Shida iko wapi kwenye kujiajiri

Shida iko wapi kwenye kujiajiri

Nimekuwa nikiuliza watu wengi maswali kuhusu kujiajiri na kuajiriwa....most of the answers imekuwa kujiajiri ndio "mchongo",sasa mbona sioni jitihada za watu kutaka kujiajiri.....halafu inakuwaje watu wanaongea sana kuliko vitendo!?
Wanaishia kuwasifia waliojiajir wakati wao wanakazana kuomba kazi kwenye makampuni na serikalini....
Hapa nataka kupata mawazo yenu hivi ni nini kinaleta shida ni uwoga wa maisha au ni theories tu zimewajenga kama elimu yetu ilivyo....imewajaza uoga badala ya kuwapa uhuru wa kujitegemea.....

by emma mjasiriamali
Wewe umejiajiri au umeajiriwa?

Kama umejiajiri uliwezaje kujiajiri?
nini kilikuwa chanzo cha mtaji wako, uliiba, ulirithi, uliajiriwa kwanza, ukipakua vyoo vilivyojaa? Ulifanya nini?

Tuanzie kwako ndo turudi kwenye maombi yako..m

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo mawazo yanadepend na unazungukwa na nini...tatizo tunawaza mambo makubwa tu,hatuyapi nafasi mambo madogo ambayo kimsingi ndio chanzo cha hayo makubwa

by emma mjasiriamali
Be patient to start small while thinking big.
by [HASHTAG]#vusi[/HASHTAG] thembekwayo.
 

Kila mtu ana mipango minene., Hata humu ndani Jf kuna watu wana mipango hata ya kuwa na mashirika yao ya ndege, wengine wana ndoto za kwenda Mars.

Kinachotutofautisha ni strategy za kufika huko while we have nating in our pockets.
 
hapa umenena. zamani hata Mimi nilikuwa nawaza ina that way! kwamba kwa mipango yangu ya mambo makubwa Sina mtaji. nikaja kugundua naidanganya akili yangu mwenyewe. maana niligundua nawaza mipango ya mtaji wa milioni 50 wakati hata milioni 5 Sina,

nikagundua hizi ni ndoto za mchana. tunaposema anza na ulichonacho haimaanishi una wazo dogo. hilo wazo lako Kiowa, ligawe katika target na weka hatua za kufikia huko unapopataka.

nimekuwa nikifanya semina nyingi za ujasiriamali kanisani kwangu, ukimuuliza yeyote anayelalamika mtaji atakwambia kiasi cha mtaji asichonacho kwa madai ndo biashara inayolipa, na hutamkuta ana wazo la aanze na nini alichonacho ili miaka 5 ijayo au 10 afike anapowaza hivi sasa.

ushauri wangu, ukiona una wazo ambalo huna mtaji wake na wala una mkakati wa kulifikia, hilo sio lako tafuta ulilo na uwezo nalo. Unawaza kufata nguo Dubai wakati hata mtaji wa kuzifata maduka ya jumla kariakoo ukauzie mtaani kwako au mkoani Huna. achana na hilo wazo sio lako utakesha kulalamikia mtaji ambao hutaipata.
unawaza mtaji WA milioni 10, hunayo, ila unao uwezo wa kupata laki 2, futa wazo la milioni 10, tafuta wazo LA biashara ya laki 2, ifanye kwa bidii na weka target ya hiyo biashara kukutoa hapo ulipo
 
Wazo la kujiajiri ni zuri but watu wengi hufanya hivyo baada option ya kuajiriwa kushindikana au kufukuzwa kazini. Wanafanya kama kujiajiri ni kama second option baada ya kuhangaika na kuajiriwa kitu ambacho si sawa. Wakiona mambo yamebana na kuchoka kutafuta kazi ndiyo utasikia wakikushauri kama kujiajiri ni dili na wakati huohuo akijaribu (badala ya kufanya) shughuli zake za kujiajiri bado anaendelea kutafuta kazi za kuajiriwa na akipata hiyo kazi ananyea kambi kujiajiri.

Ukitaka kupata maana halisi ya kujiajiri ni pale mtu anaamua kuacha marupurupu yake yote ofisini na ofisini wanamuhitaji lakini anaamua kuachana na utumwa. Inawezekana muda anaoondoka ukilinganisha mshahara wake wa mwezi na anachoenda kutengeneza upande wa pili havilingani na vinamtia hofu namna atavyoendesha maisha yake but bado anasimamia vision yake. Huwezi kuwa na ndoto za kujiajiri kama hujui maana ya risk taking.

