Shida iliyopata Israel kuokoa mateka wanne hawatajaribu tena. Ndio imewatia nguvu Hamas na raia wa kawaida kupambana zaidi

Shida iliyopata Israel kuokoa mateka wanne hawatajaribu tena. Ndio imewatia nguvu Hamas na raia wa kawaida kupambana zaidi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Taarifa zaidi za operesheni ya kuokoa mateka 4 wa Israel zimezidi kutoka na kuonesha ilikuwa ni shughuli mbaya ya uokoaji iliyosababisha vifo vya watu 274. Wengi wao walikuwa ni wanawake na watoto na hata kama kulikuwa na Hamas kadhaa tukio hilo limelaaniwa na mataifa kadhaa na kuliona halikustahiki.

Mateka hao walikuwa wakiishi maisha ya kawaida na hawakuwa katika hatari yoyote ile ndio maana wamepatikana wakiwa katika afya nzuri.

Zaidi ya tukio hilo ni kuwa kulishawahi kupangwa operesheni kama hizo kadhaa huko nyuma na baadae zikafutwa kutokana na ugomo uliokuwa ukijitokeza katika hatua za mwisho za utekelezwaji.Hiyo ni kwa mujibu wa makamanda wa vita wa Israel.

Uokoaji huu ulifanywa kwa ushirikiano wa maafisa wa kimarekani na kwa kutumia gati la kutolea misaada.Askari wa Israel wajivika mavazi ya kipalestina na Hamas na yawezekana katika mavazi ya kike ili kufika eneo la tukio.
Mara baada ya kuonekana dalili za uokoaji huo wapiganaji wa Hamas badala ya kukimbia mbio walitoka na kila aina ya silaha walizonazo na kupambana.Ndege za jeshi zilitumika kupiga maeneo yote karibu na nyumba walizokuwa wakiishi mateka hao na hivyo kusababisha vifo vya wasiohusika.

Katika purukushani hiyo ambayo walionusurika wamesema ilikuwa ni operesheni ya hatari na iliyokosa umakini inaaminika pamoja na kuokolewa mateka basi na askari wa Israel hawakutoka salama wote na ushahidi ni gari yao waliyokuja nayo kutoweza kutoka na kuungua moto karibu na eneo la tukio.

israel haijataja maafa upande wao lakini imekiri kufariki kwa mateka mwengine aliyejeruhiwa vibaya katika opreresheni hiyo.Uokoaji huo ulihitimishwa na kuonekana kwa gari la kupeleka misaada ya chakula likielekea eneo la gati ba muda mfupi baadae helkopta kuruka kutoka eneo hilo kuelekea Israel.

Kwa kujua kwamba jeshi la Israel limelazimika kujivika mavazi ya kipalestina na mavazi ya kike na kujifanya Hamas sambamba na kutumia magari ya misaada,kwa sasa operesheni kama hizo zitakuwa ni ngumu zaidi kutekelezeka.

Ukipenda ongeza maarifa hapo chini.

Inside Israel’s deadly operation to rescue four hostages

 
Wale Mateka walikuwa wanashikiliwa na Al Jazeera ndani ya Nyumba za Raia.
Gaza kwa sasa kama Israel inavyochukulia watu wote ni Hamas na wao watu hawaoni tena sababu ya kutengana na Hamas.Mvua ya mabomu ikija inadondoshwa popote pale.
Mbali na hivyo nyumba asiliamia 85 zimeshabomolewa hivyo awe ni mwandishi wa Aljazeera au raia mwengine yeyote hana tena nafasi ya kuchagua nyumba ya kuishi.Huwa wanajilaza popote tu ilimradi wapate usingizi bila kuhoji wengine wanaolala humo ni nani.
Wewe umeshahamishwa mwahala chungunzima na watu wako wote pengine wameshakufa huwezi tena kuchagua nyumba ya kuishi na wala huna haja ya kuuliza mwenyeji ni nani na nani yuko karibu yangu.Na hata ukijua huna sehemu ya kukimbilia.Umechoka!
 
