Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hapo, umenibambika kabila sasa 😅😅😅, Naskia Emma anaumwa sana.Yeah nenda hapo onana na jamaa anaitwa Emma atakuwekea sawa mwambie Dan ameniagiza nije unirekebishie hii app
Ipo Off mkuu 🤝🤝, labda simu itakua na virusi wa kutoshaTushasema sana..
Disable Developer Options kwenye simu yako.
Kuna App ina mashaka umo au mambo ya laini mbili.Ipo Off mkuu 🤝🤝, labda simu itakua na virusi wa kutosha
Sawa mkuu, ngoja nitaenda Ofisini kwaoKuna App ina mashaka umo au mambo ya laini mbili.
Kama simu ipo rooted hata akizima developer option haitakubali.Tushasema sana..
Disable Developer Options kwenye simu yako.
Hii ishu nimeiona Google pixel hizo simu kama tatu hiviBoss nadhani simu yako imekuwa rooted. Hiyo simu unaweza kuwa ulinunua used aliyekuwa ana tumia ali root hiyo simu so ipo open kuchezewa sio salama delete app achana na hiyo simu