muweza anasumbuka kuwazuia na kadri anavyojaribu ndo kama mambo yanazidi kuharibika zaidi hili halihitaji mjadala mifano ni mingi,

Tukumbuke hapo ni Robo tu ya malaika nafikiri wangeasi Nusu ya malaika basi wangemuua kabisa huyo Mungu,

maana hawa wachache tu wamemsumbua mpka akamtuma mwanae Yesu sasa najaribu kufikiria wakiwa Nusu nafikiri angetuma mbingu nzima na mwishoni na yeye angekuja na hapo ndo Shetani na malaika zake wangemmaliza kabisa na asiwepo tena.
Daah mpendwa unasomaga biblia lakini?
Lete Hilo fungu la robo ya malaika kuanguka na shetani.........

TAZAMA SHETANI ALIVYOMUOGA WA KIFO, HADI ANATIA HURUMA.....YESU NI MWAMBA.

27 Naye aliposhuka pwani, alikutana na mtu mmoja wa mji ule, mwenye pepo, hakuvaa nguo siku nyingi, wala hakukaa nyumbani, ila makaburini.
Luka 8:27

28 Alipomwona Yesu alipiga kelele, akaanguka mbele yake, akasema kwa sauti kuu, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakusihi usinitese.
Luka 8:28

29 Kwa kuwa amemwamuru yule pepo mchafu amtoke mtu yule. Maana amepagawa naye mara nyingi, hata alilindwa kifungoni na kufungwa minyororo na pingu; akavikata vile vifungo, akakimbizwa jangwani kwa nguvu za yule pepo.
Luka 8:29

30 Yesu akamwuliza, Jina lako nani? Akasema, Jina langu ni Jeshi; kwa sababu pepo wengi wamemwingia.
Luka 8:30

31 Wakamsihi asiwaamuru watoke kwenda shimoni.
Luka 8:31

32 Basi, hapo palikuwa na kundi la nguruwe wengi wakilisha mlimani; wakamsihi awape ruhusa kuwaingia wale. Akawapa ruhusa.
Luka 8:32
TIME WILL TELL........
 
ni miaka maelfu sasa Huyo Mungu muweza anasumbuka kuwazuia
Wapi umesoma kwamba Mungu anasumbuka kuwazuia malaika walioasi?

nafikiri wangeasi Nusu ya malaika basi wangemuua kabisa huyo Mungu,
Mungu kufa maana yake ni nini? Yesu alikufa kwa sababu alivaa mwili lakini aliendelea ku exist, hakuna kiumbe cha roho kita cease ku exist. Mwanadamu, malaika, mapepo, hatuna mwisho kwa sababu sisi ni roho. Tutaishi milele ama pamoja na Mungu au mbali na uso wa Mungu.
 
Mungu mwenyewe anashirikiana/kushauriana na huyo shetan jinsi ya kuwasurubu wanadamu dunian,

hamuoni kuwa hivyo Viumbe jambo lao ni Moja? Yaani mission ya Mungu ilikuwa kumtengeneza shetan awe kivuli chake ama adui kwa kificho, yaani Mungu akitaka kukutesa anamtuma shetan then anarudi kwa sura ya upole kuwa yeye ndie atakuponya na mateso ya shetan, yaani kiufupi Mungu anatengeneza tatizo na kulitatua yeye mwenyewe, kwa maana nyingine anakupiga kwa mkono kwa kushoto na kukupa pole kwa mkono wa kulia.


Shetani ndie Mungu, na Mungu ndie shetan kwa maana rahisi
Kuna mahali nilisoma, shetani aliomba ruhusa Kwa Mungu amjaribu mwanadamu😀
 
Habarini wana JF,

Hadithi za Biblia na Quran zinaeleza Shetani na Robo ya Malaika ndo waliasi mbinguni ila sote tunajionea ni miaka maelfu sasa Huyo Mungu muweza anasumbuka kuwazuia na kadri anavyojaribu ndo kama mambo yanazidi kuharibika zaidi hili halihitaji mjadala mifano ni mingi,

Tukumbuke hapo ni Robo tu ya malaika nafikiri wangeasi Nusu ya malaika basi wangemuua kabisa huyo Mungu,

maana hawa wachache tu wamemsumbua mpka akamtuma mwanae Yesu sasa najaribu kufikiria wakiwa Nusu nafikiri angetuma mbingu nzima na mwishoni na yeye angekuja na hapo ndo Shetani na malaika zake wangemmaliza kabisa na asiwepo tena.
huelewi chochote kuhusu mpango wa ukombozi.....kama una swali nlinalokushinda niulize mm
 
Mkuu umekunywa nini leo?
Hata hivyo ni kwa rehema za Mungu shetani angefutiliwa mbali kabisa.
 
