Shida ya Yanga imeanzia hapa

Shida ya Yanga imeanzia hapa

Yaani unapoteza muda wako kuijadili Yanga iliyotoa sare ya 1-1 nyumbani, badala ya Azam iliyofungwa magoli 3-0 ugenini!!

Yaani karibia nyuzi zote humu zimejaa habari za Yanga! Yanga sijui haiwezi kupindua meza! Yanga haiwezi kufuzu!! Vipi kuhusu Azam? Vipi kuhusu ile timu iliyowahi kushinda goli 0-2 ugenini kule Botwana, halafu ikaja kufungwa goli 1-3 nyumbani na kutolewa kwenye madhindano haya haya!!

Why kila siku Yanga! Yanga!
Basi sisi furaha yetu ni kuwatia msukosuko. Mbona hujiulizi vipi kama yanga ingeshinda dhidi ya al hilal atmosphere ingekuwaje hapa jf.
si ni ninyi mlikuwa mnadai mtafika fainali na kuchukua kombe klabu bingwa africa msimu huu.
 
Naomba nieleweke.....!

Naongea kikubwa hapa wale wenye uzito watanielewa. Na kwa hili si rejei mechi yenu ya kesho...ombeni Mungu anaweza kuwasaidia.

"Mnapojitafutia mafanikio msizibe pumzi ya jirani yako, yaani afe, asifanikiwe, akwame" uchawi huu huwa unafeli sana na matokeo huwa yanamrudia mlogaji pambaneni ninyi kama ninyi msijihusishe na mambo ya jirani hata kidogo.

Kila mtu ana nyota yake inayong'aa mahali fulani. Jambo hili likiendelea mtanambia kwa miaka mitano mbele, nimeshuhudia mara kadhaa mtu anategua mtego wa mechi za jirani uliowekwa na Yanga zaidi ya mara 5.

Meseji ndio hii sio lazima kuifanyia kazi
Mnapojitafutia mafanikio msizibe pumzi ya jirani yako, yaani afe, asifanikiwe, akwame" uchawi huu huwa unafeli sana na matokeo huwa yanamrudia mlogaji pambaneni ninyi kama ninyi msijihusishe na mambo ya jirani hata kidogo.
[emoji1752][emoji1545]
 
Yaani unapoteza muda wako kuijadili Yanga iliyotoa sare ya 1-1 nyumbani, badala ya Azam iliyofungwa magoli 3-0 ugenini!!

Yaani karibia nyuzi zote humu zimejaa habari za Yanga! Yanga sijui haiwezi kupindua meza! Yanga haiwezi kufuzu!! Vipi kuhusu Azam? Vipi kuhusu ile timu iliyowahi kushinda goli 0-2 ugenini kule Botwana, halafu ikaja kufungwa goli 1-3 nyumbani na kutolewa kwenye madhindano haya haya!!

Why kila siku Yanga! Yanga!
Mnapojitafutia mafanikio msizibe pumzi ya jirani yako, yaani afe, asifanikiwe, akwame" uchawi huu huwa unafeli sana na matokeo huwa yanamrudia mlogaji pambaneni ninyi kama ninyi msijihusishe na mambo ya jirani hata kidogo.[emoji1787][emoji24]
 
Mnapojitafutia mafanikio msizibe pumzi ya jirani yako, yaani afe, asifanikiwe, akwame" uchawi huu huwa unafeli sana na matokeo huwa yanamrudia mlogaji pambaneni ninyi kama ninyi msijihusishe na mambo ya jirani hata kidogo.
[emoji1752][emoji1545]
Nadhani umenipata mkuu
 
Yaani unapoteza muda wako kuijadili Yanga iliyotoa sare ya 1-1 nyumbani, badala ya Azam iliyofungwa magoli 3-0 ugenini!!

Yaani karibia nyuzi zote humu zimejaa habari za Yanga! Yanga sijui haiwezi kupindua meza! Yanga haiwezi kufuzu!! Vipi kuhusu Azam? Vipi kuhusu ile timu iliyowahi kushinda goli 0-2 ugenini kule Botwana, halafu ikaja kufungwa goli 1-3 nyumbani na kutolewa kwenye madhindano haya haya!!

