CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Upo sahihi sana mkuuPale ulipo...uwe kwenye group la masomo,mazoezi au lolote lile ndipo ulipo mtaji wako.
Mtaji mkubwa sio wazo pekee bali ni TAARIFA sahihi kuhusu kitu,jambo au biashara fulani.
Kumbuka kila kitu duniani ni biashara...Je ww unajua nini kwa undani ?
Hicho unachokijua kigeuze kiwe biashara na mtaji wa biashara hiyo ni huo ujuzi wako(Taarifa sahihi kuhusu unachokijua)
Mifano ni mingi kwa waliotumia wanachokijua kupata mitaji na kuifanya hiyo ndio biashara.
Mf.Dada mmoja aitwa Jamila ni mnene sana ...ktk kutaka kupungua akajiunga na group la WhatsApp linaitwa Loose weight. Pale akakutana na member wenzie wa mikoani (yy yuko Dsm)ilipokua wanazungumza biashara yy akawa anawaelekeza maeneo mazuri ya kupata bidhaa wanazozitaka hapa Dsm..na alikua anaelekeza mpka bei na ubora wa bidhaa husika..(kwamba ukitaka bei nafuu ni mtaa flani duka flan lkn quality kanunue duka flani.Ikaenda mpka akawa anawapokea baadhi ya wafanyabiashara na kuwapeleka madukani..ukizingatia hakua busy sana na shighuli zake.
Hivi ninavyoandika hapa account yke inasoma mzunguko wa mil 20 mpka 70 kila mwezi.
Anatumiwa pesa anawanunulia bidhaa na anawasafirishia mikoani na ameshafungua duka lake Tabata..kila mwezi hakosi mil 3 .
Huo ni mfano mmoja tu ambao umetokana na kua taarifa sahihi na kugeuza kua mtaji.
Inawezekana!
Kitu ambacho mm nakiona ni kwamba watu hawapotezi muda kujua chochote...Hii ni mbaya sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati mwingine kuajiriwa ni kukubali kujenga future ya wengine...ile ziada ndio unatumia kujenga maisha yako!....kukubali kuajiriwa ni kukubali kuwa mtumwa.tupo pamoja kwenye hili!?...think deeplykujiajiri ni kuacha njia ya ulichokisotea shuleni kwa miaka mingi sana,
Mimi elimu yangu sio kubwa sana...ila nilijijengea dhana ya kuajiriwa ni utumwa,nilitamani kuwa na kuwa bosi wa wengine...miaka mingi ya kujenga jina na kutafuta kukubalika kulikuwa na mateso sana...sikukata tamaa,sina mafanikio sana ila angalau hela ninayoweza kuikusanya kwa mwezi ni sawa na mshahara wa mtu aliyeajiriwa mshahara wa kati...tofauti yangu mimi na yeye ni kwamba mimi nafanya mambo mwenyewe ila yeye anapangiwa,na asset nilizonazo zinaweza kunipa uhakika wa mkopo wa sio chini ya milion 10 hadi 50...sijataka kuchukua mkopo mkubwa maana pia naogopa kuwa mtumwa tena...ila biashara ikiweza kujitegemea kabisa nitachukua,i am working hard on that....Mnayo jadili yote sijui mitaji au sijui wazo yote yamejengwa kwenye AIBU NA UOGA.
Ondoa Aibu ondoa na Uoga utaona kila kitu kinawezekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Umefungua duka, bar au grocery ?Mimi elimu yangu sio kubwa sana...ila nilijijengea dhana ya kuajiriwa ni utumwa,nilitamani kuwa na kuwa bosi wa wengine...miaka mingi ya kujenga jina na kutafuta kukubalika kulikuwa na mateso sana...sikukata tamaa,sina mafanikio sana ila angalau hela ninayoweza kuikusanya kwa mwezi ni sawa na mshahara wa mtu aliyeajiriwa mshahara wa kati...tofauti yangu mimi na yeye ni kwamba mimi nafanya mambo mwenyewe ila yeye anapangiwa,na asset nilizonazo zinaweza kunipa uhakika wa mkopo wa sio chini ya milion 10 hadi 50...sijataka kuchukua mkopo mkubwa maana pia naogopa kuwa mtumwa tena...ila biashara ikiweza kujitegemea kabisa nitachukua,i am working hard on that....
by emma mjasiriamali
Eti bar or grocery ....haaaa haaaaUmefungua duka, bar au grocery ?
- Ndo kazi zetu za kujiajiri hizo.
