Elections 2010 Shibuda ahamia CHADEMA

Elections 2010 Shibuda ahamia CHADEMA

Two words for you; Joe Lieberman

Kwa bongo haya mambo ya falsafa bado sana. Unaweza kuniambia vyama vya siasa Tanzania ni vya mrengo gani?

Mfano mbovu huu.


Sorry mkuu,huyo jamaa mfano wake nimeuelewa na ni wa wazi kabisa,Je wewe unasema kwamba mfano mbovu je unaweza kutupa mfano wako mzuri?
 
Back
Top Bottom