Note: SI KILA MTU ANAWEZA KUJIAJIRI, WENGINE NI LAZIMA WABAKI KUWA WAAJIRIWA MAISHA YAO YOTE. SO USIIGE KUNYA KWA TEMBO KAMA HUNA HAKIKA NA KUJIAJIRI. NI KUGUMU KWA SABABU HUNA MTU WA KUMPELEKEA LAWAMA ILA WEWE. MSHAHARA UKICHELEWA NI WEWE, UMEME WEWE, KODI YA PANDO WEWE, MAJI WEWE N.K N.K
 
Maamuzi + Wazo la biashara.
Mtaji ni watu wanaokuzunguka, hao ndio walio na pesa zako nshu ni kwamba unazipata vipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usitujaze upepo mkuu kwn kujiajiri si biashara!
Sasa kama una wazo ndio na uthubutu unao let say unataka kujiajir kwa kutuo huduma flani vitendea kazi unavitoa wap
Huko kujiajiri bila capial(fedha) ni kijidanganya
Jaribu kufikiri ujasiriamali wowote unaoweza uanzisha bila hata kua na cent mkononi
weka wazi hapa wazo lako la biashara lisilo hitaji fedha hapo tunaweza kuelewa kwamba mtaji ni watu wanaokuzunguka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maamuzi + Wazo la biashara.
Mtaji ni watu wanaokuzunguka, hao ndio walio na pesa zako nshu ni kwamba unazipata vipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usitujaze upepo mkuu kwn kujiajiri si biashara!
Sasa kama una wazo ndio na uthubutu unao let say unataka kujiajir kwa kutuo huduma flani vitendea kazi unavitoa wap
Huko kujiajiri bila capial(fedha) ni kijidanganya
Jaribu kufikiri ujasiriamali wowote unaoweza uanzisha bila hata kua na cent mkononi
weka wazi hapa wazo lako la biashara lisilo hitaji fedha hapo tunaweza kuelewa kwamba mtaji ni watu wanaokuzunguka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maamuzi + Wazo la biashara.
Mtaji ni watu wanaokuzunguka, hao ndio walio na pesa zako nshu ni kwamba unazipata vipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usitujaze upepo mkuu kwn kujiajiri si biashara!
Sasa kama una wazo ndio na uthubutu unao let say unataka kujiajir kwa kutuo huduma flani vitendea kazi unavitoa wap
Huko kujiajiri bila capial(fedha) ni kijidanganya
Jaribu kufikiri ujasiriamali wowote unaoweza uanzisha bila hata kua na cent mkononi
weka wazi hapa wazo lako la biashara lisilo hitaji fedha hapo tunaweza kuelewa kwamba mtaji ni watu wanaokuzunguka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usitujaze upepo mkuu kwn kujiajiri si biashara!
Sasa kama una wazo ndio na uthubutu unao let say unataka kujiajir kwa kutuo huduma flani vitendea kazi unavitoa wap
Huko kujiajiri bila capial(fedha) ni kijidanganya
Jaribu kufikiri ujasiriamali wowote unaoweza uanzisha bila hata kua na cent mkononi
weka wazi hapa wazo lako la biashara lisilo hitaji fedha hapo tunaweza kuelewa kwamba mtaji ni watu wanaokuzunguka

Sent using Jamii Forums mobile app
Fedha zipo tu mkuu.
tazama watu hawana kazi lakini wanavaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni muhimu wadau tujue kwamba hatuwezi wote kujiajiri hata iweje, kundi kubwa sana lazima liangukie kuajiriwa. Chances za kujiajiri na kutusua ni ndogo sana kwa sababu lukuki zilizo wazi na zisizo wekwa wazi. Ila kwa wenye kukomaa na kusimamia maamuzi yao nafasi ipo kubwa kwa dunia ya wenzetu.

Wengi tunaowaona wamesimama kibiashara vizuri, asilimia kubwa taarifa zao za nyuma ya pazia hatuzijui.Hapa hata wewe unaweza kufanya utafiti na kupata ukweli, jiulize kwa nini biashara nyingi hufa mara baada ya mwenyewe kufariki au akiugua kwa muda mrefu?.

