Shida iko wapi kwenye kujiajiri

Shida iko wapi kwenye kujiajiri

Hii sijaielewa hata.
Ambacho hujaelewa ni kipi?

Hapo nimeongelea kutoka quantum physics mpaka micro economics mpaka macro economics mpaka the philosophical fallacies of overrelying on fundamental theories.

Sent from my Kimulimuli
 
Matter is 99.9999999999999% empty space.

Ukuta. Chuma. Wewe. Maji. Kila matter is at least that much empty space.

Hilo la kwanza. Unaelewa hilo?

Sent from my Kimulimuli
Empty space kivip.!!!
Kama kopo ambalo halina kitu au.?
 
The space between atoms and the space between subatomic particles.

Empty space kama kopo ambalo halina kitu right.

Sent from my Kimulimuli
Defn ya matter nnayoijua ni "anything that occupy space"

Ss ukija kwny maelezo yko ya empty space kdgo unaniacha....space btn atoms and subatomic particles ni ndogo sana kiasi kwamba huwezi kusema kuna space....

Mm sawa naweza kuwa matter lkn mm sina space.
 
Defn ya matter nnayoijua ni "anything that occupy space"

Ss ukija kwny maelezo yko ya empty space kdgo unaniacha....space btn atoms and subatomic particles ni ndogo sana kiasi kwamba huwezi kusema kuna space....

Mm sawa naweza kuwa matter lkn mm sina space.

Unaposema space between atoms and subatomic particles ni ndogo sana kiasi kwamba huwezi kusema kuna space una hakika na unachokisema au unasema kwa kufikiri tu?

Ndogo maana yake nini?

Ndogo kwa sababu atom ni ndogo au ndogo kama sehemu ya atom (ratio)?

Unaelewa kwamba tunachoongelea hapa si udogo wa space bali ni ratio ya empty space to matter?

Unaelewa kwamba unaweza kuwa na space ndogo sana lakini pia katika hiyo space ndogi ukawa na ratio ya 99.9999% empty space compared to matter?

Unaweza kutoa ratio ya atom yoyote kuonyesha concentartion of matter in the nucleus versus the rest of the atom tuangalie unachosema kwa detail badala ya kusema vitu in general?

Sent from my Kimulimuli
 
Nilipoacha kazi bank nikaamua kutia mguu kujiajiri sikuwa na pesa nyingi. Honestly nilikuwa na milioni 2 tu kama disposable income, but I saw an opportunity.

Rafiki yangu mmoja akaniambia niwe na hela ya kodi ya nyumba ya miezi 6 na hela ya kula miezi 6 bila kugusa mtaji wangu wa biashara. Nikamwambia mi nahitaji hela ya kula bila kugusa mtaji miezi 3 tu....by the way sina familia sitashindwa kujilisha. Kwani nakula sh ngapi kwa siku?

Now am making ule mshahara wangu wa mwezi ndani ya siku 5 tu....and my target is to make it in a day as at THIRTY FIRST DECEMBER 2017, God willing.
Kama kazini tulikuwa tunapewa target why mimi nisijipe target zenye strict deadlines.

Hitimisho, watu hawajiajiri sababu ni waoga na wanaona aibu. Siku aibu zikiwatoka watakuja tu.

Sukari Yenu
 
Maamuzi + Wazo la biashara.
Mtaji ni watu wanaokuzunguka, hao ndio walio na pesa zako nshu ni kwamba unazipata vipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yap!that's true,mtaji sio issue kunawatu wanahela ilaipango hamna,kama huna mtaji kuwa na wazo la biashara ,il I mshee yeye akiweka hel wewweka akili ya ko,akili ni mtaji tosha
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hili umesema wewe,sio Mimi. Ukikutana na mtu mwenye mipango minene kama Mimi hsiwezi toa sababu kama hii.


Kila mtu ana mipango minene., Hata humu ndani Jf kuna watu wana mipango hata ya kuwa na mashirika yao ya ndege, wengine wana ndoto za kwenda Mars.

Kinachotutofautisha ni strategy za kufika huko while we have nating in our pockets.
 
Mnajua hili swala la kujiajiri sio rahisi kama tunavyofikiria na kuwaza,

Nimeona tunalalamikiana na kushangaana kwamba kwakuwa mtu anamiliki smartphone basi huyo hapaswi kusema hana mtaji...si sahihi,

Kwa ulimwengu wa sasa SMARTPHONE ni muhimu sana hasa kwa sisi wajasiriamali na hata wanaotaka kuwa wajasiriamali, najua wengi wanasema uza smartphone upate mtaji sasa smartphone nyingne watu wanamiliki akiuza hata laki.2 haifiki....huyo utamwambia afanye biashara ni biashara gani unaweza ukaiendesha kwa kiasi hicho ktk ulimwengu huu wa ss,

Zingatia kuna mambo mtu atahitaji kujifunza...kusoma vitabu, kusoma makala za wajasiriamali wengne mtandaon kama humu JF, na hata kujua dunia inaendaje ktk swala zima la uchumi,

Kwahyo kwenye swala la mtaji hapakwepeki kwakwer hili ni tatizo,
Mimi wakat nasoma nlikua nasema ntajiajiri ila lazima niajiliwe kwanza na nkajiwekea naziri kwamba sitakaa ktk ajira zaidi ya miaka 5,

Ndani ya miaka hiyo 5 ingetosha kabisa kunipa Starting Capital ya kujiajiri, so twende mbele turudi nyuma kuajiliwa mwanzoni kupo unless kama utapata kianzio either kwa wazazi au ndugu jamaa na marafiki.

Ni vema tukaelewana na kushauriana tuache kusemana na kusimangana vijana....tupo tofauti kiakili, kiumri na hata kimazingira,

Na kuhusu ishu ya kukopi mawazo ya biashara hilo ni kawaida...hakuna biashara mpya duniani zote zilikuwepo sema tu zinafanyiwa Modification/Innovation....ndio maana ya ujasiriamali,
Kweli kabisa
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom