warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Sheta ambaye ni miongoni mwa wasanii wanaofanya kazi na hit makers wa bongo kwenye nyimbo zake amezungumzia uwezekano wa collabo na Ali Kiba Kwenye exclusive interview.
Swali> Sheta Una mpango wa kufanya wimbo wa Ali Kiba?
Jibu [Sheta]> Sijafikiria kufanya kazi na Ali Kiba,Kwa sasa sina mpango wa kufanya wimbo na msanii wa nyumbani, naangalia International au nifanye wimbo mwenyewe?
Swali> Tungependa kujua wasanii wa nje unaopanga kufanya nao kazi
Jibu [Sheta]> Wako kama watano, uongozi unaangalia yupi anafaa na atapatikana, siku tayari kusema majina sasa ila wimbo uko tayari.
Chanzo: Misago
Swali> Sheta Una mpango wa kufanya wimbo wa Ali Kiba?
Jibu [Sheta]> Sijafikiria kufanya kazi na Ali Kiba,Kwa sasa sina mpango wa kufanya wimbo na msanii wa nyumbani, naangalia International au nifanye wimbo mwenyewe?
Swali> Tungependa kujua wasanii wa nje unaopanga kufanya nao kazi
Jibu [Sheta]> Wako kama watano, uongozi unaangalia yupi anafaa na atapatikana, siku tayari kusema majina sasa ila wimbo uko tayari.
Chanzo: Misago