Hata hawa matajiri tunaowaona wengi ni kizazi cha pili au cha tatu au wamebebwa kwa namna moja au nyingine mpaka wakafika walipo. Wale waliopambana wenyewe bila nguvu za ziada ni wachache sana. Hapa nazungumzia wajasiriamali wenye brand zao sio watoa huduma, ambao ndio wengi.
 
Ni muhimu wadau tujue kwamba hatuwezi wote kujiajiri hata iweje, kundi kubwa sana lazima liangukie kuajiriwa. Chances za kujiajiri na kutusua ni ndogo sana kwa sababu lukuki zilizo wazi na zisizo wekwa wazi. Ila kwa wenye kukomaa na kusimamia maamuzi yao nafasi ipo kubwa kwa dunia ya wenzetu.

Wengi tunaowaona wamesimama kibiashara vizuri, asilimia kubwa taarifa zao za nyuma ya pazia hatuzijui.Hapa hata wewe unaweza kufanya utafiti na kupata ukweli, jiulize kwa nini biashara nyingi hufa mara baada ya mwenyewe kufariki au akiugua kwa muda mrefu?.

Hata hawa matajiri tunaowaona wengi ni kizazi cha pili au cha tatu au wamebebwa kwa namna moja au nyingine mpaka wakafika walipo. Wale waliopambana wenyewe bila nguvu za ziada ni wachache sana. Hapa nazungumzia wajasiriamali wenye brand zao sio watoa huduma, ambao ndio wengi.
Ulipotea sana hapa jukwaani. It is a great honor to have you back!
 
Nichangie kidogo kauzoefu kidogo nilikopata. Kwa mtu mwenye nidhamu nzuri kwa mazingira ya Tanzania na ambaye hajabebwa/habebwi kwa namna yo yote analazimika kusubiri sana ili kusimama vizuri kwenye ujasiriamali. Na mara nyingi wanaokuja kuonekana ni watoto wake au yy mwenyewe katika umri mkubwa.

Aliyesema kuwa unaweza kupata fedha kupitia wazo lako ( ambao ndio mtaji) hajakosea, sababu mimi nilijaribu kupitia njia hiyo kwenye mradi wangu wa misitu. Nilijua wengi wanataka kuwa na mashamba ya miti, lakini hawajui watapata wapi, wanataka kuotesha miti, lakini hawajui miche watapata wapi, nk nk. Changamoto kwa wengi ni kutaka kupata hela za haraka. Kuna wakati unachoma nauli na unarudi kapa, usijaribu kufidia kwa kuwaumiza wenzako, inabidi ukubali matokeo ili kuwalinda wateja wako. Njia hii inataka mpate wote.

Njia hii ni ya hatari sana kama huna nidhamu na hujui unataka kufika wapi. Moja anaweza kuja mtu na hela ndefu sana ili ufanye lile wazo lako liwe kweli na wewe huna kitu kabisa, je utakubali ushindie mihogo na huku una hela za mshua? Hatari ya pili ya njia hii ni pale wazo lako linaponyang`anywa na wenye mtaji uliowashirikisha wazo lako, sbb unaweza msimulia mtu idea yako na akajifanya haitaki, na baadae anafanya yeye, hapa udugu unakufa, na ukileta za kuleta unaweza ishia pabaya.
 
Wewe umejiajiri au umeajiriwa?

Kama umejiajiri uliwezaje kujiajiri?
nini kilikuwa chanzo cha mtaji wako, uliiba, ulirithi, uliajiriwa kwanza, ukipakua vyoo vilivyojaa? Ulifanya nini?

Tuanzie kwako ndo turudi kwenye maombi yako..m

Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nimejiajir mkuu,lakini ukiniuliza nilipataje mtaji wangu sina jibu sahihi...ila uhakika haukuja kwa kujiajiri,niliangalia fursa zinazonizunguka na mawazo...kwahiyo kujiongeza kwenye tija nilizoziona,maana kimsingi mwanzo kabisa nilianza kwa hela ndogo sana kama laki moja hivi...uvumilivu na na kujinyima....

by emma mjasiriamali
 
Wengi hawakopesheki! Utakuta mtu hana mtaji,wakati huohuo ana mawazo ya kupiga! Mtu wa hivyo,lazima azunguke na bahasha kuomba kazi bila mafanikio! mtaji wako mkubwa ni "UAMINIFU"
Hahahahahaha

by emma mjasiriamali
 
Back
Top Bottom