Halafu kingine tuache kufikiria mambo juujuu,unajua kila mwanadamu hapa ni unique....mimi ukiniambia unataka mtonyo kwa ajili ya mtaji,nitakuuliza mtaji tsh ngapi...ukinitajia najua hilo wazo la kucopy,nitainsist udevelop wazi lako....mtu ambaye hajaajiriwa na analalamika hana mtaji wa kujiajiri na anamiliki smartphone namuona kabisa hayupo serious....hata laki moja unaweza ukaanza kitu kikasogea kikakuza mtaji....tuache aibu na uwoga,life isnt easy kama na wewe unakuwa lege lege...umepanga foleni kuuuubwa ya kuomba kazi,kwa saivi nilivyo naona hata aibu kwakweli.Shida mtonyo,yaani kianzio cha kujiajiri..
Ndizo kazi zetu hizo za kujiajiri.
Hahahahahah, ofcourse kazi za mshahara zina security zaidi na nyingi hazilazimishi creativity kubwa. Ukishakuwa kwenye payroll na ukaelekezwa kazi inafanyika hivi we ni kutuma emails na kuandaa report ya kumpa boss, kuingia kwenye seminars ama vikao vya idara uliopo hapo umemaliza. Mwisho wa mwezi hela inaingia aidha fixed ama ikiwa na increment kila baada ya mwaka, so kama unakula mil. 1.5 hata kampuni ipige hasara we upo safe na pia sehemu ya mapato yako utahifadhiwa na social security kama makato. Drawback kubwa ya kuajiriwa unakuwa mtumwa wa kumsujudia boss na kuripoti ofisini saa mbili asubuhi kila siku.Kujiajiri na kuacha kazi za kuajiliwa inabidi ujitoe ufahamu kwanza chief....la sivyo ndo wanabakia kusema jiajirini wakati wao wameajiliwa.
Kabisa yaani unantengeneza faeture yule alie kuajiri.Wakati mwingine kuajiriwa ni kukubali kujenga future ya wengine...ile ziada ndio unatumia kujenga maisha yako!....kukubali kuajiriwa ni kukubali kuwa mtumwa.tupo pamoja kwenye hili!?...think deeply
by emma mjasiriamali
Hilo ni wazo lako ambalo umeniongezea nimeadd to cart....later on nitafungua hiyo kitu kwa ajili ya washkaji wakija kunitembelea tuwe tunakaa sehemu yangu....Umefungua duka, bar au grocery ?
- Ndo kazi zetu za kujiajiri hizo.
Halafu kingine tuache kufikiria mambo juujuu,unajua kila mwanadamu hapa ni unique....mimi ukiniambia unataka mtonyo kwa ajili ya mtaji,nitakuuliza mtaji tsh ngapi...ukinitajia najua hilo wazo la kucopy,nitainsist udevelop wazi lako....mtu ambaye hajaajiriwa na analalamika hana mtaji wa kujiajiri na anamiliki smartphone namuona kabisa hayupo serious....hata laki moja unaweza ukaanza kitu kikasogea kikakuza mtaji....tuache aibu na uwoga,life isnt easy kama na wewe unakuwa lege lege...umepanga foleni kuuuubwa ya kuomba kazi,kwa saivi nilivyo naona hata aibu kwakweli.
by emma mjasiriamali
Umepanic....na wala sijamlenga mtu,nimezungumzia in total.....kwakuwa tunajengana kila jambo tunalisikiliza...kama halikukugusi wewe Basi linamgusa mwingine...na niliposema mtu mwenye smartphone bila kujal amenunua au amenunuliwa nilimaanisha ni udhembe kulalamika maisha magumu na umeng'ang'ania vitu ambavyo unaweza kubadirishana na mtaji....that is itAcheni kuigana igana kiss mmesikia ana smart4n. Wengine smart4n za kupewa sio kila mwenye simu kanunua.
Sio kila atakae kutajia wazo basi eti Ka copy, OK tell me what's me in the world?? Biashara za sasa kuna jipya gani zaidi ya kendeleza katika aina tofauti na zilizopo?
Huwezi mwambia mtu eti kacopy huwezi kumsaidia ulimuulizia ya Nini? Muulize,akuelezee strategies zake,plans and ending point anataka iweje,returning iweje akamilishe cycle yake ya kibiashara.
Sio kila mtu lazima atoe majibu kuhusu hili,wengine mnatoa boko.
Kwa akili hizo ndo mnajiita wajasiriamali na waasisi wa UBER wajiiteje ?Hilo ni wazo lako ambalo umeniongezea nimeadd to cart....later on nitafungua hiyo kitu kwa ajili ya washkaji wakija kunitembelea tuwe tunakaa sehemu yangu....
by emma mjasiriamali
Sasa hivi kaajiriwa, kujiajiri ni zaidi ya kuwa ya hela ya kianzio.....Shida mtonyo,yaani kianzio cha kujiajiri..
We bwana wewe...uelewa mdogo sana,unajifananisha na watu.Fanya mambo yako....kama unaamini kwenye kuajiriwa endelea huko mkuuKwa akili hizo ndo mnajiita wajasiriamali na waasisi wa UBER wajiiteje ?