Mwanaume ukiwa na misimamo,unaweza ukahongwa pesa lakini ukaweka ngumu,sasa suluhisho la mwisho ni kukutumia KE akulainishe...
Katika Johari 12 za HEKIMA,ya mwisho inasema,"Staha ya shetani inayofnya kazi vizuri kumwingiza mwanaume kwenye dhambi ni mwanamke".