Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simu ya laki 3 niliuza kwa 7500, ndio elfu saba na mia tanoGari niliyonunua milioni 5 nikiwa nimeitumia miezi miwili tu niliiuza kwa milioni 1 na laki 3 kumaliza kesi flani isifike mbali tumalizane kimya kimya, pesa ilikuwa inahitajika fasta hivyo mteja ilibidi awe wa fasta, kuna watu wengi wameishia jela kwa kuchukulia vitu poa kwa jicho la mtaani kwamba ni kawaida, unapopata nafasi ya ku negotiate itumie!
Laptop nilinunua laki 8, niliuza kwa laki 2 na nusu ili nikamilishe ada.
Mkuu ni simu sio Siku edit rekebishaSiku ya laki 3 niliuza kwa 7500, ndio elfu saba na mia tano
Hii ndio tofauti ya vijana wa 2000 bongo na vijana wa 2000 kenya.Uboho..... Nikamchapa nao demu kwa 30,000 tu. Wakati kama ngekomaa yule demu kwa shows zangu angenipa hata 300,000.
Anatafuta sifa kwa fake ID. inashangazaHii ndio tofauti ya vijana wa 2000 bongo na vijana wa 2000 kenya.
MTU CHAKEShida zisikie Tu Mku Mwaka 2015 nilikuwa na Pikipiki nimempa jamaa afanye bodaboda nikapata tatizo kubwa sana wakuu. Nilipata kesi ambayo huenda leo ningekuwa natumikia kifungo jela ma la heshima yangu ingekuwa imeondoka na imani yangu kwa watu.
Nikapata bahati ya kuongea na mlalamikaji pamoja Na mwendesha mashitaka tuimalize kifamilia. wakawa wanahitaji hela kiasi fulani hivi kwa haraka nikawaomba wasubiri kidogo mshahara uingie wakatisha ukichelewa kesi kesho naanza kuita Mashahidi.
Nilitafuta mteja usiku ule ule Niliinunua 1.3M lakini niliuza laki tano fedha taslimu nikaenda kuuza na TV yangu kwa elfu arobaini pamoja na friji langu la laki sita kwa laki mbili tu mzee.
Mwaka jana nilipata changamoto ya kazi sehemu nilifua kinoma hadi nikaanza kutamani visungura maana ya bai sina, kodi ikawa mzigo home nilienda kuuza kiwanja changu nilinunua 4M nikauza kwa 2M ya kupew kwa awamu.
BINADAMU WAKIJUA UNA SHIDA WANAWEZA KUFANYA NEGOTIATION NA MKEO, WARUDISHE MAHARI WAMCHUKUE
Hapana bosiUnaiuza mkuu?
Nimecheka Hadi nimepaliwaShida zisikie Tu Mku Mwaka 2015 nilikuwa na Pikipiki nimempa jamaa afanye bodaboda nikapata tatizo kubwa sana wakuu. Nilipata kesi ambayo huenda leo ningekuwa natumikia kifungo jela ma la heshima yangu ingekuwa imeondoka na imani yangu kwa watu.
Nikapata bahati ya kuongea na mlalamikaji pamoja Na mwendesha mashitaka tuimalize kifamilia. wakawa wanahitaji hela kiasi fulani hivi kwa haraka nikawaomba wasubiri kidogo mshahara uingie wakatisha ukichelewa kesi kesho naanza kuita Mashahidi.
Nilitafuta mteja usiku ule ule Niliinunua 1.3M lakini niliuza laki tano fedha taslimu nikaenda kuuza na TV yangu kwa elfu arobaini pamoja na friji langu la laki sita kwa laki mbili tu mzee.
Mwaka jana nilipata changamoto ya kazi sehemu nilifua kinoma hadi nikaanza kutamani visungura maana ya bai sina, kodi ikawa mzigo home nilienda kuuza kiwanja changu nilinunua 4M nikauza kwa 2M ya kupew kwa awamu.
BINADAMU WAKIJUA UNA SHIDA WANAWEZA KUFANYA NEGOTIATION NA MKEO, WARUDISHE MAHARI WAMCHUKUE
Hiyo hali ikikufikia ina maumivu sana, hadi unapokutana na mabandiko haya ya kukumbusha huo wakati
Kufirisika kunafedheheshaHiyo hali ikikufikia ina maumivu sana, hadi unapokutana na mabandiko haya ya kukumbusha huo wakati unapata hisia za maumivu ya wakati ule.
Mimi nilipoteza biashara kubwa, shida mshirika wangu alikanyaga nyaya za moto mahali. Sasa hivi, sitaki hata kupita kwenye mtaa Magore, Upanga.
Ova
Sehemu zote za mwili huwa zinavumilia kasoro tumbo tuTujifunze kuvumilia jmn..
Hapo sasaaaSehemu zote za mwili huwa zinavumilia kasoro tumbo tu