Siyo kila kitu usichokiona basi hakipoShetani hayupo kiuhalisia, shetani ni kiumbe wa kufikirika aliyetengenezwa na mwanadamu ili yeye mwanadamu akikosea kitu fulani apate wa kumsingizia.
Mungu ni Roho na Shetani pia Roho, binadamu tuna Roho na mwili. Binadamu ni physical lakini Mungu na Shetani ni upepo tu. Shetani na Mungu wanaishi Mali pote.Maswali yanaendelea....
Mungu ndiye chanzo cha yote[kwa wale wanaoamini] je ndio chanzo cha mbegu ya uasi wa shetani?
Kwanini laana ya Mungu iendelee kutafuna vizazi hata vizazi kwa kosa lililofanywa na watuwawili waliombwa na Mungu mwenyewe?
Kuna mahali kokote kwenye biblia pameonesha shetani aliko? Ni wapi kama hapajaoneshwa tunaanzaje kumchora shetani kama ndio chanzo cha haya maasi yote?
Au shetani ni sisi wenyewe? Na hapa duniani ndio makao yetu?
Nitaendelea na maswali kadri mada itakavyo endelea
MUHIMU÷ Naomba swali la thibitisha kwanza kama mungu yupo lisubiri kwanza. Tumsake kwanza huyo shetani kama kweli yupo.
Karibuni
Your right, shida tunalazimisha kuthibitisha kitu ambacho siyo physicalKwani mkuu huwezi kufikiria nje ya vitabu vya dini??
Mm katika halmashauri ya kichwa Changu, baada ya kufanya kufikria kivyangu bila external influence, NILIJIRIDHISHA KUWA SHETANI SI HALISI, NI KIUMBE CHA KUFIRIKA TU. ALL EVILS AND GOODS ORIGINATE IN OUR OWN CONSCIOUSNESS
Gold is the money of the kings
Mnaposema shetani alishindwa vita mbinguni na kutupwa duniani, ina maana Mungu ni mpenda vita. Na kauli ya "samehe 70×70 hata mara moja Mungu hakumsamehe shetani, itakuwaje binadamu tusamehe mara 70 ? Hadithi nyingine ni uwongo mchana kweupe.