Gaza kwa sasa kama Israel inavyochukulia watu wote ni Hamas na wao watu hawaoni tena sababu ya kutengana na Hamas.Mvua ya mabomu ikija inadondoshwa popote pale.
Mbali na hivyo nyumba asiliamia 85 zimeshabomolewa hivyo awe ni mwandishi wa Aljazeera au raia mwengine yeyote hana tena nafasi ya kuchagua nyumba ya kuishi.Huwa wanajilaza popote tu ilimradi wapate usingizi bila kuhoji wengine wanaolala humo ni nani.
Wewe umeshahamishwa mwahala chungunzima na watu wako wote pengine wameshakufa huwezi tena kuchagua nyumba ya kuishi na wala huna haja ya kuuliza mwenyeji ni nani na nani yuko karibu yangu.Na hata ukijua huna sehemu ya kukimbilia.Umechoka!
Wewe ni Mswahili mwenzangu hao Watu wanaopigana huko hawaamiani wewe unawaongelea kana kwamba ulikuwepo.

A Gaza journalist who wrote for Al Jazeera was holding three hostages in his home with his family before he was killed by Israeli commandos during a rescue operation Saturday, according to the Israeli military.

Source: NewYork Post
 
Waislamu bana, hilo tukio mliuawa 250 halafu leo mnakuja kujisifu humu.
 
Wewe ni Mswahili mwenzangu hao Watu wanaopigana huko hawaamiani wewe unawaongelea kana kwamba ulikuwepo.

A Gaza journalist who wrote for Al Jazeera was holding three hostages in his home with his family before he was killed by Israeli commandos during a rescue operation Saturday, according to the Israeli military.

Source: NewYork Post
Mswahili mwenzangu hebu niambie hiyo taarifa imeandikwa na nani kwanza.Ni huyo mwandishi mwenyewe au ni ndugu zake au ni mtu mwengine.
Hiyo kambi ya Nusreita imeshapigwa na kurudiwa kupigwa na ndiko watu wa kusini wanaozidi milioni moja walikotakiwa wakajifiche.NI nani ana nyumba hapo ya kuficha mtu mwengine.Ni watu wanabanana tu wapate kupumua.
Kwa hivyo taarifa yangu ni sahihi na inayozingatia ukweli wa taarifa nyengine zinazohusu Gaza.Ukiwa na nyumba au Gofu basi watu wanamiminika tu ndani na huwezi kuwatoa kwa kuwahurumia.
 
Gaza kwa sasa kama Israel inavyochukulia watu wote ni Hamas na wao watu hawaoni tena sababu ya kutengana na Hamas.Mvua ya mabomu ikija inadondoshwa popote pale.
Mbali na hivyo nyumba asiliamia 85 zimeshabomolewa hivyo awe ni mwandishi wa Aljazeera au raia mwengine yeyote hana tena nafasi ya kuchagua nyumba ya kuishi.Huwa wanajilaza popote tu ilimradi wapate usingizi bila kuhoji wengine wanaolala humo ni nani.
Wewe umeshahamishwa mwahala chungunzima na watu wako wote pengine wameshakufa huwezi tena kuchagua nyumba ya kuishi na wala huna haja ya kuuliza mwenyeji ni nani na nani yuko karibu yangu.Na hata ukijua huna sehemu ya kukimbilia.Umechoka!
Utafikiri ulikuwepo.... 😀 😀
 
Israel imeua wapalestina elfu 37 na kugeuza mjiji ya Gaza vifusi kuokoa mateka wanne mleta mada unajielewa kweli? Hesabu ulisoma Hata za shuke ya msingi? Au uliishia madrasa ? Unaona Kuna uwiano hapo ? Palestine imeumia wewe unaandika ujinga wa madrasa
 
Taarifa zaidi za operesheni ya kuokoa mateka 4 wa Israel zimezidi kutoka na kuonesha ilikuwa ni shughuli mbaya ya uokoaji iliyosababisha vifo vya watu 274. Wengi wao walikuwa ni wanawake na watoto na hata kama kulikuwa na Hamas kadhaa tukio hilo limelaaniwa na mataifa kadhaa na kuliona halikustahiki.

