Shida zilipokubana uliwahi kuuza kitu gani kwa bei ya hasara ili ujinasue?

Shida zilipokubana uliwahi kuuza kitu gani kwa bei ya hasara ili ujinasue?

Poleni sana wakuu,
Kwangu Mimi hayasimuliki.ila kubwa zaidi ni kitendo cha kuuza friji langu na TV kwa pamoja ili kujinusuru na njaa.

Jambo lililoniumiza hadi leo ni mtoto wangu kuniuliza kwanini nimeitoa TV ukutani nikawapa watu Sasa sisi tutaangalia nini?

Hii iliniumiza sana licha ya kwamba nilisolve na kuirudisha fasta lakini nilijikuta mwenye hatia,mengine ni mazito hayaelezeki ila muhimu tumuombe Mungu kwa Imani iliyo thabiti.
 
Hiyo hali ikikufikia ina maumivu sana, hadi unapokutana na mabandiko haya ya kukumbusha huo wakati unapata hisia za maumivu ya wakati ule.

Mimi nilipoteza biashara kubwa, shida mshirika wangu alikanyaga nyaya za moto mahali. Sasa hivi, sitaki hata kupita kwenye mtaa Magore, Upanga.

Ova
Hadi leo nashindwa kuamua, natamani kufahamu na sitamani kufahamu... unanijua.

Pole sana b..., I feel your pain.
 
Gari niliyonunua milioni 5 nikiwa nimeitumia miezi miwili tu niliiuza kwa milioni 1 na laki 3 kumaliza kesi flani isifike mbali tumalizane kimya kimya, pesa ilikuwa inahitajika fasta hivyo mteja ilibidi awe wa fasta, kuna watu wengi wameishia jela kwa kuchukulia vitu vingi poa, unapopata nafasi ya ku negotiate itumie!

Laptop nilinunua laki 8, niliuza kwa laki 2 na nusu ili nikamilishe ada.
Uboho..... Nikamchapa nao demu kwa 30,000 tu. Wakati kama ngekomaa yule demu kwa shows zangu angenipa hata 300,000.
 
Gari niliyonunua milioni 5 nikiwa nimeitumia miezi miwili tu niliiuza kwa milioni 1 na laki 3 kumaliza kesi flani isifike mbali tumalizane kimya kimya, pesa ilikuwa inahitajika fasta hivyo mteja ilibidi awe wa fasta, kuna watu wengi wameishia jela kwa kuchukulia vitu vingi poa, unapopata nafasi ya ku negotiate itumie!

Laptop nilinunua laki 8, niliuza kwa laki 2 na nusu ili nikamilishe ada.
Pole mkuu,sisemi,umenigusa Mimi sana!
 
Kulawiti mbali sana huko.

Huku mitaani watu wanachukulia mambo kirahisi rahisi wanaenda jela kama masihara, hata kumkonyeza mtu ni shambulio la aibu jela miaka mitano ama utoboke mifuko. Kununua simu kwa mtu inaweza kuwa ya wizi waweza kwenda jela miaka 10 au kutoboka mifuko mpaka milioni 3 maana alieibiwa nae ataongeza uongo mlimuibia na pesa, unavuta sigara yako tayari kesi kwamba unavuta hadharani, n.k. sasa ukutana na mwenye usongo wa kesi, utajuta!
Unaishi mitaa gani hiyo?!!
 
Poleni sana wakuu,
Kwangu Mimi hayasimuliki.ila kubwa zaidi ni kitendo cha kuuza friji langu na TV kwa pamoja ili kujinusuru na njaa.

Jambo lililoniumiza hadi leo ni mtoto wangu kuniuliza kwanini nimeitoa TV ukutani nikawapa watu Sasa sisi tutaangalia nini?

Hii iliniumiza sana licha ya kwamba nilisolve na kuirudisha fasta lakini nilijikuta mwenye hatia,mengine ni mazito hayaelezeki ila muhimu tumuombe Mungu kwa Imani iliyo thabiti.
Ameen
 
Back
Top Bottom