Canon EOS 5D (Mark III) na lens.Aina gani hii mkuu
Shida gani ilikupata ?Sitaki ata kukumbuka. Ile camera ningetulia ata 1.5 ningepata. Ila..
Kesi gani ya kulawiti?Gari niliyonunua milioni 5 nikiwa nimeitumia miezi miwili tu niliiuza kwa milioni 1 na laki 3 kumaliza kesi flani isifike mbali, pesa ilikuwa inahitajika fasta hivyo mteja ilibidi awe wa fasta.
Laptop nilinunua laki 8, niliuza kwa laki 2 na nusu ili nikamilishe ada
Kulawiti mbali sana huko.Kesi gani ya kulawiti?
Ninayo hiiCanon EOS 5D (Mark III) na lens.
Unaiuza mkuu?Ninayo hii
Hiyo hali ikikufikia ina maumivu sana, hadi unapokutana na mabandiko haya ya kukumbusha huo wakati unapata hisia za maumivu ya wakati ule.Gari niliyonunua milioni 5 nikiwa nimeitumia miezi miwili tu niliiuza kwa milioni 1 na laki 3 kumaliza kesi flani isifike mbali tumalizane kimya kimya, pesa ilikuwa inahitajika fasta hivyo mteja ilibidi awe wa fasta, kuna watu wengi wameishia jela kwa kuchukulia vitu vingi poa, unapopata nafasi ya ku negotiate itumie !
Laptop nilinunua laki 8, niliuza kwa laki 2 na nusu ili nikamilishe ada
FigoGari niliyonunua milioni 5 nikiwa nimeitumia miezi miwili tu niliiuza kwa milioni 1 na laki 3 kumaliza kesi flani isifike mbali tumalizane kimya kimya, pesa ilikuwa inahitajika fasta hivyo mteja ilibidi awe wa fasta, kuna watu wengi wameishia jela kwa kuchukulia vitu vingi poa, unapopata nafasi ya ku negotiate itumie !
Laptop nilinunua laki 8, niliuza kwa laki 2 na nusu ili nikamilishe ada
Mmmh ilikuaje mkuuHiyo hali ikikufikia ina maumivu sana, hadi unapokutana na mabandiko haya ya kukumbusha huo wakati unapata hisia za maumivu ya wakati ule.
Mimi nilipoteza biashara kubwa, shida mshirika wangu alikanyaga nyaya za moto mahali. Sasa hivi, sitaki hata kupita kwenye mtaa Magore, Upanga.
Ova
πππππππ mnacheza na usalama kizembe?Hiyo hali ikikufikia ina maumivu sana, hadi unapokutana na mabandiko haya ya kukumbusha huo wakati unapata hisia za maumivu ya wakati ule.
Mimi nilipoteza biashara kubwa, shida mshirika wangu alikanyaga nyaya za moto mahali. Sasa hivi, sitaki hata kupita kwenye mtaa Magore, Upanga.
Ova