Nipemkono tushindane
Member
- Dec 23, 2021
- 56
- 228
Basi sisi furaha yetu ni kuwatia msukosuko. Mbona hujiulizi vipi kama yanga ingeshinda dhidi ya al hilal atmosphere ingekuwaje hapa jf.Yaani unapoteza muda wako kuijadili Yanga iliyotoa sare ya 1-1 nyumbani, badala ya Azam iliyofungwa magoli 3-0 ugenini!!
Yaani karibia nyuzi zote humu zimejaa habari za Yanga! Yanga sijui haiwezi kupindua meza! Yanga haiwezi kufuzu!! Vipi kuhusu Azam? Vipi kuhusu ile timu iliyowahi kushinda goli 0-2 ugenini kule Botwana, halafu ikaja kufungwa goli 1-3 nyumbani na kutolewa kwenye madhindano haya haya!!
Why kila siku Yanga! Yanga!
si ni ninyi mlikuwa mnadai mtafika fainali na kuchukua kombe klabu bingwa africa msimu huu.