Habarini wana JF,

Hadithi za Biblia na Quran zinaeleza Shetani na Robo ya Malaika ndo waliasi mbinguni ila sote tunajionea ni miaka maelfu sasa Huyo Mungu muweza anasumbuka kuwazuia na kadri anavyojaribu ndo kama mambo yanazidi kuharibika zaidi hili halihitaji mjadala mifano ni mingi,

Tukumbuke hapo ni Robo tu ya malaika nafikiri wangeasi Nusu ya malaika basi wangemuua kabisa huyo Mungu,

maana hawa wachache tu wamemsumbua mpka akamtuma mwanae Yesu sasa najaribu kufikiria wakiwa Nusu nafikiri angetuma mbingu nzima na mwishoni na yeye angekuja na hapo ndo Shetani na malaika zake wangemmaliza kabisa na asiwepo tena.
🤣🤣🤣🤣🤣 Harafu binadamu tunaangushiwa zigo sisi tutamuwesea wapi huyo shetwani?

Ndio maana Mimi Huwa sihangaiki na mambo ambayo Yako Nje ya uwezo wangu na sikuhusika nayo,namuachiaga Mungu na shetani maana ndio wanahusika na hatima yangu.
 
Mada kama hizi mimi hua napitaga tu nisijerudi toa ushuhuda 😂
 
Habarini wana JF,

Hadithi za Biblia na Quran zinaeleza Shetani na Robo ya Malaika ndo waliasi mbinguni ila sote tunajionea ni miaka maelfu sasa Huyo Mungu muweza anasumbuka kuwazuia na kadri anavyojaribu ndo kama mambo yanazidi kuharibika zaidi hili halihitaji mjadala mifano ni mingi,

Tukumbuke hapo ni Robo tu ya malaika nafikiri wangeasi Nusu ya malaika basi wangemuua kabisa huyo Mungu,

maana hawa wachache tu wamemsumbua mpka akamtuma mwanae Yesu sasa najaribu kufikiria wakiwa Nusu nafikiri angetuma mbingu nzima na mwishoni na yeye angekuja na hapo ndo Shetani na malaika zake wangemmaliza kabisa na asiwepo tena.
Unasoma Qur'an gani ndugu mkafiri, yaan mkufuruji?
 
Habarini wana JF,

Hadithi za Biblia na Quran zinaeleza Shetani na Robo ya Malaika ndo waliasi mbinguni ila sote tunajionea ni miaka maelfu sasa Huyo Mungu muweza anasumbuka kuwazuia na kadri anavyojaribu ndo kama mambo yanazidi kuharibika zaidi hili halihitaji mjadala mifano ni mingi,

Tukumbuke hapo ni Robo tu ya malaika nafikiri wangeasi Nusu ya malaika basi wangemuua kabisa huyo Mungu,

maana hawa wachache tu wamemsumbua mpka akamtuma mwanae Yesu sasa najaribu kufikiria wakiwa Nusu nafikiri angetuma mbingu nzima na mwishoni na yeye angekuja na hapo ndo Shetani na malaika zake wangemmaliza kabisa na asiwepo tena.
Unachokisema ni akili ya kawaida kabisa kwa mwenye kufikiri juu ya hiyo story, ila unachokosea ni kwamba hiyo ni hadithi ya biblia na sio Quran.

Quran inatamka wazi kuwa Iblees ni Jini na wala sio malaika (Quran 18:50). Hakujawahi kuwa na malaika aliyeasi kulingana Quran kwa kuwa wao wanafanya only kile walicho amrishwa (Quran 66:6). Iblees alipewa extension ya uhai baada ya kuomba hilo ili amthibitishie Allah kuwa anaweza kuwapotosha wanadamu (Quran 7:12-18).

Katika Uislamu hakujawahi kuwa na uasi wa malaika kwa mola wao, hakujawahi kuwa na mapigano kati ya malaika na Iblees (pamoja na wafuasi wake i.e majini mashetani), hakujawahi kuwa na mamlaka ya Iblees juu ya binadamu (Quran 14:12) na Allah hashindani na kiumbe wake huyu dhaifu, bali amemuacha kuwa kama ni mtihani kwetu tu wanadamu.
 
Back
Top Bottom