Mateka hao walikuwa wakiishi maisha ya kawaida na hawakuwa katika hatari yoyote ile ndio maana wamepatikana wakiwa katika afya nzuri.

Zaidi ya tukio hilo ni kuwa kulishawahi kupangwa operesheni kama hizo kadhaa huko nyuma na baadae zikafutwa kutokana na ugomo uliokuwa ukijitokeza katika hatua za mwisho za utekelezwaji.Hiyo ni kwa mujibu wa makamanda wa vita wa Israel.

Uokoaji huu ulifanywa kwa ushirikiano wa maafisa wa kimarekani na kwa kutumia gati la kutolea misaada.Askari wa Israel wajivika mavazi ya kipalestina na Hamas na yawezekana katika mavazi ya kike ili kufika eneo la tukio.
Mara baada ya kuonekana dalili za uokoaji huo wapiganaji wa Hamas badala ya kukimbia mbio walitoka na kila aina ya silaha walizonazo na kupambana.Ndege za jeshi zilitumika kupiga maeneo yote karibu na nyumba walizokuwa wakiishi mateka hao na hivyo kusababisha vifo vya wasiohusika.

Katika purukushani hiyo ambayo walionusurika wamesema ilikuwa ni operesheni ya hatari na iliyokosa umakini inaaminika pamoja na kuokolewa mateka basi na askari wa Israel hawakutoka salama wote na ushahidi ni gari yao waliyokuja nayo kutoweza kutoka na kuungua moto karibu na eneo la tukio.

israel haijataja maafa upande wao lakini imekiri kufariki kwa mateka mwengine aliyejeruhiwa vibaya katika opreresheni hiyo.Uokoaji huo ulihitimishwa na kuonekana kwa gari la kupeleka misaada ya chakula likielekea eneo la gati ba muda mfupi baadae helkopta kuruka kutoka eneo hilo kuelekea Israel.

Kwa kujua kwamba jeshi la Israel limelazimika kujivika mavazi ya kipalestina na mavazi ya kike na kujifanya Hamas sambamba na kutumia magari ya misaada,kwa sasa operesheni kama hizo zitakuwa ni ngumu zaidi kutekelezeka.

Ukipenda ongeza maarifa hapo chini.

Inside Israel’s deadly operation to rescue four hostages

Nyie si mnapenda kufa? Sisi tunapenda kuishi.
 
Nyie woye wajinga na mafala tu.Hamjui vita maana yake nini,mnadhani zile n8 movie za Hollyeood.
Wale watu wanachukiana kupita unavyodhani.Hawa dininhayoninawaambia hawa ni Haramu.Hawa dini yao inawaambia hapa ndo kwenu.Mitizamo ya kid8n8 imejenga chuki kubwa sana.Na ndio 8nayoamua mitizamo ya kisiasa.Pale hakuna mchezo,umejisahau umeuwa.Siyo kama vyombo vya habari vinavyoripoti au watunwanavyohemka hemka.Kule ni kuana tu bila huruma.
Nyie mnakuja hapa na njaa njaa zenu na umaskini unaowasukbua rleti mnachambua mzozo wa gaza.
 
Nyie woye wajinga na mafala tu.Hamjui vita maana yake nini,mnadhani zile n8 movie za Hollyeood.
Wale watu wanachukiana kupita unavyodhani.Hawa dininhayoninawaambia hawa ni Haramu.Hawa dini yao inawaambia hapa ndo kwenu.Mitizamo ya kid8n8 imejenga chuki kubwa sana.Na ndio 8nayoamua mitizamo ya kisiasa.Pale hakuna mchezo,umejisahau umeuwa.Siyo kama vyombo vya habari vinavyoripoti au watunwanavyohemka hemka.Kule ni kuana tu bila huruma.
Nyie mnakuja hapa na njaa njaa zenu na umaskini unaowasukbua rleti mnachambua mzozo wa gaza.
Umesikika
 
Walijificha kwenye magari ya msaada,walipofika,raia wakajaa kupokea msaada,IDF wakatokea katikati ya gari na kuanza kurusha risasi,raia wengine walikatika shingo kwa risasi
 
1002247679.jpg
 
Back
Top Bottom