Shetani na robo ya Malaika ndio waliasi Mbinguni na Mungu anahaingaika hivi kuwazuia, nafikiri wangeasi Nusu ya Malaika basi wangemuua kabisa Mungu

Shetani na robo ya Malaika ndio waliasi Mbinguni na Mungu anahaingaika hivi kuwazuia, nafikiri wangeasi Nusu ya Malaika basi wangemuua kabisa Mungu

Unachokisema ni akili ya kawaida kabisa kwa mwenye kufikiri juu ya hiyo story, ila unachokosea ni kwamba hiyo ni hadithi ya biblia na sio Quran.

Quran inatamka wazi kuwa Iblees ni Jini na wala sio malaika (Quran 18:50). Hakujawahi kuwa na malaika aliyeasi kulingana Quran kwa kuwa wao wanafanya only kile walicho amrishwa (Quran 66:6). Iblees alipewa extension ya uhai baada ya kuomba hilo ili amthibitishie Allah kuwa anaweza kuwapotosha wanadamu (Quran 7:12-18).

Katika Uislamu hakujawahi kuwa na uasi wa malaika kwa mola wao, hakujawahi kuwa na mapigano kati ya malaika na Iblees (pamoja na wafuasi wake i.e majini mashetani), hakujawahi kuwa na mamlaka ya Iblees juu ya binadamu (Quran 14:12) na Allah hashindani na kiumbe wake huyu dhaifu, bali amemuacha kuwa kama ni mtihani kwetu tu wanadamu.
Maelezo mazuri Sana haya. Asante. Sasa huwa najiuliza, kwa nini Mungu atuachie shetani kuwa mtihani wetu? What does he gain from it? Yeye kama Mungu
 
Maelezo mazuri Sana haya. Asante. Sasa huwa najiuliza, kwa nini Mungu atuachie shetani kuwa mtihani wetu? What does he gain from it? Yeye kama Mungu
Pia jiulize kwani Allah ana-gain nini kwa kukuumba wewe hapa duniani?

Tambua kwamba akili yako ni ndogo sana (binadamu), so never try to justify alichofanya Allah kwa kuegemea katika akili yako ambayo ipo very limited. Ujuzi wa binadamu katika karne hii ya 21 ni tofauti na ile ya karne ya 20, tambua ujinga wako kwanza then kaa sehemu yako.

Hatuwezi kumjua Mungu wala nini anataka kwetu kwa kutumia akili zetu, ni mpaka yeye atuambie i.e. kupitia mitume wake na miongozo yake (vitabu vitakatifu).

Kasome Quran 57:20 kwanza
 
Pia jiulize kwani Allah ana-gain nini kwa kukuumba wewe hapa duniani?

Tambua kwamba akili yako ni ndogo sana (binadamu), so never try to justify alichofanya Allah kwa kuegemea katika akili yako ambayo ipo very limited. Ujuzi wa binadamu katika karne hii ya 21 ni tofauti na ile ya karne ya 20, tambua ujinga wako kwanza then kaa sehemu yako.

Hatuwezi kumjua Mungu wala nini anataka kwetu kwa kutumia akili zetu, ni mpaka yeye atuambie i.e. kupitia mitume wake na miongozo yake (vitabu vitakatifu).

Kasome Quran 57:20 kwanza
Mie sijapitia hivyo vitabu and I honestly won't 🤣🤣 ila kama wewe umevisoma haya tuambie Mungu anafaidika vipi na uwepo wangu.

Ubishi pembeni. Ushawahi kujiuliza nani kati yangu mimi na Mungu ni mhitaji??
 
Mungu mwenyewe anashirikiana/kushauriana na huyo shetan jinsi ya kuwasurubu wanadamu dunian,

hamuoni kuwa hivyo Viumbe jambo lao ni Moja? Yaani mission ya Mungu ilikuwa kumtengeneza shetan awe kivuli chake ama adui kwa kificho, yaani Mungu akitaka kukutesa anamtuma shetan then anarudi kwa sura ya upole kuwa yeye ndie atakuponya na mateso ya shetan, yaani kiufupi Mungu anatengeneza tatizo na kulitatua yeye mwenyewe, kwa maana nyingine anakupiga kwa mkono kwa kushoto na kukupa pole kwa mkono wa kulia.


Shetani ndie Mungu, na Mungu ndie shetan kwa maana rahisi
mmmh! Unamaanisha nikama vyama ya siasa nchini.
 
Huu uzi umeletwa tu ili na wewe uwe umeandika,ni wapi Mungu alisema anasumbuka na viumbe hivyo
Na Yesu hakutumwa kushughulika na wanaomsumbua,bali kumkomboa mwanadamu
Usikurupuke wakati mwingine
 
Mie sijapitia hivyo vitabu and I honestly won't 🤣🤣 ila kama wewe umevisoma haya tuambie Mungu anafaidika vipi na uwepo wangu.

Ubishi pembeni. Ushawahi kujiuliza nani kati yangu mimi na Mungu ni mhitaji??
Dah! tabu kweli!

Sio wewe tu, hata tukusanyike viumbe wote wa ulimwengu hatumnufaishi chochote Mungu ... yeye hatuhitajii bali sisi ndo tunaomuhitajia!
 