Why kila siku Yanga! Yanga!
Rudi kwenye mada usikurupuke
 
Yaani unapoteza muda wako kuijadili Yanga iliyotoa sare ya 1-1 nyumbani, badala ya Azam iliyofungwa magoli 3-0 ugenini!!

Yaani karibia nyuzi zote humu zimejaa habari za Yanga! Yanga sijui haiwezi kupindua meza! Yanga haiwezi kufuzu!! Vipi kuhusu Azam? Vipi kuhusu ile timu iliyowahi kushinda goli 0-2 ugenini kule Botwana, halafu ikaja kufungwa goli 1-3 nyumbani na kutolewa kwenye madhindano haya haya!!

Why kila siku Yanga! Yanga!
Tangu matokeo ya kwa Mkapa Jumamosi iliyopita umekuwa mkali kweli kweli.
 
Usijisahaulishe mwaka jana makolo mlitolewa CCL kwa mkapa tena ukiwa unaongoza goli mbili bila... Mpira haujaisha mpaka itakapopulizwa filimbi ya mwisho.. Naona mko bize na yanga mnasahau na nyie mna mechi.. vipi hau wa angola wakapindua meza?
hawa jamaa utadhani ni mabinti
 
Nongwa lazima iwepo,Yanga walijinasibu wamesajili wachezaji wa kimataifa kwa gharama kubwa inakuwaje sasa wanashindwa kupenya hata makundi!
 
Naomba nieleweke, naongea kikubwa hapa, wale wenye uzito watanielewa. Na kwa hili sirejei mechi yenu ya kesho, ombeni Mungu anaweza kuwasaidia.

"Mnapojitafutia mafanikio msizibe pumzi ya jirani yako, yaani afe, asifanikiwe, akwame", uchawi huu huwa unafeli sana na matokeo huwa yanamrudia mlogaji. Pambaneni ninyi kama ninyi, msijihusishe na mambo ya jirani hata kidogo.

Kila mtu ana nyota yake inayong'aa mahali fulani. Jambo hili likiendelea mtaniambia kwa miaka mitano mbele, nimeshuhudia mara kadhaa mtu anategua mtego wa mechi za jirani uliowekwa na Yanga zaidi ya mara 5.

Ujumbe ndio huu siyo lazima kuufanyia kazi.
Mikia matatizo tupu
 
Yaani unapoteza muda wako kuijadili Yanga iliyotoa sare ya 1-1 nyumbani, badala ya Azam iliyofungwa magoli 3-0 ugenini!!

Yaani karibia nyuzi zote humu zimejaa habari za Yanga! Yanga sijui haiwezi kupindua meza! Yanga haiwezi kufuzu!! Vipi kuhusu Azam? Vipi kuhusu ile timu iliyowahi kushinda goli 0-2 ugenini kule Botwana, halafu ikaja kufungwa goli 1-3 nyumbani na kutolewa kwenye madhindano haya haya!!

Why kila siku Yanga! Yanga!
Kwasababu ndio kihere here wao ndo mashabiki wao wanaenda airport kupokea wageni na viongozi wao wanavaa jezi za team pinzani wanaokuja kucheza na mnyama umeona AZAM lini wanafanya hvyo
 
Hakika, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Naomba nieleweke, naongea kikubwa hapa, wale wenye uzito watanielewa. Na kwa hili sirejei mechi yenu ya kesho, ombeni Mungu anaweza kuwasaidia.

"Mnapojitafutia mafanikio msizibe pumzi ya jirani yako, yaani afe, asifanikiwe, akwame", uchawi huu huwa unafeli sana na matokeo huwa yanamrudia mlogaji. Pambaneni ninyi kama ninyi, msijihusishe na mambo ya jirani hata kidogo.

Kila mtu ana nyota yake inayong'aa mahali fulani. Jambo hili likiendelea mtaniambia kwa miaka mitano mbele, nimeshuhudia mara kadhaa mtu anategua mtego wa mechi za jirani uliowekwa na Yanga zaidi ya mara 5.

Ujumbe ndio huu siyo lazima kuufanyia kazi.
Kama uyasemayo ni kweli, basi kesho game ya simba si rahisi kama wengi wadhaniavyo... Lolote laweza kutokea... VISASI
 
Back
Top Bottom