Shida iliyopata Israel kuokoa mateka wanne hawatajaribu tena. Ndio imewatia nguvu Hamas na raia wa kawaida kupambana zaidi

Mbona sijaona sehemu ngumu kwenye hili andiko lako. Nikukumbushe tu kua wanajeshi ndio KAZI zao hizi ww raia unaona ugumu.



KAZI ni kipimo cha UTU
 
ALWAZ unajifariji huku umebana mkundu/marinda.
 
Umebugia propaganda za uwongo,pole
Za kwako ni zaidi.Jaribu kufikiri kurushiana risasi na Hamas wasiokata tamaa ilikuwa ni jambo jepesi kweli hata askari wote wa Israel waondoke bila mkwaruzo.
Ule ushujaa wa Entebe hauwezi kamwe kuoneshwa ndani ya Gaza
 
Walijificha kwenye magari ya msaada,walipofika,raia wakajaa kupokea msaada,IDF wakatokea katikati ya gari na kuanza kurusha risasi,raia wengine walikatika shingo kwa risasi
Kujificha kwenye magari ya misaad sijui ni ushujaa wa aina gani.Na tofauti iko wapi na wengine kujificha katikati ya wake zao.
Kila siku tunamsikia Imeloa na MK254 na MT 255 na mwenzao Mighayo wakiwabeza Hamas kuwa wanajificha nyuma akinadada.
 
Unajua kinachoendelea duniani? Ni kuwanusuru wapalestina dhidi ya kichapo kutoka kwa waisrael
Hakika kwa kichapo walichopokea wapalestina hawatarudia tena kufanya ule ujinga😁😁😁 Mpaka waarabu weusi wanaandamana ambapo haijawahi kutokea tangu kuumbwa kwa dunia.
Mtoa roho israel alivyo na roho mbaya anakutangazia vita ili aichukue roho yako ukiwa umejiandaa
 
Za kwako ni zaidi.Jaribu kufikiri kurushiana risasi na Hamas wasiokata tamaa ilikuwa ni jambo jepesi kweli hata askari wote wa Israel waondoke bila mkwaruzo.
Ule ushujaa wa Entebe hauwezi kamwe kuoneshwa ndani ya Gaza
Komandoo mmoja wa IDF alifariki kwenye mapigano.
 
Tena hiypo operesheni haikufanywa na mazayuni tu, imefanywa wakishirikiana na Wamarekani, Waingereza na vibaraka wao wengine wasaliti wa Kiarabu.
 
Kama hawatarudia basi wangekuwa wameshakaa kimya.Kumbe wanapambana kiume na kuendelea kuua askari wa IDF japo kwa manati walizonazo.Mabomu mazito kutoka angani yanawaua na wanaobaki hai hawalii tu bali wanaokota mawe wanayarusha.
Hao watu si wa kawaida.Kilichowafanya wawe hivyo ni mateso ya muda mrefu tangu mababu zao.
Israel nayo ingefanya kama hivyo kwa wajerumani sio kuja kuwaonea wapalestina.
 
Kujificha kwenye magari ya misaad sijui ni ushujaa wa aina gani.Na tofauti iko wapi na wengine kujificha katikati ya wake zao.
Kila siku tunamsikia Imeloa na MK254 na MT 255 na mwenzao Mighayo wakiwabeza Hamas kuwa wanajificha nyuma akinadada.
Mt 255 na mk 254 ni mtu mmoja,akimaanisha mkenya 254 na mtanzania 255
 
Sasa wewe unatka wapalestina waendelee kuwa sadaka ya mayahudi mpaka lini.Kwa sababu wameshatolewa sana kwa zaidi ya miaka 75
 
Hamas ni warembo tu. Nilitegemea kipindi Israel imetengaza vita. Wangekaa pale mpakani kuwazuia jeshi la Israel kutoingia Gaza au Rafah.
*Nchi ishakuwa magofu na raia wanakufa kila siku halafu unasema Hamas wanapigana. Kwa lipi? Hamas wanapigania uhai wao yaani wasife na hiyo ndiyo sifa ya magaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…