Habarini wana JF,

Hadithi za Biblia na Quran zinaeleza Shetani na Robo ya Malaika ndo waliasi mbinguni ila sote tunajionea ni miaka maelfu sasa Huyo Mungu muweza anasumbuka kuwazuia na kadri anavyojaribu ndo kama mambo yanazidi kuharibika zaidi hili halihitaji mjadala mifano ni mingi,

Tukumbuke hapo ni Robo tu ya malaika nafikiri wangeasi Nusu ya malaika basi wangemuua kabisa huyo Mungu,

maana hawa wachache tu wamemsumbua mpka akamtuma mwanae Yesu sasa najaribu kufikiria wakiwa Nusu nafikiri angetuma mbingu nzima na mwishoni na yeye angekuja na hapo ndo Shetani na malaika zake wangemmaliza kabisa na asiwepo tena.
shetani na robo au na theluthi moja ya malaika?
 
huelewi chochote kuhusu mpango wa ukombozi.....kama una swali nlinalokushinda niulize mm
UKOMBOZI?
Wanini mkuu

Mungu kashindwana na Shetani na kwa MAKUSUDI akamtupa duniani aje kutupa shuluba

Ni kihere here gani kila mfanya akawapa shetani akina Adam pale Heden?

Akaona shuluba zimemzidia binadamu akaamua kujitoa kafara kupitia “Mungu Mwana” eti ili KUTUKOMBOA

Yaani badala ya kumshughulikia shetani akajiua yeye...... na shuluba na dhambi zipo pale pale

Kuamini hekaya kama hizi ni lazima ujitoe kwanza ufahamu
 
Habarini wana JF,

Hadithi za Biblia na Quran zinaeleza Shetani na Robo ya Malaika ndo waliasi mbinguni ila sote tunajionea ni miaka maelfu sasa Huyo Mungu muweza anasumbuka kuwazuia na kadri anavyojaribu ndo kama mambo yanazidi kuharibika zaidi hili halihitaji mjadala mifano ni mingi,

Tukumbuke hapo ni Robo tu ya malaika nafikiri wangeasi Nusu ya malaika basi wangemuua kabisa huyo Mungu,

maana hawa wachache tu wamemsumbua mpka akamtuma mwanae Yesu sasa najaribu kufikiria wakiwa Nusu nafikiri angetuma mbingu nzima na mwishoni na yeye angekuja na hapo ndo Shetani na malaika zake wangemmaliza kabisa na asiwepo tena.

Ndivyo ulivyoambiwa na mchungaji wako , Mbona hukutuwekea ushahidi wa Biblia na Quran kuthibitisha maneno yako ??
 
Dah! tabu kweli!

Sio wewe tu, hata tukusanyike viumbe wote wa ulimwengu hatumnufaishi chochote Mungu ... yeye hatuhitajii bali sisi ndo tunaomuhitajia!
😂😂😂😂 job true true! Sasa kama mimi namuhitaji mbona yeye ndio anayeweka masharti? Kwani mimi nilimuomba aniumbe? Mbona yeye ndiye anayetaka nimuabudu. Na nitende mambo mema? Nani kati ya mwanadamu na Mungu anamuhitaji mwenzie?
 
😂😂😂😂 job true true! Sasa kama mimi namuhitaji mbona yeye ndio anayeweka masharti? Kwani mimi nilimuomba aniumbe? Mbona yeye ndiye anayetaka nimuabudu. Na nitende mambo mema? Nani kati ya mwanadamu na Mungu anamuhitaji mwenzie?
Na unajiona mjanja mwenyewe hapo, au sio?

Endelea kubet
 
UKOMBOZI?
Wanini mkuu

Mungu kashindwana na Shetani na kwa MAKUSUDI akamtupa duniani aje kutupa shuluba

Ni kihere here gani kila mfanya akawapa shetani akina Adam pale Heden?

Akaona shuluba zimemzidia binadamu akaamua kujitoa kafara kupitia “Mungu Mwana” eti ili KUTUKOMBOA

Yaani badala ya kumshughulikia shetani akajiua yeye...... na shuluba na dhambi zipo pale pale

Kuamini hekaya kama hizi ni lazima ujitoe kwanza ufahamu
walipojifanya wenye hekima walipumbazikaa....!
 
Habarini wana JF,

Hadithi za Biblia na Quran zinaeleza Shetani na Robo ya Malaika ndo waliasi mbinguni ila sote tunajionea ni miaka maelfu sasa Huyo Mungu muweza anasumbuka kuwazuia na kadri anavyojaribu ndo kama mambo yanazidi kuharibika zaidi hili halihitaji mjadala mifano ni mingi,

Tukumbuke hapo ni Robo tu ya malaika nafikiri wangeasi Nusu ya malaika basi wangemuua kabisa huyo Mungu,

maana hawa wachache tu wamemsumbua mpka akamtuma mwanae Yesu sasa najaribu kufikiria wakiwa Nusu nafikiri angetuma mbingu nzima na mwishoni na yeye angekuja na hapo ndo Shetani na malaika zake wangemmaliza kabisa na asiwepo tena.
Nonsense
 
Back
Top Bottom