Shida iko wapi kwenye kujiajiri

Shida iko wapi kwenye kujiajiri

Mnajua hili swala la kujiajiri sio rahisi kama tunavyofikiria na kuwaza,

Nimeona tunalalamikiana na kushangaana kwamba kwakuwa mtu anamiliki smartphone basi huyo hapaswi kusema hana mtaji...si sahihi,

Kwa ulimwengu wa sasa SMARTPHONE ni muhimu sana hasa kwa sisi wajasiriamali na hata wanaotaka kuwa wajasiriamali, najua wengi wanasema uza smartphone upate mtaji sasa smartphone nyingne watu wanamiliki akiuza hata laki.2 haifiki....huyo utamwambia afanye biashara ni biashara gani unaweza ukaiendesha kwa kiasi hicho ktk ulimwengu huu wa ss,

Zingatia kuna mambo mtu atahitaji kujifunza...kusoma vitabu, kusoma makala za wajasiriamali wengne mtandaon kama humu JF, na hata kujua dunia inaendaje ktk swala zima la uchumi,

Kwahyo kwenye swala la mtaji hapakwepeki kwakwer hili ni tatizo,
Mimi wakat nasoma nlikua nasema ntajiajiri ila lazima niajiliwe kwanza na nkajiwekea naziri kwamba sitakaa ktk ajira zaidi ya miaka 5,

Ndani ya miaka hiyo 5 ingetosha kabisa kunipa Starting Capital ya kujiajiri, so twende mbele turudi nyuma kuajiliwa mwanzoni kupo unless kama utapata kianzio either kwa wazazi au ndugu jamaa na marafiki.

Ni vema tukaelewana na kushauriana tuache kusemana na kusimangana vijana....tupo tofauti kiakili, kiumri na hata kimazingira,

Na kuhusu ishu ya kukopi mawazo ya biashara hilo ni kawaida...hakuna biashara mpya duniani zote zilikuwepo sema tu zinafanyiwa Modification/Innovation....ndio maana ya ujasiriamali,
Brother mimi naamini kwenye kukua....unaanza chini kabisa,ukiwa na uthubutu kila kitu kinawezekana

by emma mjasiriamali
 
Ndizo kazi zetu hizo za kujiajiri.
- Tafuta frame fungua duka, grocery au bar. Kama mtaji wako mdogo fungua genge
Hayo mawazo ya wenye akili fupi...kujiajiri ni kufanya kitu anbacho mwanzoni kinakutegemea kwa asilimia 70,kitu kama duka kinategemea uwezo wako wa kujiongeza....

by emma mjasiriamali
 
Ndio lkn kumbuka ulipo wewe sio alipo kila mtu na wazo lako na mikakati yako sio sawa na wengine,

La msingi ni kuelimishana.
Mr miller umeongea sawa kabisa,sema kuna wengine wanacritisize bila kujua hilo la nafasi na namna ya uthubutu...mimi ukiniambia ulipo na mambo yanayokuzunguka nakufungua akili unaanza ujasiliamali

by emma mjasiriamali
 
Endelea kuuza duka usisahau kurithisha na wanao hiyo kazi
Tatizo tumeoteshwa misingi ya waliotutangulia,hivi unashindwa kuwaza kuwa muajiri wa watu wengine angalau 100,watu wote wakawa wanakuita wewe bosi,tuache kuyashadadia na kuyakamilisha malengo ya wengine....unaishi maisha ambayo sio yako....grow up and start today your own life

by emma mjasiriamali
 
Watu wataongea hili na lile... Wasema haya ma yale...

Na ndiyo hao hao wasaka ajira huku wakisisitiza wenzao kujiajiri...


Cc: mahondaw
The best and vivid example ni huyu anaeitwa hamisi kigwangala alieajiriwa na siasa akacha taaluma yake!

brain is the beautiful part of the body.
 
