The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,488
- 2,908
Post hii kaiandika July 24 siku aliyopiga TUKIO asubuhi akiwa anatoka Ofisini SweetPainDah shida uzisikie tu Kwa wenzio tu ndugu, 2019 kibarua nimepoteza mtoto analia njaa mama ake mama wa nyumbani nikaanza kutoa kimoja kimoja tv, king'amuzi, Bomba la antenna ,showcase, na vingine kibao...afu hamna moment inauma unapoona uliyemuuzia Kwa bei kitonga anatumia mpaka kesho au Ile mtoto wako anauliza baba tv Iko wapi, baba blender tutengeneze juice, dah asee MUNGU atuepishe Kwa kweli . Tv Samsung Kwa laki??!! Blender 20, Jiko two plates kwenye box halijatumika Kwa 30???!!! Inauma sana mwisho nikaishia kuwa mdau wa double kick, cuca, robot na ma shit kama hayo yaani naomba isijirudie kamwe.