Shetani yuko wapi? Nani alimshawishi Aasi huko kunakoitwa Mbinguni?

Shetani hayupo kiuhalisia, shetani ni kiumbe wa kufikirika aliyetengenezwa na mwanadamu ili yeye mwanadamu akikosea kitu fulani apate wa kumsingizia.
Siyo kila kitu usichokiona basi hakipo
Mfano upepo, umeme
Lakini macho yetu yana uwezo wa kuona vitu na vingine hayana uwezo wa kuviona
Baadhi ya wanyama wana uwezo wa kuona vitu zaidi yetu
Shetani ni viumbe wa kiroho huwezi kuwaona

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mungu ni Roho na Shetani pia Roho, binadamu tuna Roho na mwili. Binadamu ni physical lakini Mungu na Shetani ni upepo tu. Shetani na Mungu wanaishi Mali pote.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Your right, shida tunalazimisha kuthibitisha kitu ambacho siyo physical

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Mnaposema shetani alishindwa vita mbinguni na kutupwa duniani, ina maana Mungu ni mpenda vita. Na kauli ya "samehe 70×70 hata mara moja Mungu hakumsamehe shetani, itakuwaje binadamu tusamehe mara 70 ? Hadithi nyingine ni uwongo mchana kweupe.

Kama hadithi za othmani maalim
 
Waweza soma pia hapo juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…