Pale ulipo...uwe kwenye group la masomo,mazoezi au lolote lile ndipo ulipo mtaji wako.
Mtaji mkubwa sio wazo pekee bali ni TAARIFA sahihi kuhusu kitu,jambo au biashara fulani.
Kumbuka kila kitu duniani ni biashara...Je ww unajua nini kwa undani ?
Hicho unachokijua kigeuze kiwe biashara na mtaji wa biashara hiyo ni huo ujuzi wako(Taarifa sahihi kuhusu unachokijua)
Mifano ni mingi kwa waliotumia wanachokijua kupata mitaji na kuifanya hiyo ndio biashara.
Mf.Dada mmoja aitwa Jamila ni mnene sana ...ktk kutaka kupungua akajiunga na group la WhatsApp linaitwa Loose weight. Pale akakutana na member wenzie wa mikoani (yy yuko Dsm)ilipokua wanazungumza biashara yy akawa anawaelekeza maeneo mazuri ya kupata bidhaa wanazozitaka hapa Dsm..na alikua anaelekeza mpka bei na ubora wa bidhaa husika..(kwamba ukitaka bei nafuu ni mtaa flani duka flan lkn quality kanunue duka flani.Ikaenda mpka akawa anawapokea baadhi ya wafanyabiashara na kuwapeleka madukani..ukizingatia hakua busy sana na shighuli zake.
Hivi ninavyoandika hapa account yke inasoma mzunguko wa mil 20 mpka 70 kila mwezi.
Anatumiwa pesa anawanunulia bidhaa na anawasafirishia mikoani na ameshafungua duka lake Tabata..kila mwezi hakosi mil 3 .

Huo ni mfano mmoja tu ambao umetokana na kua taarifa sahihi na kugeuza kua mtaji.

Inawezekana!

Kitu ambacho mm nakiona ni kwamba watu hawapotezi muda kujua chochote...Hii ni mbaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
You smart brother! Shida yetu tumejikita kujua umbea sana bila kuwaza kwa undani mazingira yanayotuzunguka yana nini cha ziada kiwe sehemu ya fursa.

brain is the beautiful part of the body.
 
The best and vivid example ni huyu anaeitwa hamisi kigwangala alieajiriwa na siasa akacha taaluma yake!

brain is the beautiful part of the body.
Kigwangwala ana ma Ginnery huko kwao nzega sio choka mbaya kama watu wanavyodhani ila tu ni mbwatukaji kwenye mitandao.

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mnajua hili swala la kujiajiri sio rahisi kama tunavyofikiria na kuwaza,

Nimeona tunalalamikiana na kushangaana kwamba kwakuwa mtu anamiliki smartphone basi huyo hapaswi kusema hana mtaji...si sahihi,

Kwa ulimwengu wa sasa SMARTPHONE ni muhimu sana hasa kwa sisi wajasiriamali na hata wanaotaka kuwa wajasiriamali, najua wengi wanasema uza smartphone upate mtaji sasa smartphone nyingne watu wanamiliki akiuza hata laki.2 haifiki....huyo utamwambia afanye biashara ni biashara gani unaweza ukaiendesha kwa kiasi hicho ktk ulimwengu huu wa ss,

Zingatia kuna mambo mtu atahitaji kujifunza...kusoma vitabu, kusoma makala za wajasiriamali wengne mtandaon kama humu JF, na hata kujua dunia inaendaje ktk swala zima la uchumi,

Kwahyo kwenye swala la mtaji hapakwepeki kwakwer hili ni tatizo,
Mimi wakat nasoma nlikua nasema ntajiajiri ila lazima niajiliwe kwanza na nkajiwekea naziri kwamba sitakaa ktk ajira zaidi ya miaka 5,

Ndani ya miaka hiyo 5 ingetosha kabisa kunipa Starting Capital ya kujiajiri, so twende mbele turudi nyuma kuajiliwa mwanzoni kupo unless kama utapata kianzio either kwa wazazi au ndugu jamaa na marafiki.

Ni vema tukaelewana na kushauriana tuache kusemana na kusimangana vijana....tupo tofauti kiakili, kiumri na hata kimazingira,

Na kuhusu ishu ya kukopi mawazo ya biashara hilo ni kawaida...hakuna biashara mpya duniani zote zilikuwepo sema tu zinafanyiwa Modification/Innovation....ndio maana ya ujasiriamali,
Umeeleweka vema mkuu, huu ujumbe wako ndo ninaoufanyia kazi muda huu ikifika 2020 naacha hii kazi ya magufuli maana najua biashara yangu itakuwa ishakomaa!

brain is the beautiful part of the body.
 
