π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯ samahn mkuu najikuta nalia hapa baada ya kusoma uzi wako..
Kiufupi mkuu hao vijana ni mimi kabisa mkuu aiseee napambana sana sana mkuu napambana mpaka basi naimani hapa kuna watu hawatapinga..
Japo upande wa mahusiano sipo strong na mtu huwa natembeq na mashangazi..
Ila mengine yote uliyoongea napita nayo hvo hivo hvo..
Lakini mkuu ujue kuna kitu nimejifunza aisee mi licha ya kupambana kote hivi ila nina amani ya Moyo...
Sidaiwi
Sichukiwi na watu
Nafurahia mahusiano yangu
Kiufupi hakuna kitu cha kunipa stress mpaka sasa...
Katika haya maisha pambana upambanavyo ila kumbuka kuishi,..
Ni lazima kuwepo na class ili maisha yaendeleeeee kikubwa hakuna kukata tamaaa..
Mi miaka ya zamani nilikua najiuliza inakuaje mtu anapata mashangazi...
Nikaanza kupambania namshukuru Mungu alhamdullilah sasa hvi si haba connection za mashangazi za kutosha.
Kwahyo tusichoke no one knows tomorrow... Usije kujidanganya ukamshirikisha Mungu wako kwa kuingia katika imani za waganga be strong
Mkuu uzi wako umenigusa sana..
Mi nashangaaa kina
Vishu Mtata wanalewa chakali na kila siku pesa wanapata..
Kuna kipindi nilitamani niwe panya road.
Maana nyumbani walinichoka wakawa wanajaribu kunifananisha na mbwa koko niliye kosa jina π₯π₯π₯π₯π₯π₯