Kigwangwala ana ma Ginnery huko kwao nzega sio choka mbaya kama watu wanavyodhani ila tu ni mbwatukaji kwenye mitandao.

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
Hana methodology nzuri ya kuwa-inspire vijana ambao wanahangaika na bahasha za kaki mjini.

brain is the beautiful part of the body.
 
Nadharia ya physics inasema kwamba mwili wako asilimia 99.9999999999999 ni empty space. Na ukuta nao ni hivyo hivyo. Kila matter ni angalau hivyo hivyo.

Kunadharia inatakiwa iwe rahisi sana kwako kuweza kupenya katikati ya ukuta wa matofali bila hata kuchubuka.

Kwa sababu wewe na ukuta wa matofali wote nyie mko 99.9999999999999 empty space.

Jaribu kupenya ukutani pasipo mlango wala dirisha uone nadharia ilivyo mbali na ukweli halisia.

Kama kuna nyakati za kuanza kujiajiri, wakati wa sasa ni mgumu sana. Baba ubaya kafungia fedha kabatini mpaka Benki Kuu umeshusha riba kutoka asilimia 16 kwenda asilimia 9 kujaribu kuunusuru mzunguko wa fedha.

Na bado watu kama hawana imani na serikali hawakopi.

Utajiajiri vipi wakati mzunguko wa fedha unadhoofika na uchumi unaanguka?

Sent from my Kimulimuli
 
Tatizo ni sheria,binafsi ni mwl na nimejitahidi kujiajiri.Nimebakisha kuezeka lkn shule inafungwa kwa sababu haijasajiriwa na hawapo tayari kusikiliza Wala kutazama eneo kubwa na majengo nzuri hata walimu wangu ni wenye taaluma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Nadharia ya physics inasema kwamba mwili wako asilimia 99.9999999999999 ni empty space. Na ukuta nao ni hivyo hivyo. Kila matter ni angalau hivyo hivyo.

Kunadharia inatakiwa iwe rahisi sana kwako kuweza kupenya katikati ya ukuta wa matofali bila hata kuchubuka.

Kwa sababu wewe na ukuta wa matofali wote nyie mko 99.9999999999999 empty space.

Jaribu kupenya ukutani pasipo mlango wala dirisha uone nadharia ilivyo mbali na ukweli halisia.

Kama kuna nyakati za kuanza kujiajiri, wakati wa sasa ni mgumu sana. Baba ubaya kafungia fedha kabatini mpaka Benki Kuu umeshusha riba kutoka asilimia 16 kwenda asilimia 9 kujaribu kuunusuru mzunguko wa fedha.

Na bado watu kama hawana imani na serikali hawakopi.

Utajiajiri vipi wakati mzunguko wa fedha unadhoofika na uchumi unaanguka?

Sent from my Kimulimuli
Hii sijaielewa hata.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Tatizo ni sheria,binafsi ni mwl na nimejitahidi kujiajiri.Nimebakisha kuezeka lkn shule inafungwa kwa sababu haijasajiriwa na hawapo tayari kusikiliza Wala kutazama eneo kubwa na majengo nzuri hata walimu wangu ni wenye taaluma

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna utamaduni wa serikali kuwa anti business. Ukianzisha kitu serikali haioni kwamba unatakiwa upewe haki ili ufanikiwe ili uendeleze Watanzania na kulipa kodi, kwao unaonekana ni chanzo cha kodi pale unapoanza tu. Ndiyo maana hata kabla hujapata faida yoyote kodi na fees kibao.

Rais anajigamba kwamba hajapewa hata senti na mfanyabiashara katika kamoeni yake. Kauli hii (licha ya kuwa ninya uongo) inatuinyesha Rais ambaye hapendi wafanyabiashara. Ana siasa za kizamani kwamba wafanyabiashara wote ni wezi na wahujumu uchumi.

Sent from my Kimulimuli
 
Back
Top Bottom